Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 776
Hawa wahuni wa SA wanaua ndugu zetu Kyle kwao
,Hv wabongo hatuumii tukiona ndugu zetu wanachomwa?
Kwa kuonyesha kuwa na sisi hatufurahii kinachoendelea tuanze kufuta jina Lao kwenye hostel za Mazimbu kule Sokoine Morogoro.
,Hv wabongo hatuumii tukiona ndugu zetu wanachomwa?
Kwa kuonyesha kuwa na sisi hatufurahii kinachoendelea tuanze kufuta jina Lao kwenye hostel za Mazimbu kule Sokoine Morogoro.