huyo ni msaliti na masalia , tafuteni mtu mwingine .
chademe wote wasaliti tu na vimeo
huyo ni msaliti na masalia , tafuteni mtu mwingine .
Wewe umebweka,nadhani nawe ni akina magamba,wala usijifanye cdm hapa.Haya ni mawazo potofu kabisa, wanairamba gani wanaoongea upuuzi kama huo, acha kuleta usumbufu, mliishaambiwa kama kuna mtu analiingia Chadema kwa ajili Dr Kitila mkumbo au Zitto na washirika wake, milango iko wazi, atoke awafate walipo, huwezi kusema unaipenda chadema huku bado unawasapoti wasaliti, upumbavu, waambieni wafungue chama chao muwafate, mbona kashasema tunahitaji chama mbadall wa Chadema na ccm, sasa mnapiga kelele za nini, vipi ule mradi wa cd za msaliti Zitto unaendaje, mambulula ninyi.
Kama ulichoandika ni kweli weka kopi ya barua yenye sahihi hapa tuoneKamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mumurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani na sana na Chadema