Recent content by FikraNdefu

  1. F

    Pesa ya Kijerumani 5 Heller 1909 J Deutschland, Deutsch-Ostafrika Course coin

    Habari ya Asubuhi wana jamvi, kilimo ndo ajira nilijichagulia sasa nikiwa shambani nalima nimeokota iyo pesa hapo juu wadau nikiwauliza wanasema umasikini ndo nshauaga sasa sielewi naipeleka wapi maana nimekuja mjini na matapeli ni wengi. Naomba nijulishwe thamani ya iyo pesa ya mkoloni Kwa...
  2. F

    Kipima Joto ITV: Polepole, Prof. Kitila, Mtatiro - Mageuzi ndani ya CCM, je ni mfano wa kuigwa...?

    Polepole kashikwa pabaya Leo Mtatiro anakaba mpaka Penalty [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. F

    Laurence Masha ajitoa kugombea Urais TLS, amuunga mkono Tundu Lissu

    Kutoka Arusha Lawrence Masha ametangaza kujitoa na kumsaport Tundu LISSU akiamini anatosha na anastahili kuongoza Chana hiko. Wacha Movie iendelee
  4. F

    Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

    Hata Mimi nshatoka nduki kwa hii style Demu ndo kwanza tuna siku tatu anatka laki Mbili daaaaah na namba yake nshafutaga kabisa
  5. F

    Safari ya utalii Dubai

    Habari za jioni wanajamvi, Poleni na majukumu ya kutafuta chumo, Nisiwachoshe sana natarajia kusafiri kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka kwenda Dubai sehemu nitayofikia inaitwa Jumeira, sasa nilikuwa naomba kwa wenyeji na mnaoifahamu vizuri Dubai mnipe mwongozo wa sehemu nzuri za kwenda...
  6. F

    Toyota mark x vertiga

    Habari ya weekend wana jamvi anayeifahamu hii gari naomba maoni yenu nataka kuinunua
  7. F

    Uhusiano wa ualimu na u first lady tanzania

    Leo katika moja ya msg nikiyotumiwa ni kwamba walimu wa kike wamezidisha Maringo kwa kile wanchoeleza nyota zao kali sana zinozoweza kuwapelekea waume zao kuwa na mafanikio especially kwenye post ya URAIS hv ni kweli kuna uhusiano kati ya U FIRST LADY na UALIMU nawasilisha......
  8. F

    Tujadili kura 6 zilizoharika Mkutano Mkuu CCM

    Muda mfupi uliopita Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitangaza mshindi wa matokeo ya urais kama ifuatavyo, Kura zilizopigwa ni 2416, Dr asha migiro kapata kura 59 sawa na asilimia 2.4%. Amina Ally kapata kura 253 sawa na asilimia 10.5%. Dr Magufuri kapata kura 2104 sawa na...
  9. F

    Je, Anaitwaje?

    Maana kuna first lady kama rais ni mwamaume akiwa Rais ni mwanamke mumewe ataitwaje Naomba kuwasilisha
  10. F

    Natumia startime, sauti hakuna channel zote.

    Badilisha nyaya za sauti
  11. F

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Namaanisha seat belts za upande wa mbele kwa dereva
  12. F

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wadau mi ni mgeni jamvini nauliza hivi taa ya seat belt inapoendelea kuwaka hata kama umefunga mikanda yote tatizo linakuwa ni nn.... Nawasilisha
Back
Top Bottom