Recent content by Firtz

  1. Firtz

    JamiiForums Tanzania Aisee!! Kanishinda tabia

    Jitu kama hilo ukiga mara moja unamtema fasta.... Huyo kujiuza ni buku 10 tu kwa hali hiyo...
  2. Firtz

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais, haya Mambo ya kuongelea Mataifa ya Nje bila kujipanga sio poa kabisa, yatatugharimu!

    FACT. Kuna mtu anaweza kuongea ukahisi unaota... Duuh..! Hauwezi ukawatenga Jumuiya ya mataifa ukitegemea unajenga uchumi. Wakati hao wachina wategemea kufaidika na haka kuchumi cha BEGGARs. Ni upuuzi mtupu.. Mbebaki kubanana humu humu .. Majeshi kila kona mpaka kusaka mafuta,sukari sasa...
  3. Firtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeona ...wa mke wa mtu ikawa shida, Je nimekosea?

    :mad::mad::mad::mad::mad:
  4. Firtz

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Uhuru Wangu wa Maoni Ulilenga Kulinda Uhuru, Haki, Hadhi na Madaraka ya Bunge

    WASHAMBA NA WEREVU WACHACHE - HON. ZITTO
  5. Firtz

    JamiiForums Tanzania Wazungu punguzeni majungu makazini

    Hawa ni mapigs kweli. Mimi bado ninafanya nao kazi kuna wengine kweli wana roho nzuri mpaka inafikia anakutafutafutia nafasi ya kupanda cheo. Wengi wa wenye majungu wametoka kwenye maeneo masikini sana... Au hata familia zao zinatoka maeneo duni kwenye nchi wanazotokea. Kuna mmoja alileta...
  6. Firtz

    JamiiForums Tanzania Credit suisse wakiri kuikopesha Tanzania Dola milioni 500 (Sawa na trioni 1.2 za kitanzania)

    Hii ni akili mbovu kabisa kupigwa interest kubwa namna hiyo... wakati deni la taifa tayari ni kubwa sana... Kwanini wanakopa kwa siri? Maana hata matumizi yake hayawezi kuwa ya wazi au kuwa na accountability. Nani analinda maslahi ya Watanzania masikini wanaoshindwa kupata kipato cha kijikimu ?
  7. Firtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Noma sana
  8. Firtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya mdogo wa marehemu mke wangu na mchepuko wangu nimuoe nani?

    Dah.! Mzee uko vizuri..! Muoe huyo wa chuo afu yule mtu mzima mwenzio muweke awe mke wa pili.. Wote wape haki sawa..!
  9. Firtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hebu mpe ushauri huyu binti

    Wakugegede tu.... Muuuza..!
  10. Firtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Dah...Tunajifunza kwa hili... Ilibaki kidogo tu niingie mkenge...! Hili somo tosha, ya nini kujibebesha mizigo ya wengine wakati kila mwaka kuna watoto wazuri wanamaliza vyuo vikuu...! Ngoja nikaipige chini hii iliyoniganda mapema....!!!
  11. Firtz

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufuta jina la Mazimbu SUA

    Unajua watu ni kawaida kuhamia nchi nyingine na kutokana na kuamini wanaenda kutafuta... Mbona wachina hawachomwi moto wakati wako karibia dunia nzima/// Hawa wamepoteza mwelekeo tu na wanatapatapa...!!!
  12. Firtz

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufuta jina la Mazimbu SUA

    Hawa ni wajinga sana...! Wanawaacha Makaburu waliowauwa mpaka wakachoka na wanaoshikilia utajiri wao halafu wanawapiga waafrika kwa kugombania kazi za kuuza magenge na kuuza sigara.... !!!! Watabaki hivyo hivyo...! Ngoja kinuke kwao tuone watakimbilia wapi hao mafala...!!
  13. Firtz

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya Askofu Gwajima imezungukwa na Polisi sasa hivi

    Upumbavu mtupu.... Wanaacha majimbazi yanatamba na madawa ya kulevya yanauzwa kama viroba vya konyagi huku wakifanya vitu vya kipumbavu...!! *** this shit..!!! Huyu jamaa atawaaaibisha mwanzo mwisho..!!
  14. Firtz

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Mbezi kati (CHADEMA) Jimbo la Kawe akamatwa na Polisi

    Maujinga ujinga tu hadi kwenye Mambo ya usalama... Pumbavu sana... Toka lini mtoa taarifa akakamatwa... WTF.....
  15. Firtz

    JamiiForums Tanzania Meseji hii ya mwisho mwanachuo aliyomuandikia boyfriend wake kabla hajauawa yawaliza wengi

    Inaumiza.. wanadamu wamekuwa wakatili kuliko wanyama...!!
Back
Top Bottom