Recent content by fitna

  1. fitna

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Ndio sababu naogopa kuoa maana sitaki nichapiwe kama ninavyo wachapia
  2. fitna

    Mtu anieleze faida ya kuoa

    Unakuwa na uhakika wa papuchi
  3. fitna

    Jumamosi ndipo wote mtakubaliana nami kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC 100% tukishatoka kupewa Kichapo cha uhakika

    Pale Simba kaajiriwa kama msemaji tu na sio shabiki wa simba, anahaki ya kushabikia team youote ila atimize majukumu ya kazi yake
  4. fitna

    Nimeguswa na mambo 2 katika mchakato wa BAVICHA

    Tatizo linaanzia pale wanapoenda na mashati Tshirts za chama
  5. fitna

    Beki wa Salford city Mtanzania HAJI MNOGA kuanza leo kwenye mechi dhidi ya Manchester city

    Ajitahidi ili akupunguzie kumuelezea sana
  6. fitna

    Nina leseni ya driving gari ndogo (sio class C) na nime-renew tangu 1990, leo hii nakataliwa ku-renew eti sina cheti!

    punguza makasiriko, nyie wenye leseni za zamani ndio mmesababisha yote haya, mlikuwa mnasababisha maajari kila siku, sasa hivi unaambiwa ukasome unakaza fuvu, nenda kasome huwezi tupa leseni Pambaav
  7. fitna

    GE2020 Mbowe: Majenerali hawaondoki katikati ya vita!

    N Nani alikufungulia hii account ya JF? maana Kwa hiki ulichoandika sina shaka kabisa na uwezo wako wa kufikiri
  8. fitna

    Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

    Huyo Askofu sijawahi kumuamini mpaka na uaskofu wake na kanisa lake
  9. fitna

    Phone4Sale Iphone X Tsh. 345,000/=

    Nitumie contact zako
Back
Top Bottom