Hebu mpe ushauri huyu binti

Hebu mpe ushauri huyu binti

Tafuta na wa kwenye Twetter, usisahau kwenye skype.
 
siwez kuliandka ila jua nmekupa tus moja baya kutoka moyon
 
Instagram na dada zetu
 

Attachments

  • 1429454975486.jpg
    1429454975486.jpg
    59.8 KB · Views: 300
Halafu nyie watoto mnaokuja na vi topic vya kishenzi hapa jf mnakera Sana.huu upumbavu nendeni mkajadiliane huko huko facebook.
 
Kwanini msiheshimu mawazo ya wenzenu kama unajua huna mchango kwenye thread husika pita kimya kimya
 
Kwanza binti ukiwa muongo uwe na akili...ulipo hapo una wapenzi watatu, mmoja ni huyo mfadhili, wapili ni wa Instagram na huyo unayempenda Facebook.

Mathematical huyu anayekuhudumia umeanza naye ukiwa na miaka 18 na nadhani ulichofata kwake ni huduma tu ila sasa umeshaanza kujua Intagram na Facebook ndo maana unaona hana tena maana...ushauri wangu ni kwamba ingia kwenye mitandao yote ya kijamii utafute wapenzi, kaa nao miaka kumi mbeleni utakuja kujua ni nani alikuwa heaven sent!

Preach,..have a name,..have a name.
 
Mtu anakaa anawaza tu sijui nianzie uzi gani, matokeo yake pumba kama hizi.

Kwani usipoanzisha uzi utaharisha au utaumwa kifaduro? Wanaboa for really

Bora awe shabiki tu kama mimi,....
 
Kwanza binti ukiwa muongo uwe na akili...ulipo hapo una wapenzi watatu, mmoja ni huyo mfadhili, wapili ni wa Instagram na huyo unayempenda Facebook.

Mathematical huyu anayekuhudumia umeanza naye ukiwa na miaka 18 na nadhani ulichofata kwake ni huduma tu ila sasa umeshaanza kujua Intagram na Facebook ndo maana unaona hana tena maana...ushauri wangu ni kwamba ingia kwenye mitandao yote ya kijamii utafute wapenzi, kaa nao miaka kumi mbeleni utakuja kujua ni nani alikuwa heaven sent!
Mkuu huyu utakuta hata sii binti ila ni mshkaji boya tu anatupima mawazo
 
Back
Top Bottom