Rais Magufuli azidi kupotoshwa na Wasaidizi wake

aje UDSM aone wanyarwanda walivyojazana COET wanaona kama wako Harvard university au oxford wakirudi kwao wanakuwa watu wakubwa tu ,kuna lecturer mmoja alitoka udsm kurudi rwanda akapewa uwaziri jamaa hawana wataalamu kutuzidi hilo halina ubishi tatizo mkuu kabobea kwenye chemistry sina uhakika kama yuko vizuri kwenye civic,history wala geography ,mambo muhimu sana kwa kiongozi wa nchi kuyajua,hayahitaji ushauri,kuna google,kama kuna vitu havijui ajiongeze
Tatizo sisi watanzania tunadhani tukipata ujuzi tu basi ndio tunaajirika- Hatuandalii attitude zetu hilo ndilo tatizo kuu Tanzania. na ukitaka niandike kuhus attitude basi ni Thesis kabisa!
 
Rais JPM a.k.a Catepillar amezidi kuporoka kwa ummarufu baada ya kuonekana kwamba kila jambo analoshauriwa na Wasaidizi wake hulitekeleza bila ya kulipima kabla ya utekelezaji!
Mpaka sasa kuna makosa mengi ambayo JPM ameyafanya kiasi cha Watanzania wengi kuanza kujenga chuki na hasira zidi yake na serikali yake. Nitaeleza machache kati ya hayo!

Swala sukari:Kama kuna jambo ambalo limempunguzia heshima na umaarufu ilikuwa kupiga marufuku uingizaji wa sukari toka nje kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani!Amri hiyo imesababisha mtikisiko na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo muhimu kipindi chote cha mwezi mtukufu kiasi cha bei kufikia 6000/- kwa kilo.
Bunge la Bajeti 2016/7: Bunge la Bajeti lilkiongozwa na Naibu wa Spika Ackson Tulia alilivuruga Bunge kwa kuliendesha kama vile ni taasisi au chombo cha mtu binafsi.Nina hakika Magufuli ni shahidi wa kila kilichokuwa kikitendeka Bungeni na sina hakika kama alihoji kuhusu hali hiyo.Yawezekana alikuwa akidanganywa au kushauriwa vibaya kuwa ati Tulia ndiyo mbabe wa Wapinzani na kuwa amewanyosha kwa timua timua ya Wabunge wa UKAWA! Nakumbuka baada ya kuapishwa JPM alijitanabaisha atatumikia watu wote waliompigia kura na wale wa UKAWA lakini kinachofanyika ni kinyume chake.Swali la kujiuliza hapa ni IKO WAPI DEMOKRASIA ndani ya Bunge letu?

Kupiga marufuku mikutano ya kisiasa: Nina hakika kuna mahifidhina ndani ya CCM waliomshauri JPM kuwa akipiga marufuku mikutano ya kisiasa ya Upinzani basi ataiongoza Tanzania kwa raha mustarehe. Huu ni udhauri mbaya na kama JPM hataufanyia kazi utamgharimu kwenye utawala wake.

Kuchukua Wataalamu toka Rwanda: Juzi Watanzania wsmeshuhudia Rais Paul Kagame wa Rwanda skitembelea Tanzania na kuwa na mazungumzo na JPM kuhsu Rwanda kuleta wataalamu wa IT toka Rwanda kutengeneza mtandao wa ukusanyaji Kodi na wengine kuhsu uendeshaji wa ATC! Sina hakika kama Magufuli ana uelewa wa kutosha kuhsu mambo ya IT kiasi cha kuwaponda Watanzania waliobobea kwenye IT wakiwa wamesomea vyuo vikuu vya ndani na nje! Sina hakika kama JPM anajua kuna kitu kinaitwa Mkongo wa Taifa(NICTBB) unaosimamiwa na Serikali yenyewe kupitia Kampuni ya TTCL na kwamba mkongo wa Taifa umeiunganisha Rwanda kwa kutumia Wataalamu wa Kitanzania toka TTCL!
Je, Magufuli amewahi kuwaita Wahandisi wa IT wa Kitanzania na kuwauliza kama hawawezi kufanya hizo kazi za IT kiasi cha kutafuta Wanyarwanda?Badala yake yeye analaumu tu kuwa ati Watanzania wanapenda rushwa! This is not fair at all!
Ongeza na la u-DAS kama zawadi kwa makada wakati ni nafasi ya kitaaluma na uzoefu usiopungua miaka 10 kazini
 
Hata Wakuu wa Wilaya walioteuliwa kuna mmoja alikuwa na kesi chini ya TAKUKURU na akapewa UDC.
Mkuu, unajua nimerudia kusoma mara kadhaa hii post yako maana mwanzoni nilidhani nimekosea....

Hivi hii ni kweli kabisa?!?!
 
Kuna haja ya kuwatathimini hawa washauri wa Magu.
Kwa tathimini imeonyesha wamekwisha muingiza chaka sana .
Lakini tusiwalaumu wanaomshauri maana inasemeka mkuu hataki ushauri hivyo anajiamulia baadhi ya mambo[/QUOTE).SINTAWAANGUSHA WATANZANIA.
 
