Malalamiko kuhusu uongozi wa NSSF

Tunaandika kwa masikitiko na malalamiko makubwa kuhusu hali ilivyodorora ndani ya shirika.

Tunaomba malalamiko haya yakufikie Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tunasema hivyo baada ya hali kuonyesha wazi Waziri husika hana uwezo wa au amezembea kutatua matatizo ya sasa ya shirika

Ikumbukwe Mkurugenzi Mkuu ni kati ya wakurugenzi wazoefu waliokuwepo tangu awamu zilizopita. Na ni miongoni mwa Wakurugenzi wajanja sana ambao bila jicho pevu utashindwa kuelewa mapungufu au maovu yake.

Hivyo basi ni Mkurugenzi ambaye labda Mawaziri strong na wenye kufuatilia details kama Lukuvi ndiyo atamuweza.

HISTORIA YAKE

Alitokea PPF. Kwa wanaojua au Mh Rais ukitaka ukweli uliza ripoti za SSRA zilizoonyesha PPF ilikuwa ni miongoni mwa taasisi za hifadhi ya jamii ambazo zilikuwa chini kiufanisi, japo kiujanja ujanja na kutumia vyombo vya habari alionyesha picha tofauti na ukweli.

Ni mzoefu na mpika data kama aliweza kudanganya kuhusu idadi ya wanachama tu unategemea nini kwenye masuala nyeti zaidi kama ya fedha?

Kashfa ya ubadhirifu wa fedha akiwa PPF haikuwa siri. Mh Rais ukitaka kufukua haya ni kazi ndogo tu, naamini una watu wengi unaoweza kuwatuma wakathibitisha hili.

Sasa kama mtu alishindwa kusimamia kwa uhanisi taasisi ndogo kama PPF, ataweza vipi taasisi kubwa zaidi ya NSSF?

Kuutumia Usalama wa Taifa kwa maslahi binafsi. Mkurugenzi huyu ni miongoni mwa wakurugenzi wanaotumia baadhi ya staff wa usalama wataifa kwa maslahi yao binafsi.

Mtindo huu ulianza toka awamu zilizopita, lakini huyu anaendeleza mpaka sasa hivi.

Kwa wasioelewa baadhi ya staff wa UT wamekuwa wakilipwa kisiri (maarufu kama wako kwenye payroll ya Mkurugenzi) na wao kutumiwa na Mkurugenzi kwa maslahi binafsi kama kupewa taarifa za siri, kutengeneza zongwe kwa anaoamini ni wabaya wake, kutengeneza mazingira ya kuonyesha Mkurugenzi ni mchapakazi na muadilifu nk. Mh R naamini kwa kuwatumia baadhi ya staff wa UT waadilifu unaweza ukapata ukweli wa jambo hili

NDANI YA NSSF

Pamoja na kwamba NSSF ilikuwa inafanya vizuri ukilinganisha na PPF bado alipoingia hakutaka kujifunza mazuri na mapungufu ya shirika ili kuboresha vizuri, bado hakutaka kuendesha shirika kwa misingi ya uwazi na kuaminiana, bali kwa mbinu zilezile za PPF.

Na hapa kafanya mambo mengi ambayo ni kinyume na kanuni za utawala bora;

1. Kuengua viongozi wote wa NSSF na kusimika wanaomwabudu wengi toka PPF. Yaani mtu anatoka shirika dogo kioparesheni, kiufanisi, kifedha na kwa idadi ya wafanyakazi lakini viongozi wote wa juu anatoka nao huko!

Hili linashangaza na halina tafsiri nyingine zaidi ya kuwa na himaya ya siri ambayo imejengwa na ma royalists wake ili kuficha maovu yake.

TULISHANGAA ZAIDI Waziri kukaa kimya bila kukemea hili. Ili kutoa picha wakurugenzi WOTE wa makao makuu na mameneja karibu wote wa makao makuu amewaleta toka nje!

2. Mameneja wa Mikoa. Baada ya kuondoa uongozi wote makao makuu sasa amehamia mikoani, taratibu mameneja wote wanaostaafu anabadilisha mameneja wake toka nje!

Amefanya hivyo mkoa wa Songwe, Arusha na Mtwara, na bila shaka ataendelea pale ambapo kutakuwa na nafasi.

3. Kuunda makundi ya NSSF asili na team Elio. Hakuishia kubadilisha viongozi wetu tu bali ameleta hadi staff wa chini wengi toka PPF.

