Eeh Mungu uishie najua wewe ndiwe ulietupa huyu Rais Magufuli...nakuomba umlinde umtunze umkinge na kila adui wa ndani na nje..umlinde atokapo umlinde aingiapo umlinde alalapo umlinde aamkapo..eee Bwana wa Mabwana hakuna linalokushinda tusaidie please...!
Jaman mambo ni taratibu anaanza mdogo mdogo..tutafika tuu acheni kukebeh kila.kitu muweni na adabu..mtu akifanya jambo zuri nivema.kumpongeza sio kila akifanya kitu mnaanza kumchambua kisa tu hayupo upande wako..ungepewa.wewe ungeweza...?
Kweli kabisaa ata mm najiukizag uyu dada ni wakazi gan au nae usalama ....ila anafaa sana maana yuko serious sana kakaza uso kama gumegume hachek safi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.