Recent content by Fr Jr

  1. F

    Hivi wafanyakazi wa Clouds radio/tv hamna sehemu nyingine ya kujipiga picha?

    studio za redio hazihitaji jengo kubwa...so wanakula kwa urefu wa kamba yao
  2. F

    Kachukua nguo yangu ya ndani

    epuka sana kua na mahusiano na mtu, then umuonyeshe kabisa kua huna future nae. Calm down endelea kumtafuta, then umuuuulize. Otherwise tuanze vikao vya haruc, ntatoa 50K....pole brother
  3. F

    Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

    Yeye kama mtanzania ana haki yakutoa maoni yake binafsi. NB Maneno ya Pengo c msimamo wa kanisa katoliki, Baraza la Maaskofu ndio linatoa tamko.
  4. F

    Hivi kuna wanaume wa hivi au huyu ana mambo yake?

    hakuna mahusiano bila ule mchezo wa kitanda..usijidanganye
  5. F

    SUMATRA; Njia ya daladala ya Mbezi Mwisho - Makumbusho itatuumiza

    leo usafiri ni washida sana, sidhani kama njia ya Goba ina abiria wengi sana, watu wa kimara tunateseka
  6. F

    Ufafanuzi wa kisheria (mwenendo wa kesi ya madai)

    I Second you, learned counsel!!!
  7. F

    Msichana wangu anashindwa kunitaja jina kwenye simu

    ulichokitafuta umekipata...
  8. F

    Ufafanuzi

    ya mwaka 2014 hyo
  9. F

    printing za kwenye vikombe

    nahitaji mdau anae print picha kwenye vikombe, nko dsm.
  10. F

    Tanesco mnapovunja jengo lenu hakikisheni HQ mnahamia dodoma kama mnajipenda

    HQ za Tanesco ziko mjini/posta kama sikosei....so hazivunjwi...ubungo pale ni kati ya office zao tu
Back
Top Bottom