Na baada ya kuleta staff hao kazi zina pangwa kwa mgawanyo wa makundi ya hao staff.

Yaani unaweza ukakuta mko ofisi moja lakini kazi inatoka kwa Mkurugenzi mgeni, inaenda kwa meneja mgeni, msimamizi mgeni kisha wanaitwa staff wageni pembeni na kupewa kazi.

Nyie wengine mnashangaa mbona jamaa wamejitenga na wanafanya kazi tusioijua na tuko ofisi moja? Na hata ukijaribu kuchangamana nao unaona kabisa hawako tayari. Ni jambo la kushangaza lakini ndivyo hali ilivyo!

4. Kutishia kuhamisha wafanyakazi kwenda halmashauri. Hili amekuwa akitamba waziwazi kwamba anaweza akahamisha staff yeyote kwenda halmashauri.

Bahati mbaya sana kwenye hili alimtumia hata Naibu Katibu Mkuu Utumishi alipokuja kwenye mkutano wa wafanyakazi Morogoro.

Kiongozi huyu alitamka “mimi nikiletewa jina la staff ili niwahamishe, siwapeleki kwenye mashirika bali nawapeleka halmashauri tena za ndani”.

Tunajua kiongozi huyu alipotoka kwa kutumiwa vibaya hasa kutokana na ugeni wake kwenye utumishi wa umma.

Ikumbukwe Mkurugenzi siku zake za mwanzo pale alipokuwa anatengeneza nafasi za watu wake alihakikisha anahamisha mameneja wengi wa makao makuu kwenda halmashauri, na wako waliokata rufaa kwa Waziri wa utawala bora wakahamishiwa sehemu nyingine tena ambako angalau wamepewa nafasi zinazoshabiana na walizokuwa nazo.

Hakuishia kwa mameneja tu amekuwa akihamisha hata watumishi wa chini kiasi cha watu kujiuliza kaiweka mfukoni utumishi?

5. Utamaduni mbovu. Hali ya hapo juu imepelekea wafanyakazi wengi kuvunjika moyo, kujenga nidhamu ya uoga na kupoteza morali ya kufanya kazi.

Nashangaa sana watu hawa wamekuja na slogan ya “Cultural change” eti wafanyakazi waliokuwepo wabadilike lakini wao wameshindwa kabisa kuona mapungufu yao!

MATOKEO

Kutokana na hiyo hali kumekuwa na matokeo mabaya kwenye utendaji kazi wa Shirika kama ifuatavyo;

Mawasiliano mabovu SANA kati ya mikoa na makao makuu, na hata wafanyakazi na maboss wao hasa wa makao makuu.

Maboss wa makao makuu ni wachache sana wanaopokea simu za kikazi toka mikoani, hata kama zinapigwa na mameneja wetu wa mikoani, kinyume na sera na nia ya shirika iliyowezeshwa kununuliwa simu na kulipiwa ‘airtime’.

Barua za kiofisi zimekuwa zikiandikwa hazijibiwi na hata ukiandika reminder ni kazi bure, na ukilazimika kupiga simu hazipokelewi kama nilivyoeleza hapo juu.

Siku za nyuma ilikuwa ni kawaida kuomba miongozo au ufafanuzi wa masuala mbalimbali toka kwa technical staff wa idara mbalimali za makao makuu, lakini sasa hivi hata wao hawapokei simu kabisa.

Ukibahatika kukutana naye anakwambia mpigie meneja(ambaye naye hapokei simu). Unajiuliza staff wa makao makuu wana umuhimu gani kama wanashindwa kussuport field offices kwa masuala ya kikazi na mengine ni urgent?

Huduma mbovu kwa wateja wa nje. Kutokana na makao makuu kushindwa kushughulikia masuala mbalimbali ikiwemo wateja kwa kujiweka mbali, mikoa inajikuta nayo inashindwa kuhudumia wateja kwa kusubiri majibu ya makao makuu.

Mikoa inalazimika kuwapa tarehe wateja huku ikiendelea kubembeleza kujibiwa na makao makuu. Hali imekuwa ni mbaya sana hasa idara ya mafao.

Nitatoa mfano. Kwa miaka ya nyuma kati ya huduma ambazo Shirika limekuwa likitoa kwa ufanisi na wakati ni malipo ya pensheni ya uzee ambayo yalikuwa yakilipwa bila kukosa tarehe 24 ya kila mwezi.

