Naweza kutumia dish moja la azam au dstv kuweka ving'amuzi viwili?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,430
17,059
Habari ya jumapili wakuu.

Naomba kujua kama naweza kutumia dishi moja la azam au dstv kuweka vile kichwa viwili vya azam na dstv.

Nina ving'amuzi viwili, dstv na azam ila najaribu kuangalia uwezekano wa kutumia dish moja kuliko kupachika madishi yote.

Ahsante.
 
Habari ya jumapili wakuu.

Naomba kujua kama naweza kutumia dishi moja la azam au dstv kuweka vile kichwa viwili vya azam na dstv.

Nina ving'amuzi viwili, dstv na azam ila najaribu kuangalia uwezekano wa kutumia dish moja kuliko kupachika madishi yote.

Ahsante.
Ingekuwa vyote ni azam au vyote dstv ingewezekana lakini ni tofauti na dstv na azam uelekeo ni tofauti japo dish na lnb zinaingilia so haiwezekani.
Ngoja na wengine waje watoe yao
 
Inawezekana kama utazingatia Angle of elevesion na Focal length ya Dipole
 
Hapa hoja isiwe inawezekana au haiwezekani...wataalamu jibuni kwa kuangalia nini kifanyike ili iwezekane kuwa na universal satelite dishes...dish moja vingamuzi miamoja. Kazi kwenu wanasayansi
 
Mkuu ni ngumu kidogo ila wakati tunasubiri wataalamu tuangalie haya Hizo dish mbili zote uelekeo wake ni tofauti Huyo Dstv ni North frequently while Azam ni West kwa hapa kwetu ili upande local station lazima tutafute signal kupitia hizo Pande
 
Hapa hoja isiwe inawezekana au haiwezekani...wataalamu jibuni kwa kuangalia nini kifanyike ili iwezekane kuwa na universal satelite dishes...dish moja vingamuzi miamoja. Kazi kwenu wanasayansi
Usilazimishe vitu visivyowezekana kwa ubishi wa kiswahili swahili tu, hiyo universal satellite itarushwa wapi kiasi kwamba eneo lolote la dunia liweze kuwa na same coverage? Labda kama unataka dunia iwe bapa na sio hali ya uduara iliyonao...

Mawimbi ya satelaiti zaidi ya moja huweza kunaswa na dish moja (lnb moja au tofauti) endapo tu uelekeo na mwinuko toka uso wa dunia wa satelaiti hizo unakaribia sana na vile vile ukubwa wa dish uwe umezingatiwa kulingana na footprint ya satelaiti husika...

Mathalani 57°E, 66°E, 68.5°E, 76°E, 78.5°E n.k zote hizi huweza kupatikana katika dish moja na lnb tofauti na pia katika uelekeo huo zipo satelaiti unazoweka lnb moja na dish moja na ukapata mawimbi yake kwa hosted channels zote...

Sasa kwa hili la huyu bwana, DSTV na Azam huwezi wapata katika dish moja na lnb moja au mbili na king'amuzi kimoja kwa kuwa uelekeo na mwinuko wake kuelekea hizo sateliti mbili toka Tanzania upo mbalimbali sana...
 
Ni sawa unaishi Dar halafu ulazimishe 88.5 ishike radio one au radio free au Tbc Fm...ukishajua kwanini 88.5 ni cloudz tu na haiwezekani radio ingine ikashika kwa masafa hayo hapa DSM..bhas utajua ni kwanini Huwez tumia dish moja la dstv au azam kwa unavyotaka.
 
Jibu ni: Haiwezekani.
Sababu: Wanatumia satellite tofauti, elevation angle tofauti, azimuth tofauti, hata kama dish linasupport mount za lnb mbili.
 
Hivi mkuu kuna android box yoyote yenye FTA ?ambayo kwayo naweza download app pia kuona hizo FTA...?


Pia kama TV yako si quality kuna kifaa chochote unaweza Fanya TV ikawa quality?au ni ubora wa kioo?
Usilazimishe vitu visivyowezekana kwa ubishi wa kiswahili swahili tu, hiyo universal satellite itarushwa wapi kiasi kwamba eneo lolote la dunia liweze kuwa na same coverage? Labda kama unataka dunia iwe bapa na sio hali ya uduara iliyonao...

