BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Wakuu,
Kama umefanya kazi na wazungu basi utakubaliana namimi kuwa wazungu ni watu wanaojali sana muda na ni watekelezaji wazuri sana wa majukumu yao, tatizo lao kubwa ni majungu na uchochezi.
Asikwambie mtu bana, wazungu wana majungu sana na wanapenda kupandikiza chuki kati ya boss na wafanyakazi wengine. Kwakuwa wao wanafanya kazi hivyo hata akisema kitu cha uongo huonekana kama ni ukweli kumbe majungu tu
Kama amekwambia ufanye kitu leo, ukamwambia sitaweza nina majukumu mengine ambayo yamenibana sana hivyo nitafanya kesho atakujibu haina shida lakini hapo hapo ataenda kwa boss kusema siwezi kufanya kazi na fulani ni anashindwa kudeliver. Moja kwa moja boss anaanza kukuchukia
Kuna kazungu kamekuja ofisini kwetu kamekaa wiki mbili tu lakini mtiti wake tumeuona, mmoja kashafukuzwa kazi na wengine tunanuniwa tu.
Ndugu wazungu, mkija kufanya kazi fanyeni kazi. Majungu si mtaji, hapa kwetu tunasema ''pambana na hali yako'' yaani ''fight with your condition'' achaneni na hali zetu wazungu. Ndiomana mmenyimwa makinikia, Magu wanyoooshe baba wanyooshe
Kama umefanya kazi na wazungu basi utakubaliana namimi kuwa wazungu ni watu wanaojali sana muda na ni watekelezaji wazuri sana wa majukumu yao, tatizo lao kubwa ni majungu na uchochezi.
Asikwambie mtu bana, wazungu wana majungu sana na wanapenda kupandikiza chuki kati ya boss na wafanyakazi wengine. Kwakuwa wao wanafanya kazi hivyo hata akisema kitu cha uongo huonekana kama ni ukweli kumbe majungu tu
Kama amekwambia ufanye kitu leo, ukamwambia sitaweza nina majukumu mengine ambayo yamenibana sana hivyo nitafanya kesho atakujibu haina shida lakini hapo hapo ataenda kwa boss kusema siwezi kufanya kazi na fulani ni anashindwa kudeliver. Moja kwa moja boss anaanza kukuchukia
Kuna kazungu kamekuja ofisini kwetu kamekaa wiki mbili tu lakini mtiti wake tumeuona, mmoja kashafukuzwa kazi na wengine tunanuniwa tu.
Ndugu wazungu, mkija kufanya kazi fanyeni kazi. Majungu si mtaji, hapa kwetu tunasema ''pambana na hali yako'' yaani ''fight with your condition'' achaneni na hali zetu wazungu. Ndiomana mmenyimwa makinikia, Magu wanyoooshe baba wanyooshe