Ufafanuzi wa kisheria (mwenendo wa kesi ya madai)

Nyanda_Athumani

New Member
Jun 27, 2012
3
0
Naomba ufafanuzi wa kisheria! Sheria inasemaje iwapo mali imewekewa zuio na mahakama na mmiliki kulipangisha, kuikodisha au kuiuza mali hiyo na hatimaye kutoroka, je, mahakama inaweza kutoa amri ya kunyang'anywa mali hiyo mtu aliyemilikishwa baada ya zuio la mahakama?

Pili; mtu ameingia makubaliano ya maandishi mbele ya mahakama ya mwanzo kulipa fedha kulikotokana na kupotea kwa mali/mizingo iliyohifadhiwa katika ofisi ya mtu x katika makubaliano hayo ameweka commitment bond mali zake kwa maandishi kwa hiari ya kwamba ikifika tarehe ... sijamaliza kulipa deni hilo mali nilizoweka ziwe mali ya mdai, na muda uliowekwa umepita sheria inasemaje hapo?

Nitashukuru kwa majibu yenu yaiyotukuka.
 
Well, kwanza unatakiwa utambue kua makosa ya madai yana amuliwa na sheria mbili tofauti tokana na mahakama zenyewe ulizopeleka mashauri hayo, mahakama ya mwanzo hua haitumii sheria ya mienendo ya makosa ya madai namba 33, bali utumia sheria yake binafsi tu kama hio ya mienendo ya madai na ambazo sheria hizi hazifanani, sasa ukisoma maswali yako ni wazi swali namba mbili linajibiwa na sheria hio ya makosa ya madai ya mahakama ya mwanzo kwakua tayari swala ilo lilikwisha pelekwa huko, na jibu kwa swali hili la pili ni kwamba "huyo mtu aliekimbia anakua kauvunja mkataba wa maridhiano, na kupita kwa muda mliokubaliana ni wazi utaifishwaji utatakiwa kufanyika kwa order ya mahakama hio ya mwanzo, hivyo itakulazimu kwanza kwenda kufungua kesi ya msingi tena mahakamani hapo ukiomba mahakama izitaifishe hizo Mali za part iliyokimbia na kukiuka makubaliano yenu, sasa swala hili lipo kimkataba zaidi, unless useme kwamba mlienda mahakamani hapo mwanzo kwa shauri jingine then mtuhumiwa akaweka ahadi ya mkataba wa hivyo na sasa kakimbia na muda umepita, but all in all hapa hakuna mjadala tena ila mdai kupewa mali hizi na mahakama kama sehem ya fidia na makubaliano.

Swali namba moja umetaka tu kujua sheria iko vp hapo, though hujasema kama kuna mahusiano na swali namba mbili au kuhusanisha tena swali hili na mahakama ya mwanzo kama ulivyogusia kwenye swali namba mbili, so ushauri utakaopewa hapa utakua ni general tu.

Endapo mahakama ikaweka zuio la uuzwaji mali yoyote ile toka ktk shauri la madai chini ya sheria namba 33 ya madai basi yoyote atakae kengeuka na kwenda kinyume na agizo hili la mahakama atakua kafanya kosa la jinai ambalo huitwa "kuiingilia mahakama ktk wajibu wake na kwenda kinyume nayo" ambalo kosa hili tu upelekea mtu kufungwa miezi si chini ya sita, kwaio hapo tu mtuhumiwa kashafanya kosa la jinai na yuko hatiani kwa maana kapingana na mahakama na kapangisha\kodisha nk. Ieleweke kwamba swala la watu kuchunguza uhalali wa mali wanazoingia mikataba nazo au kuzinunua sio la mahakama na wala mahakama haina huruma kwa watu wa namna hii, hivyo basi upande uliotorokwa na sehemu ya mali ya mjubaliano ya awali na ambayo imewekwa zuio na mahakama, basi utapaswa kwenda mahakamani tena kuomba kuskilizwa tena kwa kesi iliyokuwepo awali ambayo mtuhumiwa amekodisha/kuuza/kupangisha mali iliyokua imewekwa zuio na mahakama hio,,,, na kuokoa muda tu, uyo alienunua/kodishwa/pangishwa hatotambulika na mahakama na mkataba wao hautopokelewa na mahakama hivyo mahakama kwakutumia oda ya 21 rule ya 63 itaweza kuagiza kuuzwa kwa mali ile na mdai kupewa stahiki zake, huku yule alie kodisha/pangisha/uza atakutwa na hatia ya kosa la jinai (ilo nililosemea hapo juu kuhusu zuio la mahakama), na huyu mwingine alieuziwa/kodishwa/pangishwa anaweza nae kumfungulia mashtaka mengine uyo muhuni.

Kama kuna sehemu hujaelewa vizuri utani pm, vinginevyo kila la kheri.
 
