Watanzania tujifunze kufikiri, hili sakata la vyeti halikuibuliwa na wakina Chid Benz, T.I.D, Ray C,Tunda nk sababu hawa wote ni waathirika wa madawa ya kulevya na walistahili kuhojiwa wanayatoa wapi japo taratibu za kuitwa kwao polisi na mkuu wa mkoa zilikuwa kinyume na sheria.
Huyu mkuu wetu...