Baada ya uongozi mpya kuja ukaja na zoezi la uhakiki walipwa pensheni na kulipa kupita benki. Zoezi ambalo kimantiki ni zuri lakini wameonyesha MAPUNGUFU MAKUBWA SANA ya kiutendaji katika zoezi hili.

Makao makuu wameshindwa kukamilisha zoezi pamoja na kutumiwa nyaraka husika kikamilifu tena zaidi ya mara moja.

Inasikitisha kuna wazee sana na wengine wagonjwa ambao sasa ni mwaka au zaidi ya mwaka hawajapata pensheni sababu tu ya uzembe wa kitengo cha mafao makao makuu.

Mfano ni mikoa ya kanda ya ziwa. Ambao tuko kwenye shirika kwa muda mrefu tunajua isingewezekana hata chembe mzee wa pensheni kusimamishiwa pensheni kwa hata miezi 2 kwa uzembe wa staff, moto ungewaka kwa aina ya viongozi tuliokuwa nao na mitazamo yao juu ya ulipwaji wa pensheni ya kila mwezi.

Kukosekana kwa weledi kwa viongozi wa makao makuu(Incompetence). Mikoa imekuwa ikilazimika kuandika barua za kuomba miongozo juu ya masuala mbalimbali ambayo yanaonekana kushindwa kutatuliwa/kushughulikiwa vizuri na sheria, miongozo na taratibu zilizopo.

Hili ni jambo la kawaida kwa shirika kubwa na lenye aina ya shughuli(operations) kama zinazofanywa na NSSF.

Aidha kutofautina sana kwa mazingira toka sehemu moja kwenda nyingine, utamaduni na msimamo na msukumo wa jamii ya sehemu moja kwenda nyingine, barua zimekuwa zikiandikwa makao makuu kuomba miongozo au kibali cha kushughulikia jambo mahsusi.

Lakini viongozi wa makao makuu wameonyesha; aidha, kukwepa kwa makusudi kubeba responsibilities ya kutoa maamuzi, au kushindwa kuelewa uhitaji wa jambo husika na hivyo wanatoa majibu yenye tofauti au kukwepa maudhui ya walichoandikiwa.

Huduma mbovu si kwa wateja wa nje tu bali hata kwa wafanyakazi. Imekuwa ni jambo la kawaida mfanyakazi kusafiri kikazi bila kulipwa masurufu ya safari kwa wakati, mfanyakazi anaweza akalipwa hata baada ya siku kumi au zaidi toka kumaliza safari ya kikazi.

Fikiria mwajiri anakutaka usafiri hajakulipa, unalazimika kuhangaika kukopa ili utimize matakwa ya mwajiri.

Idara za makao makuu kushindwa kuhudumia field offices. Hili ni tatizo kubwa kwa idara nyingi.

Tumeshindwa kuelewa, je ni makusudi ili field offices zikwame kufanya kazi au mkurugenzi mkuu hajui? Nitatoa mifano kuna ofisi moja ya Dar es salaam iliishiwa majalada ya kufungulia madai.

Kwa zaidi ya mwezi moja makao makuu walishindwa kuwezeshaa kupatikana kwa majalada husika! Ukizingatia ukubwa wa ofisi hiyo na uwingi wa wanachama wanaofungua madai, maana yake zilikuwa zinapokelewa nyaraka halafu hamna namna ya kuzihifadhi!

Sasa kitu kidogo kama hiki lakini chenye unyeti wa hali ya juu makao makuu wanashindwa kuhudumia, wapo kwa ajili ya nini? Idara ya utawala na utumishi nayo imeshindwa kabisa kuwajibika.

Eti mkurugenzi anatoa waraka mikoani barua zote zielekezwe kwa mameneja wa kurugenzi yake, nao wanatoa waraka barua zote za mikoani zielekezwe kwa staff Fulani Fulani wa makao makuu.

Hizo barua(kumbuka ni nyeti na za shirika zima) zikitumwa kwa hao staff hupati mrejesho. Hapa hali ni mbaya saana. Unaweza ukaandika barua hata mara tatu, baadaye ukiwasiliana na meneja naye anakujibu ni staff Fulani ndiyo anahusika, mnabaki mnaangaika na simu hazipokelewi.

