msikulupuke vijanana. We unataka kufungua ministry then unatafuta msaada jf! Kama unamaanisha omba mwongozo kwa Pastor wako. Ila kama unataka pakuponea njaa endelea,na nikushauri uwatafute freemason kila kitu kitaenda smoothly.
Ni ngumu kupata jipya katika siasa na utawala/uongozi wa nchi yetu kwa mazingira kama haya. Mlikuwa mnapiga vitu vya siasa vizuri hata matumaini yakaturudi,ni nani aliyeleta ulozi?
nenda kajaribu veta asome nabe stg1,2,3 walinambia ukifaulu unaweza kujiunga CBE,IFM AU TIA ukafanya diploma. Sijaenda pia kuhakikisha hivyo vyuo. So kwa uhakika fanya kufwatilia huko vyuoni.
Bado hao triple k wanajidanganya. Tz ya sasa si ya jana. Halafu uchumi wa nchi hautengenezwi na husika hapa africa. Wamuulize Mugabe alivyoharibiwa,unadhani hakuwa na resources! Wajipange tena
so fun. Kesi hii huyu mwanasheria nafikiri anatafuta umaarufu tu. Wangu ushauri omba damu ya huyohuyo yesu ikutakase na kunena mema kwenye kazi yako na hakika utang'ara mno kuliko kufanya hii kesi kutafuta na kuonyesha umahili wako.
Hi wapendwa JF.
Mi nilifanya vibaya form 4 kwa kupata 0. Nimekuwa na mawazo ya kureseat ila nimeshauriwa nifanye NABE na VETA wameniambia kuwa nikifanya hadi stage 3 nitaweza kujiunga chuo kati ya CBE, IFM, TIA kwa ngazi ya Diploma.
Naamini JF kuna watu wengi, naombeni mnipe uhakika wa hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.