Kachukua nguo yangu ya ndani

Kachukua nguo yangu ya ndani

Hapa nipo kazini lakini akili haiko sawa kabisa nawaza lengo la kuchukua hiyo nguo ni nini na ukizingatia baada ya tendo nilihisi kama anajifutia ukeni, nimejaribu kumtafuta hewani hapatikani.

Kumbe dalili uliziona tangia mwanzo ila ukazembea.

Haya tuliza moyo Mzee akipatikana ndio utajua alikwenda kuifua ama nje ya hapo.
 
Yaani afutie uke wake alafu akuachie ufue wewe? Kajiongeza next time atakurudishia baada ya kuifua
 
kaweka bond ya dushe lako na papuchi yake hutatamani tena mwanamke mwingine
 
Kuna mwanamke alimwambia mwanaume wake...."ukiniacha nnakuroga"

Nguo ya ndani kwa huku Africa =kizazi.

Dah, nlishasafiri wan tym. Wakati narud wife akanotice idadi ya nguo za ndani si kama alizoweka. Nikazema labda nilipotezea hotelini ila huwa nna mawazo coz kuna mchepuko nlikuwa naishi nao hotelini huko. Hadi leo huwa nawaza kama aliichukua anafanyia nini?
 
Wakuu muwe mnaangalia namna nzuri ya kumshauri mtu bila kumuongezea tatizo.
kuna jirani yangu hapa yeye ni mganga,ukiangalia wateja wake kwa asilimia 90 ni wanawake..!!sasa siku nikamuondolea uvivu ikabidi nikae nae kwenye mabenchi yake huku yeye akitwanga dawa zake,nikamuuliza ni kwa nini wateja wake huwa ni wanawake tuu..akaniambia wanawake wengi huwa wanaenda kufanya makolombwezo na vitu wanavyotumia ni kama hivyo chupi,vu*i,shah*wa,ndomu iliyotumika n.k.....kaniambia unapochukua demu hasa hawa watoto wa mujini ni kuwa nao makini unaweza kusahau familia yako!!
 
Back
Top Bottom