Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Asante mwalimu. Hili nalo wazo. Ukikaa chini ukawaza zaidi kidogo tu utaona kuwa uzee wako au wangu kwa maisha ya leo unahitaji kuwa na mwenza hata wa kubadilishana mawazo.
Mimi sio mzee ni kijana hata 30yrs bado
 
nataka kucomment ila nashindwa kupata maneno yenye busara na ya kuweza kukuongoza ili ueleweke kirahisi na jamii yetu ya kiafrica na hasa kitanzania kwa nini unatafuta mwenzako katika umri huu...anyway naomba uniache niendelee kuomba hekima na busara za kimungu ziniongoze katika kukupa ushauri au msaada.

"WAMTUMAINIO BWANA NI KAMA MLIMA SAYUNI HAWATOTIKISIKA MILELE DAIMA"
 
Asante. Mwanamume ninampikia. Kilichofanya nijibu vile ni kuwa post ya mhusika ilisema ' njooni huku kuna msosi'. Hapo nilijibu tu kwa busara ningeweza hata kumtolea maneno ya kumuudhi kabisa. Hope umenielewa
Okay, nilidhani hutoi kabisa msosi.

Kwa hiyo kama unapika aliyesema jamani eeeh njooni huku kuna msosi kakosea nini mpaka aambiwe mwenye msosi mamaake ampikie? Au hujui kuwa Muafrika mwanamke huitwa jiko?
 
Ya kawaida tu kama unajua maana ya maisha. Uzoefu umenifanya kuweka hivyo. Ndiyo maana huoni vitu kama sura, umbo, kabila, elimu n.k kwenye andiko langu.
Njoo kwangu basi make nimetimiza 4/5 ya masharti yako
 
Okay, nilidhani hutoi kabisa msosi.

Kwa hiyo kama unapika aliyesema jamani eeeh njooni huku kuna msosi kakosea nini mpaka aambiwe mwenye msosi mamaake ampikie? Au hujui kuwa Muafrika mwanamke huitwa jiko?
Ahsante. Mimi siyo jiko.
 
SUBIRI WATAKUJA TU .. ..
KWA UPANDE WANGU VIGEZO ULIVYOVITOA SIPO KABISA..
UMRI .. SIPO
KUFIWA .. SIPO
KUTALIKIANA NA MY SWEETY - SIPO.

NIKUTAKIE KILA LA KHERI KWENYE UTAFUTAJI WAKO...
 
Asante. Huyo mwekezaji wa mambo ya social network usikute ni yule mtoto wa Mh. fulani mstaafu? Mwenye connections na kina Davis Mosha? Kama ni huyo hapana.
yeah ni huyo niliona siku moja anatafuta mke,mpe nafasi you never know what the future holds
 
Mpeane namba muwasiliane vizur sio mazungumzo yenu yote tuyajue, humu kuna watu tofauti pia uelewa tunatofautia nyie mkifikia hitisho la kuoana tupen mwaliko, nkitofautiana tupeni feeback
 
Mpeane namba muwasiliane vizur sio mazungumzo yenu yote tuyajue, humu kuna watu tofauti pia uelewa tunatofautia nyie mkifikia hitisho la kuoana tupen mwaliko, nkitofautiana tupeni feeback
Haha ha ha subiri mwaliko walahi ni lazima JF tupate cocktail (mkia wa jogoo -a.k.a mchapalo) au ka dinner kabisa with free entrance. Ni lazima niwashukuru maana viewing ya tread over 5, 000 na replies 300 na ushee na PM zaidi ya 100 si mchezo. Zote bila matusi. Asanteni sana kwa heshima kwa thread yangu.
 
Back
Top Bottom