Comments zinazotoka kwenye hii thread inaonyesha ni kwa kiasi gani hii dunia ya sasa inaelekea kizazi kile cha sodoma na gomora...hivi with all due respects...wagonjwa wa akili wangapi tunaona wanaishi na kusali na kwenda kanisani..toka tumezaliwa tuna mental cases ngapi wanafanya vitu kama...
Yaaani wewe pumba kabisa na zero ulisoma shule gani?...mpaka leo huelewi umuhimu wa bandari na reli kwa uchumi wa nchi na faida ya mwananchi mmoja mmoja...kwa akili yako ulidhani Rais angeanza kukagua Halmashauri ya Wilaya ya kwenu mapato ya ushuru wa kuuza mbuzi na kuacha wizi wa...
Nimejaribu sana kuwa neutral ili niweze kukuweka katika mzani gani wewe SAHIBA ila nadhani kuwa fair naweza kusema una"KAUJINGA" fulani ka historia ya Africa....thts is much fair i can be
Hiyo barabara yao BRT ina tatizo zinapokutana lanes hizi 3 kuna tuta tatizo hawajaweka alama yoyote ya kuonyesha kuna tuta au hata kupunguza speed,..nimeshalivaa mara nyingi tuta la kutokea baruti kuna kimteremko kizuri sana ukiwa unaenda kimara ukianza kupandisha unajisahau kabisa halafu hatari...
Mjomba ukiacha mita 6 kuanzia kimara unapofika ubungo gari kama 30 tayari zimeshachomekea mbele yako... Bongo ni law brokers but tuko very quick kublame
Haaaa umenikumbusha kemia ya enzi za mabala ze farmer....being frozen is just a physical change when heat is applied then it will unfreeze and return to its original state....tuombe kama wamefreezia kwenye fridge la masaki basi wakaunfreezie kwenye bakula la watoto wa wakulima wa kule mbagala
Nyie waandika thread wengine hatuwaelewi...SWALI LA MSINGI NI ALIMBAKA HUYO MTOTO AU HAKUBAAKA...sisi hatuna haja ya kujua maswala yao ya ndoa ya huko uingereza kwani wakati yanatokea nani aliambiwa ama alienda kuripoti wapi kuwa mkewe anatoka na Gwajima....kwa maelezo ya huyo mtoa thread wa...
Naona watu hamna historia nzuri ya mauaji ya kimbari ya Rwanda.......Naona hamfahamu kabisa hata huyu Kagame naye kwa kiasi kikubwa anahusika na yale mauaji ya Rwanda...someni tena historia vizuri then mje kivingine.......Anakataa kuzungumza na wauaji wakati yeye pia ni muuaji mkubwa...
Yaani naipenda chadema lakini katika hili naanza kuamini huyu mzee anazeeka vibaya.....Huwezi kumkosoa Rais wa nchi yako na kumuegemea foreigner katika jambo linalohusu maslahi ya nchi...naona nakosa imani naye iwapo atakuja kuwa kama Rais.....katika hili amechemka sana
KWELI TELL PEOPLE WHAT THEY WANT TO HEAR....and cohere with their demand at on request even if you know you wont be able to fulfill them........na hiyo ndiyo ilikuwa technic ya Prof wetu MKANDALA pale UDSM kila tukigoma...utasikia tu yote mliyoongea ni kweli kabisa hata mimi naona ni mattizo ya...
tukumbuke na shule kidogo......its true protein haiongezi nguvu ile ni "ujenzi" wa mwili kwa ujumla repairing of broken tissues and make up of new tissues especially for the new borns.....Nadhan watu wanachanganya sana kudhan karanga inaongeza nguvu za kiume naona kwa wengi ambao hawana elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.