Tunatamani mkurugenzi huyu angejifunza kwa wakurugenzi waliopita kama Mniwako ambaye lolote lililokuwa linaendelea ndani ya shirika alikuwa analijua na mbinu mojawapo ni kutozikimbia barua za kikazi.

Sasa hivi ni kitu cha kawaida kwa gari la shirika kupaki kwa mwezi mzima eti matairi yameisha, fedha zipo ila ‘wafalme” wa makao makuu wako busy na mambo mengine. Ni aibu na kurudisha nyuma taifa.

Sasa hivi ni jambo la kawaida japo ni aibu ofisi za NSSF, kukatiwa maji, kukosa/kukatiwa umeme.

Tembelea ofisi za NSSF hali ni mbaya wanashindwa hata kufanya matengenezo ya vitu vidogo kama vitasa, fedha zipo ila “wafalme” wamejifungia makao makuu na kutengeneza gap kwa kutotoa, miongozo inayoeleweka(mara nyingi wanatoa miongozo inayokinzana) au kutofikika na kutojibu maombi mbalimbali kupitia barua.

MAPENDEKEZO

- Tunapendekeza Mh Rais au hata Waziri akiamua kwa dhati kushughulikia hili kuunda timu ya watu wa nje kuja kuchunguza hili kuthibitisha tuhuma hizi.

- Pamoja na mbinu watakazotumia wanaweza pia;

1) Kupita mikoani kuthibitisha kama kuna utitiri wa barua zilizoandikwa makao makuu na hazijibiwi. Mtashangaa ushahidi mtakao pata.

2) Kucheki kama kweli kuna ofisi zilizokosa/kukatiwa umeme, maji, magari kupaki sababu eti ya matatizo madogo yanayo hitaji attendance ya makao makuu

3) Angalia hali ya ofisi za NSSF (physical appearance) na kujiridhisha zinatunzwa ipasavyo?

4) Angalia muundo wa uongozi na wafanyakazi kwa ujumla na kina nani wanaopewa vyeo au majukumu ya kikazi na wametokea wapi?
Ila hii km ina kaukweli fulani hivi. Manake pale bhana Menejimenti yote ni ile iliyokuwa ya PPF. Erio kachukua akina yes yes tu. Hata hivyo msijali kama sio yule mama Mhagma na Mkapa tayari mbona angeshatumbuliwa Erio. Siku zake Erio zinahesabika.
 
Nimewafuatilia sana Wadau kwenye changizo zenu lakini bado nashindwa kuelewa hapa lengo lenu ni kumu attack mtu, kuusaidia Mfuko mkongwe kabisa wa NSSF unaotunza michango yetu ama lengo lenu ni nini hasa maana ninavyofahamu mimi hapa ni uwanja wa kutoa mawazo yenye tija na sio vijembe, majungu na chuki binafsi yaaani na kerwa mnoo na watu wa JF wenye mlengo huo ....mara ooooh mama Mhagama oooh Erio ....mimi ningetarajia mtu aje atoe wasifu wa mama Mhagama jinsi alivyo mama mpambanaji na jinsi alivyosimamia taasisi za Hifadhi ya Jamii, mimi nilitarajia mtatoa maelezo jinsi alivyosimamia bungeni pamoja na vyama vya wafanyakazi mpaka mifuko iliyokuwa luuuuki ikabaki miwili tu na si hivyo tu huyu huyu mama Mhagama mnayemsema ndiye mwanamke mahiri mwenye uweledi katika kazi yake hebu tuweke ubinafsi pembeni tuangalie maslahi mapana ya Taifa na si kuwa vibaraka wa watu au mtu kwani haujengi zaidi unabomoa na kupotosha umma wa Tz

Huyu Erio mnayemsema ningewaelewa mngekuja na namba za jinsi gani kaiangusha hiyo NSSF nijuavyo Mimi pamoja na kwamba nimejiajiri lakini najua vile ambavyo siku hizi huwezi ukaenda pale ukapewa mchango ambao hauna kibali au eti unapangana na baadhi ya wafanyakazi ili mgawane hela yaaani nasikia sikku hizi ule uhuni uhuni wa kupiga deal pale haupo hivyo najua Erio hawezi kukwepa hizo chuki na najua hata kwa waganga wenzangu na Mimi mnaenda hahhhahha....hali kwa kweli ni tete kwa wale mliozoa pesa za chap chap.
Pale sasa ni mifumo tu mianya ya uvujaji wa mapato hakuna. Hale kazi tu
Ila hii km ina kaukweli fulani hivi. Manake pale bhana Menejimenti yote ni ile iliyokuwa ya PPF. Erio kachukua akina yes yes tu. Hata hivyo msijali kama sio yule mama Mhagma na Mkapa tayari mbona angeshatumbuliwa Erio. Siku zake Erio zinahesabika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Erio sio kiongozi anaishi kiujanja ujanja tu. Hajiamini na ndio maana anafikiri kufanya kazi na watu aliokuja nao tu.

