Pole sana ndugu yangu nivigumu sana kuupinga ukweli ndiyo maana kila wakijibu wanaonekana kupwaya.hujajiuliza kwanini mkuu kazuia mikutano?tulijenge taifa kwa ukweli siyo ushabiki popo.
Nitasema mpaka Siku ya mwisho hii nchi inawatu wa ajabu naita endelea kuwa nchi ya ajabu!!ndani ya ccm hakuna jipya labda ushabiki tuu usiokuwa natija.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.