Shida kubwa ya arsenali ni consistency ya ushindi. Wanaweza wakaanza vizur sanaa ila wakaja kupoteana kipindi ambacho walitakiwa kufanya vizur..
Kinachokosekana ni winning spirit hakuna kwa wachezaji hakuna watu ambao wataenda na kuamua kuipambania timu kufa na kupona,
Hii spirit iko ndani ya...
Alafu hawa ni sukuma gang imeamua kushambulia vilivyoo.
Yaani laiti mwamba angekuwa uraiani mweshima raisi wa nchi na mkombozi pekee wa nchi bwana tundu antipus Lisuu hiiii hiii( in magufuli voice).
Hii front 3 kushoto gwajiboy winga teleza, kulia polepole, winga machachari alafu kati...
kwa dalili nazoona kama Diaz akiuzwa kwa 80 km tunayotarajiwa basi isak huyu hapa, sioni kama tukisalia lw uzuri huyo elikite ni versatile anacheza namba zote pale mbele
mtoa mada ni vyema andiko lako liwe na nyama ya kutosha kuna watu watalipinga kwa sababu hawaelewi na umeshindwa kuwalewesha vya kutosha. kwa proof zaidi za wapi mianzi imetumika na kuleta matokeo.
na wewe unayebishi unaongea wakati hujui structure stability ya mianzi si kwa sababu haujawahi...
usisahau kueleza pia ni nyumba zinazohitaji uwe umejipanga vizuri kigarama kwa sababu cost yake hasa kwa ujumla ni zaidi ya nyumba ya kawaida..
hili ni vyema watu waelewe kisaikolojia usijenge nyumba za kuficha kwa mtizamo wa kupunguza garama.. itakugarimu kama inajenga kwa kupenda design basi...
Dah sio kwa ubaya ila Ukishindwa Nabaki, alaf au sunshare achana na hizo takataka nyingine utakuja kulia kilio kisiokosa jina. kuna nyumba imepauliwa na bati za hiyo kampuni hazina hata miaka mitatu bati zimepauka balaa
G sijui 55 ndani ya wiki hizi hizo mwamba anakamatwa baada ya zile kelele za G55 kushindwa kumzuia sijui nataka kumaanisha nn lakini kwa jicho la tatu. kunaconnection ya kelele za genge la walamba asali na watu wasystem inawezekana.. kuna jinsi ambavyo mbinu za kuzuia harakati za mwamba kwa njia...
mimi si mtu wa siasa ila huyu TL ananikumbusha stori fulani ya mchungaji mmoja anaitwa Father of pentecost kule naijeria Bishop idahosa,
kulikuwa na kongamano kubwa litakalo kutanisha wachawi wote duniani wakutane Nigeria, yule bwana hili lilimuudhi sana yeye kama mtumishi wa Mungu kwa nini...
mkuu kongole sana kwa huu uzi I salute you, mm ni mtaalamu wa ujenzi ila sijui kila kitu with due respect nadiriki kusema uzi wako umekuwa shule tosha kwangu. ( huwa nakuja hapa kuongeza nyama nyama kwenye Ile knowledge ndogo ya ujenzi niliyonayo ). keep it up bro nikipata mteja wa ramani...
Mkuu ukifuata stages zote za ujenzi huwezi kuwa suprized na bei. kuna watu wako soo professional mtu aliyekuchorea ramani kama ni mtaalamu na umemlipa hela yake nzuri anakupa bill of material kutokana na stage ya ujenzi unayofanya sasa ukimpata huyo foreman unatambaa tu na karatasi yako...
itafika mahali wananchi tutaomba boq ya ujenzi tujue gharama zimeendaje endaje. sioni mradi wa hizo billion zilizo ainishwa.
value for money hapo haipo kabisaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.