Mawimbi ya satelaiti zaidi ya moja huweza kunaswa na dish moja (lnb moja au tofauti) endapo tu uelekeo na mwinuko toka uso wa dunia wa satelaiti hizo unakaribia sana na vile vile ukubwa wa dish uwe umezingatiwa kulingana na footprint ya satelaiti husika...

Mathalani 57°E, 66°E, 68.5°E, 76°E, 78.5°E n.k zote hizi huweza kupatikana katika dish moja na lnb tofauti na pia katika uelekeo huo zipo satelaiti unazoweka lnb moja na dish moja na ukapata mawimbi yake kwa hosted channels zote...

Sasa kwa hili la huyu bwana, DSTV na Azam huwezi wapata katika dish moja na lnb moja au mbili na king'amuzi kimoja kwa kuwa uelekeo na mwinuko wake kuelekea hizo sateliti mbili toka Tanzania upo mbalimbali sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkuu kuna android box yoyote yenye FTA ?ambayo kwayo naweza download app pia kuona hizo FTA...?

Kuwa na android box maana yake umeamua kutumia internet kuweza kustream/kupata matangazo ya TV...

Kuna app moja inaitwa Online TV ni ya wabongo huwa ina FTA stesheni chache za kibongo kama Azam, na hizi nyingine kama TBC, ITV unaweza ukainstall...

Kwa za nje unaweza ukajaribu kuinstall app ya mobdro

Pia kama TV yako si quality kuna kifaa chochote unaweza Fanya TV ikawa quality?au ni ubora wa kioo?

Haiwezekani mkuu
 
Shukrani sana,ila kuna jambo linanichanganya sana,kuwa na Mi box na kuwa na kile kiflash cha android box(amazon stick) hapa mzuli ni ipi maana kuna baadhi zinaitwa amazon na hiyo Mi box...
Kuwa na android box maana yake umeamua kutumia internet kuweza kustream/kupata matangazo ya TV...

Kuna app moja inaitwa Online TV ni ya wabongo huwa ina FTA stesheni chache za kibongo kama Azam, na hizi nyingine kama TBC, ITV unaweza ukainstall...

Kwa za nje unaweza ukajaribu kuinstall app ya mobdro



Haiwezekani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana,ila kuna jambo linanichanganya sana,kuwa na Mi box na kuwa na kile kiflash cha android box(amazon stick) hapa mzuli ni ipi maana kuna baadhi zinaitwa amazon na hiyo Mi box...

Sent using Jamii Forums mobile app
Go for Mi Box...maana yenyewe utakuwa huru kuweka na kutoa apps utakavyo

Fire stick (Amazon) itakukweke kauzibe "limits" kidogo kibongo bongo
 
Habari ya jumapili wakuu.

Naomba kujua kama naweza kutumia dishi moja la azam au dstv kuweka vile kichwa viwili vya azam na dstv. Huwezi sababu nikwamba uelekeo ni tofauti kabisa ila ingekua Startime na Azam au zuku na Azam kunamna unabalance signal kwhy unaweza tumia Dishi moja ving'amuzi viwili

Nina ving'amuzi viwili, dstv na azam ila najaribu kuangalia uwezekano wa kutumia dish moja kuliko kupachika madishi yote.

Ahsante.
huwezi
 
Habari ya jumapili wakuu.

Naomba kujua kama naweza kutumia dishi moja la azam au dstv kuweka vile kichwa viwili vya azam na dstv. Huwezi sababu nikwamba uelekeo ni tofauti kabisa ila ingekua Startime na Azam au zuku na Azam kunamna unabalance signal kwhy unaweza tumia Dishi moja ving'amuzi viwili

Nina ving'amuzi viwili, dstv na azam ila najaribu kuangalia uwezekano wa kutumia dish moja kuliko kupachika madishi yote.

Ahsante.
huwezi
 
Wataalamu nisaidieni na hapa.. Nina dishi la star times na kingamuzi chake, nimenunua dekoda ya Azam bila dish je ninaweza kutumia ilo dish la star times na dekoda ya azam?
 
Back
Top Bottom