Recent content by Flex J

  1. Flex J

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    N.R.N.E
  2. Flex J

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kisimbuzi cha Azam TV

    Wapigie kwa no 0784108000
  3. Flex J

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Naomba ufafanuzi hua sielewi kwanini mnakatisha ruti ya Mbezi kutoka Gerezani au kivukoni sa 2 : 30 ilihali abilia ni wengi ila mnataka afike kimara achukue gari nyingine. Hii inafanya mnapoteza fedha kwa sababu kuna baadhi akifika kimara kachoka kusubiri gari zenu mpaka zijae tena anahisi uvivu...
  4. Flex J

    JamiiForums Tanzania Coastal Union 1-2 Simba SC| Uwanja Wa Mkwakwani - Tanga| Ligi Kuu ya NBC

    Kila la kheri mnyama
  5. Flex J

    JamiiForums Tanzania Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

    Napata kwa bei gani boss hii kitu ? Ps4 pro 2 controlers Storage : 1 tb Free cd : Fifa 21 Hdmi&Power cable
  6. Flex J

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri, hamna dawa ambayo sijatumia

    Na me pia naomba un pm kiongozi Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
  7. Flex J

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupata connection za ajira na machimbo mengine

    Habari mimi pia natafuta ajira. Nina diploma ya UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA. (RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT). Napatikana Dar es salaam pia sio lazima iwe utunzaji wa kumbukumbu nachoomba ni kazi yoyote ambayo ni halali. Asanteni
  8. Flex J

    JamiiForums Tanzania Al Ahly 1-0 Simba | CAFCL | Al Salam Stadium

    Sa 4:00
  9. Flex J

    JamiiForums Tanzania Mikia watasema ni photoshop

    CR7 hawezi vaa jezi za amphiphro fc Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Flex J

    JamiiForums Tanzania Mwanza City: The Photo Gallery

    Itakua maeneo ya wapi hii mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Flex J

    JamiiForums Tanzania Update: Mashtaka dhidi ya makampuni manne ya simu

    Pambana mkuu na Mungu akuajaalie maana haya makampuni ya mitandao ni janga mfano Tigo ile saizi yako huwezi angalia hata salio la kifurushi chako ni mwendo wa kukalili muda uliojiunga na siku
  12. Flex J

    JamiiForums Tanzania Mchezaji wa Simba wa zamani aifunga Liverpool

    Safi sana
  13. Flex J

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Siri

    Jamani naomba na mie kwa mwenye muendelezo anisaidie wapendwa
  14. Flex J

    JamiiForums Tanzania Ukusanyaji wa kodi katika biashara zenye mitaji midogo

    Vipi kuhusu vitambulisho vya mjasiliamali vilivyotolewa na mh, rais maana kuna sehemu mpaka muuza mbogamboga anatakiwa kua nacho so ndio kodi yake ile kwa uelewa wangu mdogo au hii unayozungumzia hapa ni tofauti ?
Back
Top Bottom