Mpenzi wangu ananidekeza kinoma Mazee!

Mpenzi wangu ananidekeza kinoma Mazee!

Usijaribu kufanya hicho unachowaza maana laana itakutafuna maisha yako yote. Kwa maombi anayookuombea, kila kitu anachokufanyia hizo ndio zitageuka kuwa laana zako..
 
Kweli penye miti hapana wajenzi.

Sina la kukushauri.
Muache tu ipo siku nitamuangukia mimi niliye na uhitaji wa viumbe wenye upendo wa dhati na kweli.
 
Habari za jioni hii wana MMU, baada ya shughuli ya siku nzima nimekuja tena kwenu hapa!

Ee bwana ishu ya leo ni huyu binti ambae kwa sasa ni mpenzi/demu wangu, nimekuwa nae kwa miaka kama mi 4 sasa
huyu binti alipoteza usichana wake kwangu na kwa uzuri alionao sikuwahi kuamini kama angekuwa bikra lakini ilikuwa ivo!

Aaah sasa ishu ni kwamba uyu mwanamke ananidekeza kinoma, kila ninachotaka nakipata yaani sisumbuki sumbuki yaani.....kitu ambacho nadoubt uwezo wake wa kufikiri!

Kiukweli sina Mpango wa Kumuoa huyu Mwanamke Maana hajameet Criteria yangu ya kuwa na high au angalau Normal inteligence!

ishu kubwa ni hio yaani amejirahisi sana kwangu na hilo ja,bo halinipi amani maana nashindwa kumtaftia kosaa na mimi sina future nae kabisaa...so inaniwia vigumu kumuacha.

Sasa wale wenye experience nisaidieni Mwanamke wa dizaini hii Namuachaje? Maana sihisi tena ule upendo niliokuwa nauhisi kwake mwanzo! na kibaya she believes in me the most.....naona sometimes anatumia mda wake mwingi kuniombea na hilo jambo linanikosesha amani.

Nisaidieni Mazee!
Bora umuache alafu utolewe mshipa,, ndo utajua nini maana ya ujinga,

Lakini nikukumbushe yakua penda pale unapoon unapendwa kwa dhati, alafu mapenzi nikama upofu hivyo ckwamba huyo mdada ni mjinga katika utimizaji wa kile ukitakacho, Bali nikwakua anakupenda sana, anakuthamini sana, anakuheshim sana ndio maana anakuombea mema ndio maana anakujali, ndio maana hakuzarau,,,

Nnaimani ckummoja iwapo ukimpenda mwanmke mwenye kukudharau, asiye kuthamini utalia na kusaga meno, na utamkumbuka uliye nae, hakika mwanaume usiombe kudharauliwa na mtoto wa kike,,, hakika inauma hatari

Ila sikushangai sana maana kuna usemi usemao " unaempenda sana na kumthamini sana yeye hua hakupendi wal hakuthamini kama ufanyavyo kwake"

"You'll never realize the true value of the moment until it become a history ""
 
Bora umuache alafu utolewe mshipa,, ndo utajua nini maana ya ujinga,

Lakini nikukumbushe yakua penda pale unapoon unapendwa kwa dhati, alafu mapenzi nikama upofu hivyo ckwamba huyo mdada ni mjinga katika utimizaji wa kile ukitakacho, Bali nikwakua anakupenda sana, anakuthamini sana, anakuheshim sana ndio maana anakuombea mema ndio maana anakujali, ndio maana hakuzarau,,,

Nnaimani ckummoja iwapo ukimpenda mwanmke mwenye kukudharau, asiye kuthamini utalia na kusaga meno, na utamkumbuka uliye nae, hakika mwanaume usiombe kudharauliwa na mtoto wa kike,,, hakika inauma hatari

Ila sikushangai sana maana kuna usemi usemao " unaempenda sana na kumthamini sana yeye hua hakupendi wal hakuthamini kama ufanyavyo kwake"

"You'll never realize the true value of the moment until it become a history ""
sensitive!
 
sensitive!
Ndoivyo mkuu,, yaan huyu kijana kwanza inatakiwa atolewe mshipa ndo aje kua na hikima na busara

Mwanaume yapasa kuwa na hekima na busara, in sense that awe ana careful judgements and reasoning upon a certain matter, naona hafikirii wala hajui alisemalo wala alitendalo.
 
Ndoivyo mkuu,, yaan huyu kijana kwanza inatakiwa atolewe mshipa ndo aje kua na hikima na busara

Mwanaume yapasa kuwa na hekima na busara, in sense that awe ana careful judgements and reasoning upon a certain matter, naona hafikirii wala hajui alisemalo wala alitendalo.
kweli kabisa
 
Back
Top Bottom