Serikali ilifanya harambee inayosema Changia Maafa Kagera lakini haijatoa pesa

Forgo

Member
Apr 7, 2016
27
60
Ni wazi pesa zimepigwa na wananchi wameliwa kekundu(Ni kawaida ya wadanganyika), Serikali ilifanya harambee inayosema Changia Maafa Kagera. Kwa maneno hayo ni dhahiri serikali haikuomba kuchangiwa pesa kwaajili ya kujenga miundombinu yake bali kuwaokoa waathirika wa tetemeko kutokana na hali ngumu ya chakula, malazi na makazi. Labda ndo kuokoa pesa na kuzielekeza kwenye mfuko wa wajanja.

"Tetemeko halikuletwa na ccm, ndugu watanzania tujitolee kwa moyo wa upendo kuwachangia wenzetu wa Kagera waliokumbwa na tetemeko" - JPM 2016

"Serikali haitamjengea mwananchi nyumba wala kumpatia chakula kwanza serikali ya namna hiyo haipo kokote duniani! Haipo!, kila mmoja abebe msalaba wake" JPM 2017

Wajinga ndo waliwao
 
bavicha msidanganye wananchi.Nani kakwambia jukumu la serikali ni kujengea watu nyumba?? is it mbowe, au lissu??
kakudanganya
 
bavicha msidanganye wananchi.Nani kakwambia jukumu la serikali ni kujengea watu nyumba?? is it mbowe, au lissu??
kakudanganya
Tatizo siyo bavicha, siyo wapinzani na siyo wananchi, tatizo ni kauli za viongozi wa serikali ya ccm
 
Tatizo siyo bavicha, siyo wapinzani na siyo wananchi, tatizo ni kauli za viongozi wa serikali ya ccm
tatizo hujaelemishwa kuhusu majukumu ya serikali kwa wananchi, ndo maana ukilala njaa oooh CCM, kama vile ndo ilikuambie uwe mzembe
 
Kumbe majukumu ya serikali ni kuwalaghai wananchi? Nini kiliwashinda kuanzisha harambee ya Changia Miundombinu ya Serikali Kagera?

Maafa yametumika kama kitega uchumi cha serikali, yani unashadadia Maafa ya kagera kuwa sawa na mbuga za wanyama kuwa sawa na mlima Kilimanjaro!! Kwamba vyote vinaiingizia serikali kipato?

Acha kubeba kichwa kinachoitesa miguu yako
 
Back
Top Bottom