Naomba kuuliza
Nataka kutuma maombi ya usahili ili niweze jiunga na chuo cha Mifugo au cha Misitu, mwisho wa kutuma maombi ni lini? kwani nilikua nasubiria secondsellection lakini sijachaguliwa tafadhali naomba msaada
Habari zenu wa jf, Nina mdogo wa Rafiki yangu wa form4 hawa waliomaliza juzi alifaulu kwa Division 3, kombi zote zimebalancy tatizo hajachaguliwa na pesa hana zakumpeleka private,anaomba ushauri kwa alihitaji mdogo wake ampeleke chuo cha TANAPA lakini ajui afanyeje!
Ushauri please
jamani tutambue kua kuamisha familia kutoka nyumba ya kupanga na kwenda kupanga kwingine ni kazi kubwa, je kuamisha serikali ni jambo raisi? najaribu kuchekecha.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.