Je, Nifanye Biashara gani?

Sep 23, 2022
24
20
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nipo Dar es Salaam mitaa ya Magomeni, nmekaribia kumaliza chuo.

Hapa nilipo ninak kiasi cha shilingi Laki sita na nusu na PC. Naomba ushauri nifanye mishe au biashara gani ili maisha yapate kusogea kidogo kuliko kurudi kukaa nyumbani kijijini.

Mimi sina Uzoefu wowote katika mambo ya Biashara.
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nipo Dar es Salaam mitaa ya Magomeni, nmekaribia kumaliza chuo.

Hapa nilipo ninak kiasi cha shilingi Laki sita na nusu na PC. Naomba ushauri nifanye mishe au biashara gani ili maisha yapate kusogea kidogo kuliko kurudi kukaa nyumbani kijijini.

Mimi sina Uzoefu wowote katika mambo ya Biashara.
Toa Kwanza maelezo wewe unapenda kufanya biashara gani
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nipo Dar es Salaam mitaa ya Magomeni, nmekaribia kumaliza chuo.

Hapa nilipo ninak kiasi cha shilingi Laki sita na nusu na PC. Naomba ushauri nifanye mishe au biashara gani ili maisha yapate kusogea kidogo kuliko kurudi kukaa nyumbani kijijini.

Mimi sina Uzoefu wowote katika mambo ya Biashara.
Umesomea nini? Makazi yako yatakuwa wapi baada ya kumaliza chuo? Unajitegemea au unaishi nyumbani au kwa walezi? What are you good at?
 
Umesomea nini? Makazi yako yatakuwa wapi baada ya kumaliza chuo? Unajitegemea au unaishi nyumbani au kwa walezi? What are you good at?
Nyumban ni Tabora.
Baada ya kumaliza chuo napenda kuishi dar (asilimia kubwa) au mwanza..

Mm napenda mambo ya kutumia computer.
1.Sahz npo najifunza mambo ya Video editing.
2.Pia napenda mambo ya photography/photoshop.

Computer nafaham kuitumia kwa kiasi kikubwa na hatakama ktu flani ambacho kinahitahi matumizi ya computer nikawa sikifaham vizuri, ninauwezo wa kufatilia na kukifaham ndani ya muda mfupi.
 
Nyumban ni Tabora.
Baada ya kumaliza chuo napenda kuishi dar (asilimia kubwa) au mwanza..

Mm napenda mambo ya kutumia computer.
1.Sahz npo najifunza mambo ya Video editing.
2.Pia napenda mambo ya photography/photoshop.

Computer nafaham kuitumia kwa kiasi kikubwa na hatakama ktu flani ambacho kinahitahi matumizi ya computer nikawa sikifaham vizuri, ninauwezo wa kufatilia na kukifaham ndani ya muda mfupi.
Jifunze masomo ya Graphics desing( online)
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nipo Dar es Salaam mitaa ya Magomeni, nmekaribia kumaliza chuo.

Hapa nilipo ninak kiasi cha shilingi Laki sita na nusu na PC. Naomba ushauri nifanye mishe au biashara gani ili maisha yapate kusogea kidogo kuliko kurudi kukaa nyumbani kijijini.

Mimi sina Uzoefu wowote katika mambo ya Biashara.
Uza hiyo PC, baada ya hapo ziuze na hizo laki sita
 
Kuamua ni aina gani ya biashara unaweza kufanya nchini Tanzania inategemea mambo kadhaa, kama vile ujuzi wako, mitaji uliyonayo, maslahi yako na mahitaji ya soko. Hapa kuna baadhi ya biashara zinazoweza kufanywa nchini Tanzania:

Kilimo: Tanzania ni nchi yenye rasilimali ardhi na hali ya hewa nzuri kwa kilimo. Unaweza kufanya kilimo cha mazao kama vile mahindi, mpunga, maharage, matunda, mboga mboga au hata ufugaji wa mifugo.

Utalii: Tanzania ina vivutio vingi vya utalii, kama vile Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Visiwa vya Zanzibar na hifadhi za wanyama pori. Unaweza kuanzisha biashara ya kusafiri na kuongoza watalii, hoteli, migahawa au huduma za usafirishaji kwa watalii.

Huduma za kifedha: Sekta ya huduma za kifedha inakua kwa kasi nchini Tanzania. Unaweza kufungua benki ndogo, kampuni ya bima, kutoa huduma za kifedha kupitia simu au hata kuanzisha kampuni ya teknolojia ya kifedha (fintech).

Biashara ya rejareja: Unaweza kuanzisha duka la bidhaa za rejareja, kama vile maduka ya nguo, maduka ya vyakula au saluni za urembo. Hii inahitaji utafiti mzuri wa soko na ujuzi wa usimamizi wa biashara.

Teknolojia ya habari na mawasiliano: Sekta ya teknolojia ya habari inakua nchini Tanzania. Unaweza kuanzisha kampuni ya maendeleo ya programu, kutoa huduma za mtandao, au hata kuanzisha tovuti au programu za simu za mkononi.

Ujenzi na ujenzi wa miundombinu: Nchi inakua kwa kasi na kuna mahitaji makubwa ya ujenzi wa majengo, barabara, viwanja vya ndege, na miundombinu mingine. Unaweza kuanzisha kampuni ya ujenzi au kutoa huduma za ujenzi.

Ni muhimu kufanya utafiti wa kina wa soko, kujua mahitaji na matakwa ya wateja, na kufanya tathmini ya kifedha kabla ya kuanzisha biashara yoyote. Pia, unaweza kushauriana na taasisi za serikali au wataalamu wa biashara nchini Tanzania kwa ushauri zaidi kulingana na malengo yako na rasilimali zilizopo.
 
Speak with your heart young brother. Ukitaka uafanikiwe katika biashara, unatakiwa uwe na jicho la kuona fursa zilizo kuzunguka. Mtaji wa kuanzia tayari unao.

Kilichobakia, ni wewe sasa kuangalia ni biashara gani unaimudu, kutegemeana na maeneo unayoishi. Kuomba ushauri himu, ni kutaka tu kujiridhisha! Ila wazo sahihi la biashara linatakiwa litoke kwenye akili yako.
 
Upo magomeni gani labda tukushauri biashara ambayo labda utaweza kufanya ukiwa maeneo hayo hayo
 
Hapo chuoni mnanunua mihogo ya kukaanga?unajua mihogo ya kukaanga ni dili Sana Kwa Wana chuo?..

Tafuta sehemu karibu na chuo..Anza biashara hiyo...mtaji hautazidi laki na hamsini...
Utakuwa Una uhakika na cashflow kila siku....

Watu wamejenga Kwa kuwauzia Wana vyuo mihogo
 
Back
Top Bottom