Kwan wew matumiz yako ni yapi haswa?
Gaming au Ku type na kuangalia movie?
Kama unaangalia movie na Ku type basi imekithi viwango
Ila kama ni Gaming basi processor yake ni ndogo
Kwa mahitaji haya iyo PC haikithi viwango, tafuta PC yenye uwez wa corei 3 na 4gb ya ram ndio utawez enjoy vizurN
Ninataka ƴa gaming,,editing viɗeo,,coɗing..etc..ninahitaji pc yenye sifa zipi..??
Mkuu, editing ya video anayokusudia itafanya ila siyo kwa ufanisi. Combination ya processor hiyo na ram average itapelekea rendering ichukue masaa mengi. Kama motherboard inaruhusu expansion ya ram zaidi hadi 8gb basi aongezee ili kuboost performance kidogo.sio cpu mbaya mkuu, inafanya basic task zote na utacheza games ndogo ndogo vizuri tu.
sikuona hio comment yake ya pili, ndio haifai kwa video editing, ila kwa games kiasi fulani atacheza japo si sana.Mkuu, editing ya video anayokusudia itafanya ila siyo kwa ufanisi. Combination ya processor hiyo na ram average itapelekea rendering ichukue masaa mengi. Kama motherboard inaruhusu expansion ya ram zaidi hadi 8gb basi aongezee ili kuboost performance kidogo.
Kwa kufanya editing ya docs, light gaming na coding ya web au apps bila kuhitaji cpu intensive emulations inafaa.
chief samahani ivi apps lahisi kutumia kwa ajili ya kuemulator apps za simu zije kwenye pc?nimejalibu andy sijaielewa kbsa.au kama hutojali baada ya kudownload nielekeze process zinazofata.sio mjzi sn na hivi vitu.sikuona hio comment yake ya pili, ndio haifai kwa video editing, ila kwa games kiasi fulani atacheza japo si sana.
chief samahani ivi apps lahisi kutumia kwa ajili ya kuemulator apps za simu zije kwenye pc?nimejalibu andy sijaielewa kbsa.au kama hutojali baada ya kudownload nielekeze process zinazofata.sio mjzi sn na hivi vitu.
jaribu droid4x mkuu ni rahisi zaidi.chief samahani ivi apps lahisi kutumia kwa ajili ya kuemulator apps za simu zije kwenye pc?nimejalibu andy sijaielewa kbsa.au kama hutojali baada ya kudownload nielekeze process zinazofata.sio mjzi sn na hivi vitu.
Jaribu Noxplayer iko poachief samahani ivi apps lahisi kutumia kwa ajili ya kuemulator apps za simu zije kwenye pc?nimejalibu andy sijaielewa kbsa.au kama hutojali baada ya kudownload nielekeze process zinazofata.sio mjzi sn na hivi vitu.
thanx mkuu hiyo imekubali.kumbe haka kakimeo kalongtime.CANT GET PERFECT OF DROID4X UNDER XP SYSTEM.PLS UPGDADE TO THE WINDOW 7 OR ABOVE.kwhy ninunue kengine au kanaweza kuwa uptodate?jaribu droid4x mkuu ni rahisi zaidi.
Hata yeye hajui. Msamehe bure tu . Bado yuko hukuShiɗa iko wap nieleweshe basi..mm sielew kitu hapo