Na mara nyingi atekelezi maagizo ya viongozi wa juu. Ameacha DEGE vimeibiwa vitu ambavyo basically na mali ya NSSF.

Raisi ajamjua huyu mtu ni hatarii. Anaficha mambo yake mabaya na kuonyesha msafi.
 
Maskini vilaza wangu haoooo unaleta udini kwenye kazi....eti Ndalichako kavuruga wizara ya elimu na wewe umevuruga wizara yako ya majungu, chuki na uzandiki ...hovyo kabisa wewe jamaa

Kuna mtu ana ujasiri wa kuwagusa Wanawake MAHIRI kama Mhagama na Ndalichako ...? Hivi macho yako yanaona kama yangu nauliza tena hivi kuna mtu ANATESEKA na jinsi Wanawake wa shoka hawa wanavyosimamia wizara hizi nyeti zenye maslahi mapana ya Taifa....?

Nani asimame aniambie kama ufaulu haujapanda nani asimame aniambie ikiwa siku hizi Kuna wanafunzi Wanaandamana kwa ajili ya MIKOPO??? Nani asimapme NANIII NAULIZA???? Kudadekii hebu tuache majungu wakubwa kila mtu ageukie shughuli yake ya msingi kuliko kufanya bla bla bla
Wakristo. Mmmmmmmmmmmhh hata ndalichako kavuruga wazara ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba hivi uko timamu kweli mtu mwenye uweledi hata siku moja huwezi kumweka kwenye kundi la eti "anaishi kiujanja" hao wanaoishi kiujanja kiujanja kama ulivyosema ni wale wanaoitwa 'misheni town' yaaani unawezaje kumuweka kundi hilo Mzee baba...eti hajiamini hebu tutumie tu hata akili za kuzaliwa maana najua za darasani ndio hivo tena nimekwama nimekuwa nawafuatilia sana hawa wakuu wa Taasisi huyu jamaa Erio ni mtu jasiri na mwenye kujiamini tena akiielezea Hifadhi ya Jamii utapenda aendelee nilishawahi kuudhuria kongamano fulani basi alikuwa anaongea utasema Hifadhi ya Jamii kazaliwa nayo

Kwa taarifa yenu huyu jamaa Erio hafanyi kazi na mtu asiye na msimamo, sasa naona mshikaji pale juu anasema watu wa yes yes, yes....mimi nitatuma intelejinsia yangu nipate kujua hapo kina yes yes wamefanya nini na kwa kiasi gani.
Halafu na wewe utumie intelejinsia yako kuhakikisha data hazijapikwa au la.
Sisi watanzania tumezoea majungu kwa watenda kazi.
Ila hii km ina kaukweli fulani hivi. Manake pale bhana Menejimenti yote ni ile iliyokuwa ya PPF. Erio kachukua akina yes yes tu. Hata hivyo msijali kama sio yule mama Mhagma na Mkapa tayari mbona angeshatumbuliwa Erio. Siku zake Erio zinahesabika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wandugu hii issue ya Dege bila kumung'unya maneno inatakiwa ifanyike intelejinsia yenye akili kwani Erio hayupo kabisa katika movie waliohusika hamuwataji ...hebu acheni uzandiki wenu tuwe huru tusiwe watu wa kutumika na kutamka kauli nzito zisizo na chembe ya ukweli kwani unawezaje kusema Erio kamdanganya Rais wakati hata kwenye movie hayupo ....hebu tujitathmini halafu turudi huku JF tuandike taarifa zenye kuleta maana kwetu sote na sio kujibu tu "
Erio sio kiongozi anaishi kiujanja ujanja tu. Hajiamini na ndio maana anafikiri kufanya kazi na watu aliokuja nao tu.

Na mara nyingi atekelezi maagizo ya viongozi wa juu. Ameacha DEGE vimeibiwa vitu ambavyo basically na mali ya NSSF.