Well, kwanza unatakiwa utambue kua makosa ya madai yana amuliwa na sheria mbili tofauti tokana na mahakama zenyewe ulizopeleka mashauri hayo, mahakama ya mwanzo hua haitumii sheria ya mienendo ya makosa ya madai namba 33, bali utumia sheria yake binafsi tu kama hio ya mienendo ya madai na ambazo sheria hizi hazifanani, sasa ukisoma maswali yako ni wazi swali namba mbili linajibiwa na sheria hio ya makosa ya madai ya mahakama ya mwanzo kwakua tayari swala ilo lilikwisha pelekwa huko, na jibu kwa swali hili la pili ni kwamba "huyo mtu aliekimbia anakua kauvunja mkataba wa maridhiano, na kupita kwa muda mliokubaliana ni wazi utaifishwaji utatakiwa kufanyika kwa order ya mahakama hio ya mwanzo, hivyo itakulazimu kwanza kwenda kufungua kesi ya msingi tena mahakamani hapo ukiomba mahakama izitaifishe hizo Mali za part iliyokimbia na kukiuka makubaliano yenu, sasa swala hili lipo kimkataba zaidi, unless useme kwamba mlienda mahakamani hapo mwanzo kwa shauri jingine then mtuhumiwa akaweka ahadi ya mkataba wa hivyo na sasa kakimbia na muda umepita, but all in all hapa hakuna mjadala tena ila mdai kupewa mali hizi na mahakama kama sehem ya fidia na makubaliano.

Swali namba moja umetaka tu kujua sheria iko vp hapo, though hujasema kama kuna mahusiano na swali namba mbili au kuhusanisha tena swali hili na mahakama ya mwanzo kama ulivyogusia kwenye swali namba mbili, so ushauri utakaopewa hapa utakua ni general tu.

Endapo mahakama ikaweka zuio la uuzwaji mali yoyote ile toka ktk shauri la madai chini ya sheria namba 33 ya madai basi yoyote atakae kengeuka na kwenda kinyume na agizo hili la mahakama atakua kafanya kosa la jinai ambalo huitwa "kuiingilia mahakama ktk wajibu wake na kwenda kinyume nayo" ambalo kosa hili tu upelekea mtu kufungwa miezi si chini ya sita, kwaio hapo tu mtuhumiwa kashafanya kosa la jinai na yuko hatiani kwa maana kapingana na mahakama na kapangisha\kodisha nk. Ieleweke kwamba swala la watu kuchunguza uhalali wa mali wanazoingia mikataba nazo au kuzinunua sio la mahakama na wala mahakama haina huruma kwa watu wa namna hii, hivyo basi upande uliotorokwa na sehemu ya mali ya mjubaliano ya awali na ambayo imewekwa zuio na mahakama, basi utapaswa kwenda mahakamani tena kuomba kuskilizwa tena kwa kesi iliyokuwepo awali ambayo mtuhumiwa amekodisha/kuuza/kupangisha mali iliyokua imewekwa zuio na mahakama hio,,,, na kuokoa muda tu, uyo alienunua/kodishwa/pangishwa hatotambulika na mahakama na mkataba wao hautopokelewa na mahakama hivyo mahakama kwakutumia oda ya 21 rule ya 63 itaweza kuagiza kuuzwa kwa mali ile na mdai kupewa stahiki zake, huku yule alie kodisha/pangisha/uza atakutwa na hatia ya kosa la jinai (ilo nililosemea hapo juu kuhusu zuio la mahakama), na huyu mwingine alieuziwa/kodishwa/pangishwa anaweza nae kumfungulia mashtaka mengine uyo muhuni.

Kama kuna sehemu hujaelewa vizuri utani pm, vinginevyo kila la kheri.

Asante kwa Ufafanuzi wako nimeelewa vya kutosha, Suala hili tulianza nalo mahakama ya mwanzo mpaka kufikia makubalianzo hayo sasa, ukomo wa muda ulipofika turirudi tena mahaka ya mwanzo kwa hatua inayofuata tukaambiwa tufungue kesi mahaka ya wilaya kutokana na kiwango cha pesa kuzidi kiwango kinachoweza kuamriwa na mahakama ya mwanzo ... tulilazimika kumtafuata wakili atusaidie kuandaa plaint ambapo tukafanikisha jambo hilo, kwa kuwa katika makubaliano ya awali aliweka dhamana mali zake (nyumba na kiwanda cha nafaka) ilibidi tuombe zuio la mahakama dhidi ya mali hizo na hatimaye mahakama kulidhia. Hofu ilianza pale wakili wake (mdaiwa) kujitoa na yeye kukodisha mashine hiyo.
 
