Nami nasisitiza kuwa Tecno siyo simu, kamwe mwenye ufahamu katika masuala ya IT au electronics huwezi kuifananisha Sumsang na Tecno, ila wale wenye ugonjwa wa kununua vitu bila ya kufanya tafiti ilimradi nae aonekane ana smartphone huwa wanajikuta wamenunua simu zenye mfano wa smartphone, ni...
Aliyeuliza hamnazo, Makutupola inahusika na mambo ya RTS, hapo wanaenda tu wale walioajiriwa na JWTZ, pia si kweli kwamba Makutupola kuna mazoezi magumu, huo ni upotoshaji, kama umepitia JKT basi kuna uwezekano mkubwa ukafanikiwa kumaliza miezi minne hadi mitano ya mwanzon wa mafunzo rasmi ya...
Kumbe hata wewe umewabaini hawa watu, kwanza depo la Uhamiaji linafanyikia CCP, Moshi, sio Mbeya, huwa wanafanya na Polisi, sababu Askari wa Uhamiaji ni sawa sawa na hawa Polisi ila tu utofauti upo ktk uniform zao na baadhi ya utendaji kazi zao
Hiyo mdau amewasilisha malalamiko yake mara baada ya kukiona kupitia hyo TV 1, yawezekana hana DSTV, na hata kama angekuwanayo naamini angelalamika tu.
Yatupasa kuelewa kuwa usije kufikiria wale wataongea moja kwa moja kuwa tunahamasisha ushoga, bali uhamasishaji wao wanaufanya ki-sophiscated...
Mimi nilitegemea kutokea kwa makosa kama hayo kutokana na kuajiri watu kwa njia ya kimemo, ajira zao pale ni kupitia vimemo. inasemekana kituo hicho cha luninga kinamilikiwa na wa-Swedeni!
Ukiwaweka baadhi ya Afisa Utumishi wa kiswahili bila ya kumsimamia ktk utendaji wake basi tegemea kupata...
Wewe ukiona huna vigezo jitoe katika ulingo, waache wenye nia,afu umeshaanza kunitia shaka na elimu yako, pamoja na uchukuliaji wa mambo ya msingi kuyafanya kirahirahisi tu, ndugu husipende kuchukulia vitu kirahirahisi, vitakuja kukugharimu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.