Ndugu zangu amani iwe kwenu! Nimestushwa na baazi ya watz wanaomfananisha mwl Nyerere na Mh. Rais wetu Magufuli hawa watu hawafanani hata kidogo,tuwe wakweli tuache unafiki.Kwa nn nasema haya? Kwanza Mh Mwl hawezi kumlinda kawa uovu wake,lakini Mh.Rais wetu naamini wote waliotufikisha hapa...
Baada ya kufungiwa amekaidi agizo hilo na anaendelea na utabibu kama kawaida,na hata leo alikuwa na kipindi kilichorushwa na channel 10.
Je, mtu huyu yupo juu ya sheria? Yale maagizo hayamuhusu?
Mwenye ufahamu anifahamishe maana nimeshangazwa na hili tukio.
Watoto hao walifariki dunia kwa kuungua na kuteketea kabisa baada ya kulipukiwa na kibatari ambacho kilijazwa mafuta ya taa yaliyochanganywa na petroli, wakazi wa eneo hilo wamekaririwa wakisema ni kawaida vibatari kulipuka ila havijawahi kuleta madhara.
Hii ni moja ya faida tunayopata...
Ndugu zangu tusisahau tumefikishwa hapa na CCM. Tunalia ufisadi wakati CCM ndo inazalisha mafisadi na kuwakumbatia,tunalia rushwa wakati ni zao la CCM, tunalia rasilimali zetu kuporwa na wazungu wakati mshenga ni CCM.
Watanzania tumelogwa na nani? Kila uchafu anaolalamikia rais wetu anasahau...
Ndugu zangu kwa mujibu wa katiba1977 iliotungwa na Ccm hawahawa ktk ibara ya13 inaeleza wazi hakuna alie juu ya sheria, inashangaza leo hii nchi inaendeshwa kwa matamko badala ya katiba. Hofu yangu ni kwamba kesho tutachukiana wenyewe na mwisho majuto atakua mjukuu naona chuki zinaongezeka kati...
Hata kama tunahitaji kuongeza mapato kupitia kodi, kitendo cha serikali katili ya CCM kuongeza kodi kwa nguo za mitumba bila kuwa na viwanda vya kutengeneza nguo ni jipu.
Ikumbukwe 98% ya watanzania tunavaa mitumba ndo kimbilio la masikini na sii wote tunaweza kununua mitumba.
Huko vijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.