Wakuu panatafutwa vijana watano wakike wawili na wakiume wa tatu kwa kazi tajwa apo juu unaweza kuni Cheki Whatsapp kipaumbele uwe Arusha Mawasiliano 0716315462 Whatsapp Nicheki
Wajuzi mnakaribishwa nataka kujua kirefu cha hivi, RPO,RPC,DCI,OCD,DSO,OCD kama kuna vingine ongezea
RC Regional commissioner
DC District Commissioner
CAG Comptroller and Audit General
CDF Chief Defense force
Mimi naona Mzizi wa haya mapungufu ni katiba tu hii ya mwaka 1977 Iko na mapungufu kadhaa mfano Baadhi ya nafasi raisi angekuwa anapendekeza tu na Bunge ndio approve kama ilivo kwa PM
Ukiona Baba anatumia nguvu kutaka wanae wamjue na wamuheshimu kama baba yao basi apo kuna shida kidogo, Baba ni kutekeleza majukumu na Watoto wenyewe tu watajua wewe ni BABA na heshima kubwa utapata!
Mkuu ni ngumu kidogo ila wakati tunasubiri wataalamu tuangalie haya Hizo dish mbili zote uelekeo wake ni tofauti Huyo Dstv ni North frequently while Azam ni West kwa hapa kwetu ili upande local station lazima tutafute signal kupitia hizo Pande
Wire masikioni coiled earpiece ni kwa Walinzi wa High ranks leaders, Ila linapokuja swala la Usalama kuna Informers au collectors of information ambae Hajawahi vaaa hata suti Yani Ata asishukiwe, hao unaokutana nao na kuwahisi Wapo vitengo vya wazi wazi Tu kama PSU
Mimi hata beg la kuvuruta sibebi nilikuwa naenda na begi moja tu la mgongoni Kadet tatu, na shati mbili, Laptop Na pair moja ya viatu reserve, Truck suit basii, Nachukia sana mizigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.