Raisi ajamjua huyu mtu ni hatarii. Anaficha mambo yake mabaya na kuonyesha msafi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba hivi uko timamu kweli mtu mwenye uweledi hata siku moja huwezi kumweka kwenye kundi la eti "anaishi kiujanja" hao wanaoishi kiujanja kiujanja kama ulivyosema ni wale wanaoitwa 'misheni town' yaaani unawezaje kumuweka kundi hilo Mzee baba...eti hajiamini hebu tutumie tu hata akili za kuzaliwa maana najua za darasani ndio hivo tena nimekwama nimekuwa nawafuatilia sana hawa wakuu wa Taasisi huyu jamaa Erio ni mtu jasiri na mwenye kujiamini tena akiielezea Hifadhi ya Jamii utapenda aendelee nilishawahi kuudhuria kongamano fulani basi alikuwa anaongea utasema Hifadhi ya Jamii kazaliwa nayo

Kwa taarifa yenu huyu jamaa Erio hafanyi kazi na mtu asiye na msimamo, sasa naona mshikaji pale juu anasema watu wa yes yes, yes....mimi nitatuma intelejinsia yangu nipate kujua hapo kina yes yes wamefanya nini na kwa kiasi gani.
Halafu na wewe utumie intelejinsia yako kuhakikisha data hazijapikwa au la.
Sisi watanzania tumezoea majungu kwa watenda kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kweli - lakini je ni sahihi alichofanya kuhamishia watu wake wote wa PPF kwenye Mfuko wa NSSF? Halafu pia ina maana wale wa NSSF aliowasambaratishia kule Halmshauri ni kweli walikuwa wakosaji tu?
 
Maskini vilaza wangu haoooo unaleta udini kwenye kazi....eti Ndalichako kavuruga wizara ya elimu na wewe umevuruga wizara yako ya majungu, chuki na uzandiki ...hovyo kabisa wewe jamaa

Kuna mtu ana ujasiri wa kuwagusa Wanawake MAHIRI kama Mhagama na Ndalichako ...? Hivi macho yako yanaona kama yangu nauliza tena hivi kuna mtu ANATESEKA na jinsi Wanawake wa shoka hawa wanavyosimamia wizara hizi nyeti zenye maslahi mapana ya Taifa....?

Nani asimame aniambie kama ufaulu haujapanda nani asimame aniambie ikiwa siku hizi Kuna wanafunzi Wanaandamana kwa ajili ya MIKOPO??? Nani asimapme NANIII NAULIZA???? Kudadekii hebu tuache majungu wakubwa kila mtu ageukie shughuli yake ya msingi kuliko kufanya bla bla bla

Sent using Jamii Forums mobile app
Too low
 
Tunaandika kwa masikitiko na malalamiko makubwa kuhusu hali ilivyodorora ndani ya shirika.

Tunaomba malalamiko haya yakufikie Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tunasema hivyo baada ya hali kuonyesha wazi Waziri husika hana uwezo wa au amezembea kutatua matatizo ya sasa ya shirika

Ikumbukwe Mkurugenzi Mkuu ni kati ya wakurugenzi wazoefu waliokuwepo tangu awamu zilizopita. Na ni miongoni mwa Wakurugenzi wajanja sana ambao bila jicho pevu utashindwa kuelewa mapungufu au maovu yake.

Hivyo basi ni Mkurugenzi ambaye labda Mawaziri strong na wenye kufuatilia details kama Lukuvi ndiyo atamuweza.

HISTORIA YAKE

Alitokea PPF. Kwa wanaojua au Mh Rais ukitaka ukweli uliza ripoti za SSRA zilizoonyesha PPF ilikuwa ni miongoni mwa taasisi za hifadhi ya jamii ambazo zilikuwa chini kiufanisi, japo kiujanja ujanja na kutumia vyombo vya habari alionyesha picha tofauti na ukweli.

Ni mzoefu na mpika data kama aliweza kudanganya kuhusu idadi ya wanachama tu unategemea nini kwenye masuala nyeti zaidi kama ya fedha?

Kashfa ya ubadhirifu wa fedha akiwa PPF haikuwa siri. Mh Rais ukitaka kufukua haya ni kazi ndogo tu, naamini una watu wengi unaoweza kuwatuma wakathibitisha hili.

Sasa kama mtu alishindwa kusimamia kwa uhanisi taasisi ndogo kama PPF, ataweza vipi taasisi kubwa zaidi ya NSSF?

