Kubbra Hooda
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 208
- 297
- Thread starter
- #41
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee sisi wa kusini huko,hiyo sehemu ipo sana wilaya ya liwale huko.
Liwale ni wilaya ya lindi ambayo huwenda ndo ikawa inaongoza kwa uchawi katika mkoa wa lindi,mimi nimetokea wilaya ya nachingwea na nilikuwa nazipata uzuuuuuuuri habari zake.
Ila humu watu wanaongeza chumvi sana yaani,hakuna maajabu kama watu wanayoyasema humu,mengi ni stories tu wala sio hakika,ila ni kweli kina uchawi na watu walipata sana utajiri enzi hizo.
Inasadikika ukipata utajiri unatakiwa upeleke shukurani ,lakini naskia walikuwa wanawasahaulisha makusudi ili wapate sababu tu ya kukypiga BAN ya maisha,na walifanikiwa.
Me nadhani huwenda wanakufanya kiini macho ujione tajiri kumbe fala tu mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app