Nimeandika kitabu kuhusiana na mada hii tata. ( Hatari Nyuma ya Benki za Kiislamu- Risk Behind Islamic Banking)
-Wanasema hawatozi ribs, lakini kupitia Cost plus scheme riba yao in Mara tatu zaidi kulinganisha na Benji zisizo za Kiislamu.
Ni kwa sababu unapotaka mkopo waa kununua kitu, ikiwa...
Mimi niliahirishiwa Mara mbili wiki iliyopita Dar-K'njaro kwa kufaulishiwa kwenye Precision na hivyo hivyo kutoka K'njaro-Dar ilikuwa hivyo hivyo matokeo yake gari iliyokuwa itupokee K'njaro wakatuchaji waiting charge kwa kutofika kwa wakati wakati tatizo hill lilikuwa nje ya uwezo wetu.
Iko...
Umesahau kigezo kimoja kwamba mwanaume awe anajua kuishi na mwanamke kwa akili. Hili in muhimu sana. Anaweza kuwa na vigezo vyote ulivyovitajabila kama hawezi kuishi na nwanamkebkwa akili kutakuwa na matatizo mengi kwenye mahusiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifika tu kituo kikuu cha mabasi cha Liwale utawaona watu wanakuja kwenye bus hill na kutangaza " wanaokwenda kwa bibi, pikipiki zipo" ujue wanaongelea Ngende.
Hapo wanamaanisha wale wanaokusudia kuunganisha siku hiyo hiyo kwenda huko.
Mtapita kwenye misitu Fulani (siikumbuki majina ) hadi...
MHUBIRI 4:1-3
1 Kisha nikarudi na kuona madhalimu yote yanayotendeka chini ya jua; na tazama, machozi yao waliodhulumiwa, ambao walikuwa hawana mfariji; na upande wa wale waliowadhulumu kulikuwa na uwezo, walakini wale walikuwa hawana mfariji.
2 Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.