Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

Tazama kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama, bali juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza, juu ya majeshi na pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
 
Taka usitake mwakasege ni mtumishi wa Mungu,unayempinga ni sawa na unampinga Mungu maana yeye tunamfahamu kwa kuwa mwalimu wa neno la Mungu.
 
Mungu haiandikwi kwa herufi ndogo author jirekebishe ukiandika Mungu kwa herufi ndogo unamaanisha miungu hata Biblia imetofautisha haya.
 
Arusha.

Ni maombi au kitu kingine? Mpeleke mgonjwa wako kwa kakobe au mzee wa hammer pale ubungo chaibora-nyumba ya ufufuo na uzima


Nina mashaka na hapo unaposema kitu kingine kwani unanifanya niamini kuwa wale wazungu wa unga (kina Kakobe, Rwakatare, Mwingira) wayafanyayo nyuma ya pazia ni kweli.
 
Tazama kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama, bali juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza, juu ya majeshi na pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

....daah lugha zenu Wagalatia zina utata, kama ule wa kumuua mwana pekee !
:noidea:
 
Mungu amesema Israel ni mtoto wake wa kwanza kasome Kutoka 4:22. Na Mungu kasema atawabariki watakaobariki Israel na kuwalaani watakaoilaani kasome Mwanzo 12:3. Unajua anaposema Isrel anamaanisha taifa la Israel na sisi wengine tunaoamini tunachukua hizo baraka za Israel kupitia Yesu Kristo. Nasi tunafanyika kuwa wana wa Mungu. Ni muhimu kwenda Israel kulibariki hilo taifa teule la Mungu.


hii bold, una andiko au ni ubunifu tuu ??:bored:
 
Kwasasa yupo Arusha viwanja vya Reli, alianza Jumapili na leo Alhamisi Agosti 30 ni siku ya 5, atamaliza siku 8 Jumapili Septemba Mosi.
 
jamani kama mtu hujui ukweli ni bora usishuhudie uongo. wapi na lini semina za mwalimu huyu mtu akatakiwa alipe kiingilio.nadhani kuna uchafuzi unapangika. juzi semina yake pale biafra watu walifurika na hakuna alietoa kiingilio. uliza arusha,dodoma na kote alikofanya semina hakuna kiingilio.

Aisee majitu mengine we yaache tuyalivo usijekufa kwa presha
 
jamani kama mtu hujui ukweli ni bora usishuhudie uongo. wapi na lini semina za mwalimu huyu mtu akatakiwa alipe kiingilio.nadhani kuna uchafuzi unapangika. juzi semina yake pale biafra watu walifurika na hakuna alietoa kiingilio. uliza arusha,dodoma na kote alikofanya semina hakuna kiingilio.

...........ila kuna bahasha zinatembea kwa hadhira na namba za Mpesa.
 
Mwalimu Mwakasege yuko juu sana huwezi kumlinganisha na watumishi wengi kwasababu moja kubwa,hafungwi na minyororo ya madhehebu.Nimewahi kuhudhuria semina nyingi za Bwana Mwakasege sikuwahi kumsikia hata siku moja akiwaelekeza watu waende kwenye dhehebu fulani fulani.

Kuna kasoro moja kubwa ambayo nimeiona kwa Bwana Mwakasege siku za karibuni amejikita sana kuwahimiza watu kwenda Israel.Amefikia hatua ya kuandaa safari za kwenda Israel kwa wanandoa as if uponyaji unapatikana unapokwenda Israel.Bwana mwakasege ndiye aliyemshauri E Ngoyai Elowassa kwenda Israel mara baada ya kuitia hasara kubwa nchi yetu na mkataba wa RICHMOND badala ya kumshauri aombe radhi watanzania kwa uzembe anamshauri aende Israel.

mwakasege kama walivyo waubiri wowote wale, anachanganya mawazo yake au falsafa zake na mafundisho ya dini....result===FRAUD..catholic is the truth..
 
Back
Top Bottom