Watu husema Wahaya wana majivuni, yawezekana hii ni tabia ya Watanzania wote.Kwa nn mnaidharau sana Rwanda?Kuna maprofessor wa Kinyarwanda huko Uswis,Ufaransa na Canada wanafundisha, haina maana nchı hzo hazna Wataalamu.Dunıa haiko hvyo nyie wana UKAWA.Mnazıdı kudhihirishia Umma mlivyo malofa.
 
Rais JPM a.k.a Catepillar amezidi kuporoka kwa ummarufu baada ya kuonekana kwamba kila jambo analoshauriwa na Wasaidizi wake hulitekeleza bila ya kulipima kabla ya utekelezaji!
Mpaka sasa kuna makosa mengi ambayo JPM ameyafanya kiasi cha Watanzania wengi kuanza kujenga chuki na hasira zidi yake na serikali yake. Nitaeleza machache kati ya hayo!

Swala sukari:Kama kuna jambo ambalo limempunguzia heshima na umaarufu ilikuwa kupiga marufuku uingizaji wa sukari toka nje kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani!Amri hiyo imesababisha mtikisiko na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo muhimu kipindi chote cha mwezi mtukufu kiasi cha bei kufikia 6000/- kwa kilo.
Bunge la Bajeti 2016/7: Bunge la Bajeti lilkiongozwa na Naibu wa Spika Ackson Tulia alilivuruga Bunge kwa kuliendesha kama vile ni taasisi au chombo cha mtu binafsi.Nina hakika Magufuli ni shahidi wa kila kilichokuwa kikitendeka Bungeni na sina hakika kama alihoji kuhusu hali hiyo.Yawezekana alikuwa akidanganywa au kushauriwa vibaya kuwa ati Tulia ndiyo mbabe wa Wapinzani na kuwa amewanyosha kwa timua timua ya Wabunge wa UKAWA! Nakumbuka baada ya kuapishwa JPM alijitanabaisha atatumikia watu wote waliompigia kura na wale wa UKAWA lakini kinachofanyika ni kinyume chake.Swali la kujiuliza hapa ni IKO WAPI DEMOKRASIA ndani ya Bunge letu?

Kupiga marufuku mikutano ya kisiasa: Nina hakika kuna mahifidhina ndani ya CCM waliomshauri JPM kuwa akipiga marufuku mikutano ya kisiasa ya Upinzani basi ataiongoza Tanzania kwa raha mustarehe. Huu ni udhauri mbaya na kama JPM hataufanyia kazi utamgharimu kwenye utawala wake.

Kuchukua Wataalamu toka Rwanda: Juzi Watanzania wsmeshuhudia Rais Paul Kagame wa Rwanda skitembelea Tanzania na kuwa na mazungumzo na JPM kuhsu Rwanda kuleta wataalamu wa IT toka Rwanda kutengeneza mtandao wa ukusanyaji Kodi na wengine kuhsu uendeshaji wa ATC! Sina hakika kama Magufuli ana uelewa wa kutosha kuhsu mambo ya IT kiasi cha kuwaponda Watanzania waliobobea kwenye IT wakiwa wamesomea vyuo vikuu vya ndani na nje! Sina hakika kama JPM anajua kuna kitu kinaitwa Mkongo wa Taifa(NICTBB) unaosimamiwa na Serikali yenyewe kupitia Kampuni ya TTCL na kwamba mkongo wa Taifa umeiunganisha Rwanda kwa kutumia Wataalamu wa Kitanzania toka TTCL!
Je, Magufuli amewahi kuwaita Wahandisi wa IT wa Kitanzania na kuwauliza kama hawawezi kufanya hizo kazi za IT kiasi cha kutafuta Wanyarwanda?Badala yake yeye analaumu tu kuwa ati Watanzania wanapenda rushwa! This is not fair at all!
Hili la wataalamu wa Rwanda mkianzisha chochote kupinga naunga mkono kama kawa
 
Watu husema Wahaya wana majivuni, yawezekana hii ni tabia ya Watanzania wote.Kwa nn mnaidharau sana Rwanda?Kuna maprofessor wa Kinyarwanda huko Uswis,Ufaransa na Canada wanafundisha, haina maana nchı hzo hazna Wataalamu.Dunıa haiko hvyo nyie wana UKAWA.Mnazıdı kudhihirishia Umma mlivyo malofa.
Hakuna aliyedharau Rwanda,Kagame hana utofauti na na Marekani,China,Urusi na wengine wote,kama hatukujiandaa bora aahilishe,Jamani nani asiyejua kuwa Rwanda inaisumbua Congo,Kagame ni tatizo kuliko mnavyo ota
 
13529162_10208477713793137_2601218957371684247_n.jpg
 
Rais JPM a.k.a Catepillar amezidi kuporoka kwa ummarufu baada ya kuonekana kwamba kila jambo analoshauriwa na Wasaidizi wake hulitekeleza bila ya kulipima kabla ya utekelezaji!
Mpaka sasa kuna makosa mengi ambayo JPM ameyafanya kiasi cha Watanzania wengi kuanza kujenga chuki na hasira zidi yake na serikali yake. Nitaeleza machache kati ya hayo!

