Cheti cha Darasa la Saba

Cheti cha Darasa la Saba

wakuu vyet vipo tena havijajazwa jina la mtu yoyote, ukifika pale wanakujazia. mtu yoyote anaweza kupata chet haijalishi kamaliza mwaka gan?
 
Muhimu maana wengine mnatumia majina ya watu baada ya kufeli la saba so mkatumia majina ya kughushi, na wengine mlifeli bongo form 4. mkaghushi mkaenda kumalizia kwenye mtelemko uganda. na wengine mmeghushi vyeti vya kuzaliwa. "if you are clean go and get your std 7 cert." secta za ulinzi, uhamiji, pccb, tiss etc. ni sensitive. so angalau cheti cha la 7 kinasaidia kwa kiasi fulani.
 
Taarifa kama umemaliza shule ya msingi kati ya mwaka 1993 mpaka 1999 vyeti vili stop kutolewa na vilianza kutoka mwaka 2000 so be care ..... Unapoenda shule kama umemaliza miaka hiyo utapewa barua tu ya utambulisho

Huo uongo.mimi nimemaliza la saba 1996 shule ya msingi Bugandka I wilaya ya Misenyi huko Kagera na cheti ninacho wala sio barua.au wewe unaongelea nini mkuu?
 
wakuu vyet vipo tena havijajazwa jina la mtu yoyote, ukifika pale wanakujazia. mtu yoyote anaweza kupata chet haijalishi kamaliza mwaka gan?
hapana vina,vyeti tayar vina majina,sasa watajuaje kma umemalza shule hyo,kma hakuna jina?mi nimechukua cheti changu kina majina yote matatu,au nyie ndyo mnafog?
 
HAMJAELEWA TOPIC YANGU?...anayejua umuhmu wa hcho cheti aniambie

Hivi nani atakayekuamini ulimaliza darasa la saba, kama ni mvamizi wa kutoka Rwanda JE? Wadau wote wanapingana na wewe, hujiona kama ulichokiandika hakina maana machoni na akilini mwa wadau??!!!
 
Wewe ukiona huna vigezo jitoe katika ulingo, waache wenye nia,afu umeshaanza kunitia shaka na elimu yako, pamoja na uchukuliaji wa mambo ya msingi kuyafanya kirahirahisi tu, ndugu husipende kuchukulia vitu kirahirahisi, vitakuja kukugharimu!
 
Taarifa kama umemaliza shule ya msingi kati ya mwaka 1993 mpaka 1999 vyeti vili stop kutolewa na vilianza kutoka mwaka 2000 so be care ..... Unapoenda shule kama umemaliza miaka hiyo utapewa barua tu ya utambulisho

hyo barua ya utambulisho inasaidia katka hizi ajira, mwenye ushuhuda wa pccb atueleze
 
Kwani cheti cha kuzaliwa kina kazi gani?
Umuhimu wake ni nini?
Nanio hajui kuwa wewe ulizaliwa?

Iwapo cheti cha kuzaliwa kina umuhimu
Basi hata cha std 7 kina umuhimu
Hoja uliyotoa ni ya kipambafu
Inayodhihirisha utaahira ulionao
Pambaf zako.

Bazazi
 
mimi naomba hivo hivo .kama nitapata nashukuru mungu maana cheti cha std 7 kinasumbua wengi :flypig::flypig::flypig::flypig::flypig:
 
Kina umuhimu hasa ukizingatia watu kutoka mataifa jirani wanaweza kuingia kwenye sekta njeti za nchi ikiwemo hz pccb,uhamiaji,police,jwtz n.k hii ni hatari sana kwa nchi hasa nyakati kama hizi! Nawapongeza serikali kuona hili.
 
Kwani cheti cha kuzaliwa kina kazi gani? Umuhimu wake ni nini? Nanio hajui kuwa wewe ulizaliwa? Iwapo cheti cha kuzaliwa kina umuhimu Basi hata cha std 7 kina umuhimu Hoja uliyotoa ni ya kipambafu Inayodhihirisha utaahira ulionao Pambaf zako. Bazazi
haah,we noma
 
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.

NINI UMUHMU WAKE?

Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
hapo wewe ndio mwendawazimu sasa.... ET NINI UMIHIMU WAKE ...? kama huji umihimu wa std 7 chet bhasi wewe ndio chizi/mwndwazimu + mburula ...hey nimepita tuu
 
yani hii serikali ni hovyo sana yani baadhi ya idara kama pccb, uhamiaji wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.

Nini umuhmu wake?

Kweli tz ni kichwa cha tahira na sio mwendawazimu

cheti cha darasa la saba kina umuhimu kama vyeti vya form 4,form 6 na elimu ya juu.

Maana yake ni kwamba unapomaliza level fulani ya elimu lazima upewe cheti kama uthibitisho wako.

Hivyo wanavyotaka hivyo vyeti wanataka kuhakikisha kuwa kweli ulimaliza darasa la saba.
 
dah nimekipata chet cha std 7 ila transcript cjabeba hv naweza 2mia provision.
 
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.

NINI UMUHMU WAKE?

Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU
nimekumbuka Mkuu pia DEPO NI LAZIMA KWA NAFASI YOYOTE UHAMIAJI,MWAKA 1 MBEYA.Zamani ilikuwa miezi 6 sasaivi ni mwaka 1.
 
Jamani kuwa na cheti cyo utambulisho wa uraia wa mtu maake kuna watanzania chungu mbovu wamesomea nje ya nchi! Mathalani watoto wengi wa mabalozi hawajasomea bongo wewe sasa utasema cyo watanzania? ?
 
Yani hii serikali ni HOVYO sana yani baadhi ya idara kama PCCB, UHAMIAJI wamefkiria wakaona mbinu sahihi ya kupunguza watu kwenye usaili ni kuwaambia waweke hicho cheti.

NINI UMUHMU WAKE?

Kweli Tz ni kichwa cha TAHIRA NA SIO MWENDAWAZIMU

Itabidi nikachukue cha kwangu. Majanga!
 
Back
Top Bottom