yaahh unapaka kwenye dushe ila kusiwe na michubuko maana utaomba fenKuna uzi humu unasema inatibu pia fungus(pumbu erosion) ebu dadavua pia hilo@ mkuu Mshana.
I came across this strong dude with passion about solid mechanics...wewe unapenda uganga kama vile unalamaana
Hiyo ni kweli... Lkn tiba yake kwa anae jua haina shakaVitunguu,daa ukivitumia hadi jasho linalotoka lina harufu ya kitungu.
Safi sana.kwahiyo kaka mchanganyiko wa kitunguu swaumu,bangi na nguruwe yaweza kuwa tiba tosha ya kinga kwa mwili zidi ya uchawi na magonjwa??