Asante kwa Ufafanuzi wako nimeelewa vya kutosha, Suala hili tulianza nalo mahakama ya mwanzo mpaka kufikia makubalianzo hayo sasa, ukomo wa muda ulipofika turirudi tena mahaka ya mwanzo kwa hatua inayofuata tukaambiwa tufungue kesi mahaka ya wilaya kutokana na kiwango cha pesa kuzidi kiwango kinachoweza kuamriwa na mahakama ya mwanzo ... tulilazimika kumtafuata wakili atusaidie kuandaa plaint ambapo tukafanikisha jambo hilo, kwa kuwa katika makubaliano ya awali aliweka dhamana mali zake (nyumba na kiwanda cha nafaka) ilibidi tuombe zuio la mahakama dhidi ya mali hizo na hatimaye mahakama kulidhia. Hofu ilianza pale wakili wake (mdaiwa) kujitoa na yeye kukodisha mashine hiyo.

Hofu ya nini? Je kesi ilikwisha anza kuskilizwa tayari? Ilianza lini?
 
Well, kwanza unatakiwa utambue kua makosa ya madai yana amuliwa na sheria mbili tofauti tokana na mahakama zenyewe ulizopeleka mashauri hayo, mahakama ya mwanzo hua haitumii sheria ya mienendo ya makosa ya madai namba 33, bali utumia sheria yake binafsi tu kama hio ya mienendo ya madai na ambazo sheria hizi hazifanani, sasa ukisoma maswali yako ni wazi swali namba mbili linajibiwa na sheria hio ya makosa ya madai ya mahakama ya mwanzo kwakua tayari swala ilo lilikwisha pelekwa huko, na jibu kwa swali hili la pili ni kwamba "huyo mtu aliekimbia anakua kauvunja mkataba wa maridhiano, na kupita kwa muda mliokubaliana ni wazi utaifishwaji utatakiwa kufanyika kwa order ya mahakama hio ya mwanzo, hivyo itakulazimu kwanza kwenda kufungua kesi ya msingi tena mahakamani hapo ukiomba mahakama izitaifishe hizo Mali za part iliyokimbia na kukiuka makubaliano yenu, sasa swala hili lipo kimkataba zaidi, unless useme kwamba mlienda mahakamani hapo mwanzo kwa shauri jingine then mtuhumiwa akaweka ahadi ya mkataba wa hivyo na sasa kakimbia na muda umepita, but all in all hapa hakuna mjadala tena ila mdai kupewa mali hizi na mahakama kama sehem ya fidia na makubaliano.

Swali namba moja umetaka tu kujua sheria iko vp hapo, though hujasema kama kuna mahusiano na swali namba mbili au kuhusanisha tena swali hili na mahakama ya mwanzo kama ulivyogusia kwenye swali namba mbili, so ushauri utakaopewa hapa utakua ni general tu.

Endapo mahakama ikaweka zuio la uuzwaji mali yoyote ile toka ktk shauri la madai chini ya sheria namba 33 ya madai basi yoyote atakae kengeuka na kwenda kinyume na agizo hili la mahakama atakua kafanya kosa la jinai ambalo huitwa "kuiingilia mahakama ktk wajibu wake na kwenda kinyume nayo" ambalo kosa hili tu upelekea mtu kufungwa miezi si chini ya sita, kwaio hapo tu mtuhumiwa kashafanya kosa la jinai na yuko hatiani kwa maana kapingana na mahakama na kapangisha\kodisha nk. Ieleweke kwamba swala la watu kuchunguza uhalali wa mali wanazoingia mikataba nazo au kuzinunua sio la mahakama na wala mahakama haina huruma kwa watu wa namna hii, hivyo basi upande uliotorokwa na sehemu ya mali ya mjubaliano ya awali na ambayo imewekwa zuio na mahakama, basi utapaswa kwenda mahakamani tena kuomba kuskilizwa tena kwa kesi iliyokuwepo awali ambayo mtuhumiwa amekodisha/kuuza/kupangisha mali iliyokua imewekwa zuio na mahakama hio,,,, na kuokoa muda tu, uyo alienunua/kodishwa/pangishwa hatotambulika na mahakama na mkataba wao hautopokelewa na mahakama hivyo mahakama kwakutumia oda ya 21 rule ya 63 itaweza kuagiza kuuzwa kwa mali ile na mdai kupewa stahiki zake, huku yule alie kodisha/pangisha/uza atakutwa na hatia ya kosa la jinai (ilo nililosemea hapo juu kuhusu zuio la mahakama), na huyu mwingine alieuziwa/kodishwa/pangishwa anaweza nae kumfungulia mashtaka mengine uyo muhuni.

Kama kuna sehemu hujaelewa vizuri utani pm, vinginevyo kila la kheri.
I Second you, learned counsel!!!
 
Back
Top Bottom