kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,031
Nfs ipiNaomba nielekeze nataka nidownload need4speed
Nfs ipiNaomba nielekeze nataka nidownload need4speed
Nightshift, na nyinginezo nzuri nipe ujuzi nduguNfs ipi
Shukran kwa maelezo mazuri je vipi issue ya 4G haiwezi kupunguza gharama ? au haihusiki kwa namna yeyote ?kama upo nje ya dar cheki na smart kwanza kama wapo eneo lako wana unlimited ya siku kwa 1000 na mwezi 20,000 na ni unlimited ya kweli haishuki speed,
kama upo dar angalia vifurushi vya usiku cheki mtandao utakaokupa speed nzuri usiku kati ya halotel na airtel, na kiasi fulani tigo.
-halotel utapata gb 18 usiku mmoja kwa shilingi 1500
-Airtel utapata gb 10 kwa shilingi 600
-tigo gb 4 kwa sh 1500 ila ni usiku miwili
tumia kwanza airtel na halotel halafu angalia unamaliza gb ngapi kama ni chini ya 4 kwa siku moja then 4g ya tigo gb4 zinaisha kwa siku.
pia airtel wana vocha za chuo ambazo hata kama mtu sio mwanachuo anaweza nunua utapata gb 1.2 kwa sh 600 tu nenda cbe zipo kibao.
halotel/voda/tigo unaweza pia kupata vifurushi vya chuo ila itabidi usajili line.
pia angalia tigo kwenye menu yao ya offer maalum kunakuwa na vifurushi vizuri sana kutegemea na eneo ulipo.
Mkuu mbona halo wapo hovyo au labda cjui namna ya kupata hivo vifurush maana nna line ya chuo ila napewa mb 800 kwa wiki akat voda wanatoa gb 2 moja mchana nyingine usikuNenda halotel mkuu, wako vizuri saana sajili university pack yao utaenjoy saana.
Wafanyakazi wa serikali wanapata GB 3 bure.
Kwa hapa Zanzibar wapo hawa watu Chief-Mkwawa !?nafkiri bado ipo, ila ni nje ya dar.
Nightshift, na nyinginezo nzuri nipe ujuzi ndugu
Airtel siku hiz magumashiHivi hii airtel mbona kwangu ina speed ya konokono.
Ipo slow sana lakini watu mnaisifia.
Kwanini mimi ni tofauti?.... hadi nimeiacha kutumia.
Asante nitafanya hivyoDownload bitcomet kisha install kweny pc yako...then ingia 1337x.to utasearch hizo game zako na uta download
Mkuu kwa habari mpya nilizonazo hawa jamaa hawapatikani tena nje ya dar kwa 3g, wapo kwa 4g mikoa michache.Kwa hapa Zanzibar wapo hawa watu Chief-Mkwawa !?
Asante Chief-MkwawaMkuu kwa habari mpya nilizonazo hawa jamaa hawapatikani tena nje ya dar kwa 3g, wapo kwa 4g mikoa michache.
Kupunguza gharama compare na 3g? Mi naona vifurushi vinashuka sana gharama, atleast vile ambavyo sio rasmi, kila mtandao unajitahidi kuwa na vifurushi vya pembeni vizuri.Shukran kwa maelezo mazuri je vipi issue ya 4G haiwezi kupunguza gharama ? au haihusiki kwa namna yeyote ?
Hivi ni vifurushi maalum, vinakuja na kupotea. Mimi napata 10gb na dakika 1000 kwa 10,000 kwa mwezi.Hivi bundles za tigo zikoje ? Maana kuna kipindi nilikuwa napiga *147*00# na kupata 2GB weekly lakini sasa siwapati
Duh... Hii kila mtu ingekuwa inakibali si ingekuwa raha sanaHivi ni vifurushi maalum, vinakuja na kupotea. Mimi napata 10gb na dakika 1000 kwa 10,000 kwa mwezi.
Kwa menu ipi mkuuHivi ni vifurushi maalum, vinakuja na kupotea. Mimi napata 10gb na dakika 1000 kwa 10,000 kwa mwezi.
*147*00# kisha unachagua chap chap offers.Kwa menu ipi mkuu