finnest
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 834
- 1,240
Marafiki waliooana wanakuja kutoa ushuhuda wao.
Hahahahahha
Marafiki waliooana wanakuja kutoa ushuhuda wao.
Waite wakalishe chiniHahahahahha

ndugu yangu upo???Fact
Tuwe marafiki...... Ila nakuweka wazi tu baada ya muda nakukula.......Very true
Nipo aisee, mpwa maisha yanaenda taratbu..tunaonekana hizo hzo kwa taratibu.ndugu yangu upo???
ndio hivyo... me nipo sana sema mara nyingi humu nimekuwa msomaji mzuri kuliko kuchangia.!.Nipo aisee, mpwa maisha yanaenda taratbu..tunaonekana hizo hzo kwa taratibu.
Kwanini?, unachangia tu tujue upo bhana.ndio hivyo... me nipo sana sema mara nyingi humu nimekuwa msomaji mzuri kuliko kuchangia.!.
mara nyingi naishia ku- like tu maana kuna watu wanajua kukosoana humu kama vile kichwa changu anajua kinawaza nini.!.Kwanini?, unachangia tu tujue upo bhana.
Mie nilikua na visit sana jukwaa la dini, ila sasa bahati mbaya nimekula burn sijui hata sababu ni nin.mara nyingi naishia ku- like tu maana kuna watu wanajua kukosoana humu kama vile kichwa changu anajua kinawaza nini.!.
Am one of them... Tulikua marafiki then kimasihara tukaanzisha mahusiano ila hatukudumu hata mwaka kuna vitu tukashindwana but we still good friends.That is also possible Mkuu. I have seen few examples of those who were in a unsuccessful relationship turned to be very good friends after a while.
Am one of them... Tulikua marafiki then kimasihara tukaanzisha mahusiano ila hatukudumu hata mwaka kuna vitu tukashindwana but we still good friends.
Hua sipendi kabisa mazoea na maX ila kwa huyu tuko vzuri na hua tunasapotiana mambo ya msingi.
Very trueWengine hubaki marafiki na kama love making ilikuwa off the chart in a positive way once in while wanaweza kuvuana picchu ila wengine ni strictly friendship with no benefits,
Yaani ghafla tu bila kutarajia/kupanga?Mapenzi ya kuoa au kuolewa huja tu kama nguo mpya
Nani kakuruhusu uandike kilugha humu Mkuu!??Eeeeeeeh....uu sasa so usohga? Umuwowe rafiki yako mupezi?
Nani kakuruhusu uandike kilugha humu Mkuu!??