msana
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 215
- 306
sure mkuu watu wanapigwa za chembe huko 😂Hahahahaha,mianya imebanwa siyo?Bata zimepungua na heshima mtaani imeshuka.Hela za pango nazo issue,inabidi ahamie Tandale kwa Mfuga Umbwa.
Michepuko nayo inadai pango na matumizi inakuta holaaa.Wavumilie tu vijana,kila zama na wakati wake,sio lazima waishi kifahari kama enzi zile,wabadili mifumo wa maisha kuendana na tone za muziki kwani hakuna za bure na michongo ya kiboni town kama zamani.
Kwani halimashauri wanaofanya kazi huko sio watumishi wa Serikali?Wanapadharau huko?
Yaani Bw.Erio changamka upesi uwahamishie huko maana wanaleta dharau utadhani waliandikiwa katika utumishi wao wa umma watafanya NSSF na makao Makuu tu.Hawajui sasa hivi mwajiri ana uamuzi wa kukupeleka kokote anapoona kuna uhitaji?.
Sent using Jamii Forums mobile app