Kwanini uweke kiasi kingi hivyo cha hela Bank? Huko utapata faida kama ya 1% kila mwezi au 10% kwa mwaka, ambayo naamini kama ukiwekeza hiyo hela kwenye uwekezezaji wowote mzuri unaweza kupata hela zaidi ya hiyo. Nenda hata maeneo mapya ambayo yameshakuwa ya uswahili kutokana na population ya...
Ndio mwanaume unapaswa kumuhudumia mwanamke wako kifedha, kimali, muda wako, na nafasi yako. 'To love is to give'. Utajiskiaje ukigundua kuna mwanaume mwengine anampa hela mara kwa mara? Mpe kulingana na uwezo wako hata kama hitaji lake hali maana kwako! Muhudumie! Na usifikiri kumuhudumia ni...
Fanya utaratibu fungua ofisi / kampuni ya kutoa huduma za upigaji picha, uchukuaji videos, all printing works, graphic designs, Marketing and Promotion. Unaweza pia ukaungana na vijana wenzio kama wawili kuweza kutoa huduma hizi. Mkipata vifaa vizuri na kazi zenu zikwa nzuri hamkosi kazi za...
Nyumba ipo maeneo gani? Pitia uzi wa The Boss kuna changamoto na makosa wanayofanya wamiliki wa biashara hii unayotaka kuifanya. Jaribu kurekebisha zile changamoto kisha ikiwa tayari toa kazi kwa wataalam wa kukutangazia biashara yako mitandaoni na kwa wakaazi wa maeneo ilipo. Baada ya hapo...
Anahitajika Food & Beverage Supervisor mwenye sifa zifuatazo:
Awe Mtanzania mwenye miaka 25 na kuendelea
Awe na uzoefu usiopungua miaka 2 kwa nafasi hii
Awe na muonekano mzuri na nadhifu
Awe amesomea mafunzo ya usimamizi wa Hotel katika chuo chochote kinachotambulika
Mode of Application;
-...
- bei unayonunulia
- bei unayouzia
- soko la hayo mayai yako
- sehemu utakayouzia
- namna ambavyo utawafikia au wateja watakavyokufikia
- namna nzuri ya utunzaji hayo mayai ili yasiharibike au kuvunjika
- Nani atasimamia na kuuza Biashara yako
- ubunifu na mikakati ya kiushindani utakayokuwa...
Tafuta Asset kwanza kabla ya kuwa na Liabilities. Anzisha walau Biashara mbili ndogo zitakazokuingizia kipato chochote cha kila siku kisha simamia vizuri, mengine yatafuata.
- kuku wanapatikana kwa wingi masokoni au majumbani kwa wanaofuga.
- kuku wanauzwa kuanzia 6,500 hadi 8,000
- kuku mmoja anaweza kukatwa mara nne kwa kuuza ( mapaja mawili na vidali viwili). Ingawapia anaweza kukatwa hadi mara nane. Pia kuna viungo vingine kama shingo, kichwa, miguu, utumbo...
Coffee Shop ni Biashara nzuri inayokua kwa kasi maeneo ya miji yenye watu wengi. Wazo zuri, ila kufungua ya coffee Shop ya kisasa kwa mtaji huo wa 2M ni ndogo hasa ukizingatia mahitaji yake ya vifaa na vitendea kazi yana gharama sana, bila kusahau mgahawa wenyewe unatakiwa uwe na eneo kubwa...
Jaribu kufungua Salon ya kiume yenye nafasi ya viti viwili kisha watafute vijana wanaojua kunyoa kila kiti kimoja hutakosa 5,000 hadi 10,000 kwa siku ukiwa eneo lenye watu wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.