eti 10MMAELEZO ULIYO TOA HAYATOSHI KUSAIDIWA... LAKINI ogopa zero return investment hebu fikiria una 10M tu halafu pesa yote umenunua kiwanja... na umesema kibarua kimeota nyasi... HICHO KIWANJA KITAKUSAIDIAJE.
Kama umesimamishwa kazi basi wewe uko katika vulnerable group.Uamuzi wowote unaofanya sasa hivi unaweza kuwa na negative consequences.Ila jiulize changamoto yako kubwa kwa sasa nini?Then jiulize fursa kubwa uliyo nayo ni ipi.Namna hii utaweza kuamua iwapo sasa ni wakati sa hihi wa kufanya uamuzi wowote.Nina kiasi cha pesa na nimekua njia panda nini nifanye cha kwanza ninunue kiwanja au nifanye biashara nikipata faida ndio nianze mipango ya kununua kiwanja maana kibaruani nimeachishwa.