Mmmmh , ila kuna wadada wanapitia magumu jamani ......
Sasa baada ya Kumjibu hivyo huyo dada akifatwa na mtu aliyeserious wakaanzisha mahusiano utasema anakucheat??
Nashindwa kuelewa kwann watu wamemtupia mawe huyo dada ...... huyo dada kajihitaji ushauri jins ya kumuacha mtu aliyetaka kutangaza nia ya uchumba kwake ila ninyi mnaanza kumponda na vitisho juuu !!!!
Jamani mpaka yeye kuamua hivyo that means hampendi kijana , je akubali tu kuolewa kisa kijana...
M nasubiri tu siku mtoto arudi nyumbani Kavimba kavimba eti kisa mwalimu kamchapa........ weeee watanitambua , lazima nikinukishee wasilete upuuzi kabisa kwa watoto wa wenzao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.