Haya ni matokeo ya ubinafsi, na hali ya kujiona kuwa bora na wenye kustahili mema ya nchi kuliko wengine. Hakika hili si jambo jema kabisa, nijambo linalofaa kupingwa na kukemewa na kila mwenye kulitakia mema taifa letu tukufu la Tanzania
Ni dhahiri kuwa, tukiendele na mfumo huu wa kutotumia...