Recent content by Forgo

  1. Forgo

    Watu wasiojulikana

    1: Walimuuwa Alphonce Mawazo (Chadema) kwa mapanga mchana kweupe. 2: Walimteka mwanamuziki Roma mkatoliki anayefanya harakati za kuikosoa serikali kupitia nyimbo zake na kumtesa kwa siku kadhaa halmanusra kumuuwa. 3: Walimzonga Nape Nnauye alipotofautiana na Serikali kuu na mmoja wao akaitoa...
  2. Forgo

    Watanzania tuna wazimu?

    Watanzania tujifunze kufikiri, hili sakata la vyeti halikuibuliwa na wakina Chid Benz, T.I.D, Ray C,Tunda nk sababu hawa wote ni waathirika wa madawa ya kulevya na walistahili kuhojiwa wanayatoa wapi japo taratibu za kuitwa kwao polisi na mkuu wa mkoa zilikuwa kinyume na sheria. Huyu mkuu wetu...
  3. Forgo

    Tunaelekea wapi?

    Anajua na ndio maana alitoa order kwa mkuu wa mkoa kuwatumia askari wa kitengo cha usalama wa taifa
  4. Forgo

    Kwanini tung'ang'anie vyeti tusinganganie madawa?

    Kwa akiri za kutengeneza video ya uongo na kulazimisha irushwe Clouds TV kwa lengo la kumchafua Mtu. Akiri hizo zitashindwa kusema #Forgo anauza madawa ya kulevya? Kwa chuki tu, au visasi? Kama jinga hili lilikuwa na nia thabiti ya kuzui na kupambana na wauza madawa ya kulevya basi lisingekuwa...
  5. Forgo

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mtaani pesa ngumu, umefukuza watu maelfu kwenye ajira zao, wahitimu vyuo vikuu hutaki kuwaajiri na hauna mpango huo sababu kama kiongozi hufuatilii tena maendeleo ya nchi yako, wewe upo bize kufuatilia nani kasema nini, imekuwaje (Shilawadu) na wasomi wengine unawapeleka wakafanye kazi nchi...
  6. Forgo

    Unafiki wetu watanzania

    Vyama pinzani kazi yake kuu ni kuikosoa serikali pale inapokosea iweze kujisahihisha na kutimiza wajibu wake kwa wananchi. Hapa kwetu kuna ujinga wa watawala kuwaaminisha wananchi kwamba kuikosoa serikali ni kosa, ni ugaidi na ni uasi.... Rais Magufuli ametumia hisia nyingi za uchungu na...
  7. Forgo

    Hapa kwa 99% Magufuli amechemka

    Umenena vyema.....
  8. Forgo

    Hapa kwa 99% Magufuli amechemka

    Mkuu tumia kichwa kufikiri
  9. Forgo

    Hapa kwa 99% Magufuli amechemka

    Hapo alirubuniwa sio kushauriwa,,, taratibu haziko hivyo na ndio maana yule bwana Wilson Kabwe alipata mshituko wa moyo na kupoteza maisha. Alifukuzwa kazi bila kufuata taratibu, neno liligeuzwa sheria. R.I.P Wilson
  10. Forgo

    Hapa kwa 99% Magufuli amechemka

    Mwanzo ilisikika JPM hashauriki ikaishia hewani ila leo amejidhihirisha wazi kwa watanzania wote kuwa yeye "Hashauriki" nanukuu "Mpaka watu wengine wanaingilia Uhuru wangu, Mimi huyu uniingilie?, Ukiniingilia ndiyo umeshapoteza kabisa, Mimi huwa sipangiwi mambo.... Hakuna mtu wakuniambia fanya...
  11. Forgo

    Something is wrong somewhere

    Kuna wakati unaweza ukaona vyema Ikulu kuongozwa na genge la wahuni wenye hofu ya Mungu na maadili kwa wananchi kuliko ikaongozwa na Mtu mmoja anayejipa ufalme na ukuu wa miliki zote hadi zisizo halali kwake na kujifanya yeye ndiye Sheria ya nchi na kwa neno lake mnatii. Utambuzi wa mihimili...
  12. Forgo

    Hapo mwanzo mtu alimuumba Mungu kwa mfano wake

    Hahahaha kabla sijatoa maoni zaidi, nifahamishe Asili ya Mwanadamu, Watu/Mtu wa kwanza ametoka wapi?
  13. Forgo

    Serikali ilifanya harambee inayosema Changia Maafa Kagera lakini haijatoa pesa

    Kumbe majukumu ya serikali ni kuwalaghai wananchi? Nini kiliwashinda kuanzisha harambee ya Changia Miundombinu ya Serikali Kagera? Maafa yametumika kama kitega uchumi cha serikali, yani unashadadia Maafa ya kagera kuwa sawa na mbuga za wanyama kuwa sawa na mlima Kilimanjaro!! Kwamba vyote...
  14. Forgo

    Serikali ilifanya harambee inayosema Changia Maafa Kagera lakini haijatoa pesa

    Tatizo siyo bavicha, siyo wapinzani na siyo wananchi, tatizo ni kauli za viongozi wa serikali ya ccm
  15. Forgo

    Serikali ilifanya harambee inayosema Changia Maafa Kagera lakini haijatoa pesa

    Ni wazi pesa zimepigwa na wananchi wameliwa kekundu(Ni kawaida ya wadanganyika), Serikali ilifanya harambee inayosema Changia Maafa Kagera. Kwa maneno hayo ni dhahiri serikali haikuomba kuchangiwa pesa kwaajili ya kujenga miundombinu yake bali kuwaokoa waathirika wa tetemeko kutokana na hali...
Back
Top Bottom