Kwa uelewa wangu nlioupata kupitia mada mbali mbali humu ndani mi najua Tanzania hatuna hicho kitu maana ukiangalia Ma -Rais ambao walinzi wao hutembea na hizo briefcase wote ni Ma-Rais wa nchi zinavomiliki silaha za nyuklia kama sijakosea mfano Marekani, China, Urusi, South Korea , North Korea...
Mkuu mbona halo wapo hovyo au labda cjui namna ya kupata hivo vifurush maana nna line ya chuo ila napewa mb 800 kwa wiki akat voda wanatoa gb 2 moja mchana nyingine usiku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.