Lissu ni mpango wa Mungu hawatamuweza.Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
HahaaaaaaUnabii Unasema kila watakapojaeibu kumzuia ndivyo watazidi kiharibu zaidi.
Tunaingia kwenye Maombi na Ijulikane leo kama Mungu yupo au la.
Badala ya kutumia hili tukio kuunganisha chama nyie mnaendeleza chuki na mgawanyiko. Badala ya kuhakikisha Chadema inaongea kwa sauti moja kuhakikisha Mwenyekiti wake anaachiwa, wewe unachochea moto wa kukigawa chama.Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
Siyo yesu wala mhamad tena bali ni lissu?Kama magufuli alimshindwa, lissu sio mtu wa kawaida! Na kwa sasa ndo kabisa wanawasha moto kwenye petroli! Wananchi walishaichoka ccm na lissu ni mpango wa Mungu kuwatetea watanzania atakayecheza naye atakakwenda na maji!
vibaka na matapeli wa kisiasa siku zote hukamatwa kama kuku kwasabb tu ya midomo chafu ya matusi 🐒Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
Wameshindwa kujibu hoja zake sasa wanakimbilia mabomu na risasi za polisi.Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
Amen.Lissu ni mpango wa Mungu hawatamuweza.
Haleluya.LEO TUMEPIGWA MABOMU MJINI MBINGA KATIKA MKOA WA RUVUMA.
Hii ni shajara (diary) iliyotumiwa na Mhe Tundu Lissu muda mfupi kabla hajahutubia wananchi wa Mbinga Mjini. Nilikabidhiwa diary hii muda mabomu yanarindima. Nilihutubia mkutano na kuomba kabla Lissu na Lema hawajahutubia. Ganda linaloonekana ni mabaki ya mabomu yaliyolikuwa yanapigwa. Yalipigwa mabomu mengi ambayo idadi yake inakadiriwa kuzidi zaidi ya 100.
Tulimaliza Mkutano kwa amani na kwa wakati ndipo akaja Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) na kumtaka aende Kituo cha Polisi. Kulitokea majibizano wakati Lissu anahoji sababu za kutaka aende kituoni. Ilichukua kama dakika 15 kabla Polisi hawajaanza kupiga mabomu.
Nilifanikiwa kuomba kwa muda mfupi kabla ya giza nene la hofu kutanda. Nilikuwa kando ya Mhe. Lissu ndipo wakaanza kutupiga mabomu.
Mabomu yalivyopigwa, watu wakatawanyika na tukabaki na Lissu pamoja na wasaidizi wake.
Wakati mabomu yanaendelea kupigwa, askari wawili wakaja wakanivuta na kunitenga kwa nguvu na Mhe. Lissu. Watu kadhaa walianza kuvuja damu mbele yangu akiwemo mzee mmoja aliyekimbizwa hospitalini.
Nilibaki uwanjani hadharani huku watu wengi wakiwa wameanguka chini. Ndiyo watu wengi wakakimbilia kujificha katika nyumba za karibu.
Nilijisikia siko salama kukimbia au kukaa katika mahali pa kificho. Nilikuwa na maji niliyotumia kunawa ili nibaki salama.
Mzee mmoja aliyeumizwa nimehisi amepigwa na risasi ya moto. Pengine itajulikana baadaye kama ni risasi ya moto au la. Kuna risasi ilifika karibu nami ambayo nilihisi ni ya moto lakini sikuwa na muda wa kutafakari.
Niliendelea kukaa hadharani nikiepuka kuwa katika kificho huku nikiwa kinga ya mama na mtoto wa miezi mitatu hivi ambaye alikuwa katika hali mbaya sana.
Mhe. Lissu na watu wengine watano akiwemo Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mhe. Mayala wamekamatwa. Taarifa kutoka barabarani zinaeleza kuwa walionekana Jeshi la Polisi wakiwa nao kuelekea njia ya Songea.
Kwa taarifa hii umma unajulishwa kuwa Askofu Mwamakula yupo salama.
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mbinga, Ruvuma 9 Aprili 2025; saa 1:35 jioniView attachment 3298455View attachment 3298456
Hivi hawa CCM wanajua kuwa wanajitengenezea visasi vya baadae bila sababu? Au wanaamini kuwa wao ni watawala wa maisha yote?Hizo ndio 4R za mama Abdul.
Waione kwenye jalada kunguni waandamizi wa mama.
ChoiceVariable The Sunk Cost Fallacy 2 Lucas Mwashambwa .
Wsichokijua ni kuwa wanazidi kukoleza moto wa No Reforms No Election kwani wanazidi kuthibitisha kuwa CCM inatumia mabavu ya vyombo vya dola kujibu hoja za kisiasa.Ndivyo walivyo