Recent content by Francis Noel

  1. F

    Neno gani la kiingereza lina herufi tatu Lakin linaleta maana.

    Now, Lie, One, Two, Car. n.k.
  2. F

    Toka Bungeni: Mali mpya za Makonda zatajwa, atakiwa aseme pesa anatoa wapi

    Hakuna cha hatari hapo bali safari Bulicheka na mkewe Elizabeta.
  3. F

    Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

    Ogopa gombe onoea buji.
  4. F

    Zamani vs kisasa

    Zamani ilikuwa waumini wa dini zote wanahimizwa kumcha Mwz'Mungu. Lakini siku hizi wanahimizwa mno kutoa sadaka ili Mungu akulipe kwa njia ya kuboresha biashara yako, maisha yako,upate utajiri, na kadhalika. Kwa ujumla binadamu wa sasa wote wapo kimasilahi zaidi. Imani imebaki kwenye michango...
  5. F

    Tusiruhusu kitendo cha yule mama aliyevamia mkutano wa Rais Magufuli

    Naona ni wakati muafaka sasa kwa JPM kuanzisha utaratibu kama ule wa mzee Ruksa wa kukutana na watu wenye kero. Naamini watu wanakwamishwa sana haki zao na wamekosa mtetezi wa kweli hasa wajane,wakulima,wafugaji,wafanyakazi wa sekta binafsi n.k. Dada Swabaha amewawakilisha wengi wanaokwamishwa...
  6. F

    Riwaya: HOFU

    Kwa kweli hii ni hofu
  7. F

    Mpiga filimbi wa Hamelin! Deliver every promise

    Umeirudisha nyuma sana akili yangu kwa hadithi hii. Hapo nilikuwa drs la 3, ni 1970.
  8. F

    Nimeamua kubadili dini na kuwa Mwislamu

    Hata Pope alipigwa risasi na alimsamehe aliyempiga. Ila nikutakie sfr njema na yenye mafanikio KIROHO. Unatakiwa uwe na matendo mema kwa binaadamu wenzio bila kujali imani zao. Usijikute unaingizwa kwenye utaratibu wa kwenda kujitoa mhanga eti kwa ajili fulani.
  9. F

    Riwaya: ANGAMIZO

    Tamaa mbele mauti nyuma. Na mshahara wa dhambi ni .......
  10. F

    Riwaya: ANGAMIZO

    Ni kiboko
Back
Top Bottom