Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,123
- 122,558
Hahahaaa. Poleni.Hahaaaaa,tutafanyaje sasa,na nyie kutwa kutuwangia tu pamoja na corona hii
Tumeamua kuwapagawisha na nyie mkapagawishika. Lol.
Hahahaaa. Poleni.Hahaaaaa,tutafanyaje sasa,na nyie kutwa kutuwangia tu pamoja na corona hii
Hahahaaa. Poleni.
Tumeamua kuwapagawisha na nyie mkapagawishika. Lol.
Hahahaaaa. Basi tutaweka na ya Mo akiwa kavaa hiyo jezi Matata sijui kama Mtalala nyie.Tumeshawastukia,😜😜😜
Kilichonisikitisha kwenye hii pikiture ni kuona Fundi wa mpira Mnyama CR7 kuvalishwa kinyemela jezi kutoka Utopoloni.Mtani Troisième Ceil kwani na wewe imekutesa hii pikiture? 😂
Mikia wameenda kuiedit ile picha ili mradi chapa gsm isionekane paleMikia mko fastaaa. 🤣🤣🤣 Hamjataka kuteseka. Lol.
Swahiba utawafanya homa zisishuke. 🤣🤣 Mana huko waliko hali si hali kwani hii picha ilishawapa homa.Mikia wameenda kuiedit ile picha ili mradi chapa gsm isionekane pale
Hahahahaa. Wacha kusikitika Mtani hebu. Siku ingine tutamvisha Mo. 😂😂Kilichonisikitisha kwenye hii pikiture ni kuona Fundi wa mpira Mnyama CR7 kuvalishwa kinyemela jezi kutoka Utopoloni.
Ukisikia salamu mfululizo ndo hizi sasa. Lol.Vipi Shadeeya uko poa lakini? Mambo yanaenda? Corona inasemaje huko? Swaumu inaenda? Mvua vipi huko? Familia haijambo? Yanga ina habari gani? 😜😀😀
Mjitahidi basi mue mnatafuta na uongo unaofanana na ukweli......... Mnajitia aibu sana 😂😂😂
Mnyero kama nawaona vile roho zinavyowaumaUTOPOLO BWANA
Aibu ya nini sasa? Haya mambo yapo mbona Mtani.Mjitahidi basi mue mnatafuta na uongo unaofanana na ukweli......... Mnajitia aibu sana 😂😂😂
😂😂😂Mnyero kama nawaona vile roho zinavyowauma
Swahiba mnyero wana roho mbaya kama wakaanga sumu vile
Hii ndio photoshop
CR7 hawezi vaa jezi za amphiphro fcLakini ukweli ndio jamaa aling'ang'ania hii jeziView attachment 1431418