Swala sukari:Kama kuna jambo ambalo limempunguzia heshima na umaarufu ilikuwa kupiga marufuku uingizaji wa sukari toka nje kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani!Amri hiyo imesababisha mtikisiko na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo muhimu kipindi chote cha mwezi mtukufu kiasi cha bei kufikia 6000/- kwa kilo.
Bunge la Bajeti 2016/7: Bunge la Bajeti lilkiongozwa na Naibu wa Spika Ackson Tulia alilivuruga Bunge kwa kuliendesha kama vile ni taasisi au chombo cha mtu binafsi.Nina hakika Magufuli ni shahidi wa kila kilichokuwa kikitendeka Bungeni na sina hakika kama alihoji kuhusu hali hiyo.Yawezekana alikuwa akidanganywa au kushauriwa vibaya kuwa ati Tulia ndiyo mbabe wa Wapinzani na kuwa amewanyosha kwa timua timua ya Wabunge wa UKAWA! Nakumbuka baada ya kuapishwa JPM alijitanabaisha atatumikia watu wote waliompigia kura na wale wa UKAWA lakini kinachofanyika ni kinyume chake.Swali la kujiuliza hapa ni IKO WAPI DEMOKRASIA ndani ya Bunge letu?

Kupiga marufuku mikutano ya kisiasa: Nina hakika kuna mahifidhina ndani ya CCM waliomshauri JPM kuwa akipiga marufuku mikutano ya kisiasa ya Upinzani basi ataiongoza Tanzania kwa raha mustarehe. Huu ni udhauri mbaya na kama JPM hataufanyia kazi utamgharimu kwenye utawala wake.

Kuchukua Wataalamu toka Rwanda: Juzi Watanzania wsmeshuhudia Rais Paul Kagame wa Rwanda skitembelea Tanzania na kuwa na mazungumzo na JPM kuhsu Rwanda kuleta wataalamu wa IT toka Rwanda kutengeneza mtandao wa ukusanyaji Kodi na wengine kuhsu uendeshaji wa ATC! Sina hakika kama Magufuli ana uelewa wa kutosha kuhsu mambo ya IT kiasi cha kuwaponda Watanzania waliobobea kwenye IT wakiwa wamesomea vyuo vikuu vya ndani na nje! Sina hakika kama JPM anajua kuna kitu kinaitwa Mkongo wa Taifa(NICTBB) unaosimamiwa na Serikali yenyewe kupitia Kampuni ya TTCL na kwamba mkongo wa Taifa umeiunganisha Rwanda kwa kutumia Wataalamu wa Kitanzania toka TTCL!
Je, Magufuli amewahi kuwaita Wahandisi wa IT wa Kitanzania na kuwauliza kama hawawezi kufanya hizo kazi za IT kiasi cha kutafuta Wanyarwanda?Badala yake yeye analaumu tu kuwa ati Watanzania wanapenda rushwa! This is not fair at all!

Unatakiwa uelewe kuwa kuna kauli hutolewa Na viongozi kwa nia kuu ya kuleta atmosphere ya ushirikiano Na diplomacy, unataka kuniambia unaamini kabisa mtu kutoka nchi jirani atapewa nafasi katika idara nyeti kirahisi tu hivyo? Akili za kupewa changanya Na zako! Unadhani JPM hajui kuwa Rwanda wanatutegemea kwa asilimia kubwa katika Nyanja nyingi ikiwemo elimu? Kauli aliyotoa ilikua Ni political statement
 
Mlitaka amchukue LOWASSA MBOWE
Tatizo ni kwamba elimu za wabongo ni failure. Mtu anafaulu kiujanjaujanja eti umpe kazi hizo
 
Kagame alitishia Taasisi ya Uraisi pale alipotoa kauli ya "Kumhit" Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mstaafu mheshimiwa Kikwete, Nilitegemea Serikali ingekuwa Makini naye badala ya Kutaka kumuweka karibu na roho ya Taifa "Mfumo wa makusanyo". Je Wamejiridhisha kuwa Kagame siyo hatari kwa usalama wa nchi?
Adui jenga urafiki nae... Hilo somo lilikupita pembeni nn?
 
Watu wa IT kama mnaumoja wenu itisheni mkutano wenu wa dharura, mwalikeni mkuu wa serikali mumwambie uwezo wenu na wapi mnapungukiwa ili anapochukua wataalumu nje wawe na tija
 
Kuna tofauti mzee kati ya it na comp science tena sana ebu jaribu kusoma online uone utofauti kati ya hayo yote mambo matatu uliyoyataja
sijasema kwamba hakuna tofauti hata mimi nimesoma moja kati ya kozi hizo ila kwa nchi zetu za kiafrika tofauti iko vyuoni ukifika kazini ni kama hakuna tofauti IT department unaweza kuta watu wenye degree ya computer science tupu na mambo yanaenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom