Dau uwezi kumlinganisha na Erio wewe by any standard.
Hakuna alichokifanya Erio zaidi kafanya shuguli nyingi kusimama na kusababisha hasara.
Ipo siku kuna mtu atarudishwa kujibu.
Mi sina shida na ajira mpya kama ni za halali. Ujinga ni wa yule Erio kutoa watu ambao walikuwa wazuri sana na kuweka ma boyoyo.
Erio hakutaka challenge yoyote na ndio maana aliamini kufanya kazi na watu wake tu na anawowajua hawawezi kuhoji.
Na aliweka watu wenye average ability kwenye...
Soba hasa huyu jamaa ajiamini kabisa. Anafikiri kufanya kazi na watu wake ndio kuficha maovu yake.
Soon facts zote zitakua wazi.
Huyu jamaaa ni dhaifu mno
Erio sio kiongozi anaishi kiujanja ujanja tu. Hajiamini na ndio maana anafikiri kufanya kazi na watu aliokuja nao tu.
Na mara nyingi atekelezi maagizo ya viongozi wa juu. Ameacha DEGE vimeibiwa vitu ambavyo basically na mali ya NSSF.
Raisi ajamjua huyu mtu ni hatarii. Anaficha mambo yake...
Kidogo nikusahihishe.
Kama kulikua na over site basi ni kutoka Kwa Muhandisi Mshauri wakati pre contract na post contract.
Mkandarasi ana implement tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.