Recent content by forest zone

  1. forest zone

    RC Mkoa wa Dar es Salaam asema atakayeleta vurugu mkoani kwangu ashughulikiwe na aliyemkamata asiachiwe

    Tokomeza zero.haka kamziki sijui kaimba nani vile mnikumbushe.
  2. forest zone

    CHADEMA imevuna mawaziri zaidi ya 8 kutoka CCM na Katibu Mkuu mmoja hadi sasa; Je, orodha itaongezeka au itapungua?

    Mkuu dragon unaniflahisha sana kwahyo ccm sasaivi imebaki safi hakuna fisadi?haya bana mjivunie hili taifa kuwa na vilaza wengi.ila iposiku.
  3. forest zone

    Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

    Kwanini hukuyasema haya kipindi yupo huko ccm?acheni siasa taka
  4. forest zone

    CHADEMA imevuna mawaziri zaidi ya 8 kutoka CCM na Katibu Mkuu mmoja hadi sasa; Je, orodha itaongezeka au itapungua?

    Hawa ccm wangewekwa kwenye maajabu ya dunia yakuweza kuongoza taifa mda mlefu kwa sela taka.
  5. forest zone

    CHADEMA imevuna mawaziri zaidi ya 8 kutoka CCM na Katibu Mkuu mmoja hadi sasa; Je, orodha itaongezeka au itapungua?

    Weka ushahidi?kwanini ccm hajawahi tangaza wezi au mafisadi mliyo nayo ndani ya chama?hebu nitajie wezi wengine waliopo ccm walau wawili.
  6. forest zone

    CHADEMA imevuna mawaziri zaidi ya 8 kutoka CCM na Katibu Mkuu mmoja hadi sasa; Je, orodha itaongezeka au itapungua?

    Kwanini mkae na wezi?he unaweza nitajia wezi wengine ndani ya ccm?
  7. forest zone

    CHADEMA imevuna mawaziri zaidi ya 8 kutoka CCM na Katibu Mkuu mmoja hadi sasa; Je, orodha itaongezeka au itapungua?

    Unauhakika au debe tupu?sija wahi ona ccm anaongea na vizibitisho ila niupompoma tupu.
  8. forest zone

    Kasi ya Rais Magufuli na CCM mpya balaa

    Pole sana ndugu yangu nivigumu sana kuupinga ukweli ndiyo maana kila wakijibu wanaonekana kupwaya.hujajiuliza kwanini mkuu kazuia mikutano?tulijenge taifa kwa ukweli siyo ushabiki popo.
  9. forest zone

    Hivi tutajengaje juu ya uongo? Watu wanasifiaje uongo?

    Nitasema mpaka Siku ya mwisho hii nchi inawatu wa ajabu naita endelea kuwa nchi ya ajabu!!ndani ya ccm hakuna jipya labda ushabiki tuu usiokuwa natija.
  10. forest zone

    Bituro Kazeri: Uzalendo ni kuunga mkono kila jambo lifanyikalo katika Taifa na kutokosoa hadharani

    Sizani kama kuna mwanachama wa CCM aliye makini. Hawa watu niwatu wa ajabu sijawahi ona.
Back
Top Bottom