Nampenda sana ila simuelewi

Nampenda sana ila simuelewi

Mkuu piga chini haraka hata mimi hayo yalinitokea nikafanya yafuatayo.

Nikawa punguza mawasiliano ya simu na kutuma text, nikaacha kumfatilia kama zamani wala ckutaka nimuoneshe wivu kama zamani hata simu yake nikawa nikikuta busy simind wala kuulza kama zamani, nikawa naishi kigum mpaka yeye akaanza kushangaa, thenly badae automatically nikajikuta nazoea kuishi bila ukarbu wake pia at the same time nikawa natafuta mbadala wake mtu sahihi, so nilipokuja kumpata basi nikajikuta nazama ndio nikatoa na tamko kali kabisa kama la Kamanda Mbowe na UKAWA kwa yule mwanamke wa zamani kuwa its over.

Ha ha mtoto wa Ar umenichekesha
 
Huyo mdad anakupenda sana tena usmwache jua ameathrika kisaikolojia na kuwa unfaithfull kw wanaume kutokana na yule wa kwanz alvyo msalit hvyo anaogopa kuingia mazma kwenye malove nenda nae step by step.

How are you sure?
 
kweli mapenzi yanawatesa sana watu... natamani nipate demu kama huyo. naamini ataondoka hata wiki hatamaliza..
 
aaaaaaa mdau bado tuuu, usijipe presha unajua cha kufanya....au unataka uonekane boya sasa...tafuta mwingine tuu
 
Remember that relationships are seasonal and accept when changes are needed in your life
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom