Kwenye bureau de change kuna bei aina mbili kwa maana ask and bid prices eg dola inaweza kuandikwa buy tsh 2150 sell 2200 maana yake ukiwa na dola unataka kuiuza wao (bureau de change) wanainunua kwa sh 2150 ila ukiwa na tsh unataka kununua dola wao (bureau de change) wanakuuzia 2200 na...
Huu ni uongo wa kitoto saana walioandikishwa iringa mjini kwa maana ya manispaa ya iringa kwenye bvr ni 105662 na jumla ya wapiga kura wa ccm ulioainisha ni 145637
Pole saaana wakati wa IPO za precision air hawakufanya analysis nzuri maana wakati huo kulikuwa na fukuto la kurejea ATCL na ndio kipindi hicho ambacho fastjet ilikuwa katika hatua za awali hivyo kuathiri ununuaji wa hisa kwa kuwa kabla ya fastjet na atcl precision ilikuwa na 51% share katika...
Kwa uelewa wangu wanyama karibu wote wana uwezo wa kudetect adrenalin(hormone of fight or flight) kwa hali ya kawaida ukipata kitu cha kuogofya adrenalin hutoka kwa ajili ya wewe kujihami ama kupambana nacho. Kwa mtoto hana uelewa juu ya hatari hivyo basi adrenalin yake haitoki na kufanya nyoka...
kibiashara Blackberry ilianguka baada ya duplication ya muundo wake wa simu (kutoka kwa wachina) na kuanza kuharibu reputation iliyokuwanayo, initially blackberry ilikuwa cm ya class flan baada ya duplication wale watu wakaona status yao inashuka kwa kuwa ilikuwa ngumu mtu kutofautisha original...
nasikitika kuwa mleta hoja hajanielewa nimetoa scope ya economics kwa kuwa muulizaji alitaka uamuzi kati ya economics and finance na accounts and finance which means finance was common in each of the two choices i may giv the finance scope ila hapa sio mahala pake.
unataka kufanya nini? i recommend economics and finance kwa sababu hizi kwanza economocs is wider than accounts secondly kwenye biz subjects hakuna consultancy isiyohusisha economiccs and finance mwisho accounts ipo kupanga yaliyofanywa na wachumi na financial analysts naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.