Kuutumia Usalama wa Taifa kwa maslahi binafsi. Mkurugenzi huyu ni miongoni mwa wakurugenzi wanaotumia baadhi ya staff wa usalama wataifa kwa maslahi yao binafsi.

Mtindo huu ulianza toka awamu zilizopita, lakini huyu anaendeleza mpaka sasa hivi.

Kwa wasioelewa baadhi ya staff wa UT wamekuwa wakilipwa kisiri (maarufu kama wako kwenye payroll ya Mkurugenzi) na wao kutumiwa na Mkurugenzi kwa maslahi binafsi kama kupewa taarifa za siri, kutengeneza zongwe kwa anaoamini ni wabaya wake, kutengeneza mazingira ya kuonyesha Mkurugenzi ni mchapakazi na muadilifu nk. Mh R naamini kwa kuwatumia baadhi ya staff wa UT waadilifu unaweza ukapata ukweli wa jambo hili

NDANI YA NSSF

Pamoja na kwamba NSSF ilikuwa inafanya vizuri ukilinganisha na PPF bado alipoingia hakutaka kujifunza mazuri na mapungufu ya shirika ili kuboresha vizuri, bado hakutaka kuendesha shirika kwa misingi ya uwazi na kuaminiana, bali kwa mbinu zilezile za PPF.

Na hapa kafanya mambo mengi ambayo ni kinyume na kanuni za utawala bora;

1. Kuengua viongozi wote wa NSSF na kusimika wanaomwabudu wengi toka PPF. Yaani mtu anatoka shirika dogo kioparesheni, kiufanisi, kifedha na kwa idadi ya wafanyakazi lakini viongozi wote wa juu anatoka nao huko!

Hili linashangaza na halina tafsiri nyingine zaidi ya kuwa na himaya ya siri ambayo imejengwa na ma royalists wake ili kuficha maovu yake.

TULISHANGAA ZAIDI Waziri kukaa kimya bila kukemea hili. Ili kutoa picha wakurugenzi WOTE wa makao makuu na mameneja karibu wote wa makao makuu amewaleta toka nje!

2. Mameneja wa Mikoa. Baada ya kuondoa uongozi wote makao makuu sasa amehamia mikoani, taratibu mameneja wote wanaostaafu anabadilisha mameneja wake toka nje!

Amefanya hivyo mkoa wa Songwe, Arusha na Mtwara, na bila shaka ataendelea pale ambapo kutakuwa na nafasi.

3. Kuunda makundi ya NSSF asili na team Elio. Hakuishia kubadilisha viongozi wetu tu bali ameleta hadi staff wa chini wengi toka PPF.

Na baada ya kuleta staff hao kazi zina pangwa kwa mgawanyo wa makundi ya hao staff.

Yaani unaweza ukakuta mko ofisi moja lakini kazi inatoka kwa Mkurugenzi mgeni, inaenda kwa meneja mgeni, msimamizi mgeni kisha wanaitwa staff wageni pembeni na kupewa kazi.

Nyie wengine mnashangaa mbona jamaa wamejitenga na wanafanya kazi tusioijua na tuko ofisi moja? Na hata ukijaribu kuchangamana nao unaona kabisa hawako tayari. Ni jambo la kushangaza lakini ndivyo hali ilivyo!

4. Kutishia kuhamisha wafanyakazi kwenda halmashauri. Hili amekuwa akitamba waziwazi kwamba anaweza akahamisha staff yeyote kwenda halmashauri.

Bahati mbaya sana kwenye hili alimtumia hata Naibu Katibu Mkuu Utumishi alipokuja kwenye mkutano wa wafanyakazi Morogoro.

Kiongozi huyu alitamka “mimi nikiletewa jina la staff ili niwahamishe, siwapeleki kwenye mashirika bali nawapeleka halmashauri tena za ndani”.

Tunajua kiongozi huyu alipotoka kwa kutumiwa vibaya hasa kutokana na ugeni wake kwenye utumishi wa umma.

Ikumbukwe Mkurugenzi siku zake za mwanzo pale alipokuwa anatengeneza nafasi za watu wake alihakikisha anahamisha mameneja wengi wa makao makuu kwenda halmashauri, na wako waliokata rufaa kwa Waziri wa utawala bora wakahamishiwa sehemu nyingine tena ambako angalau wamepewa nafasi zinazoshabiana na walizokuwa nazo.

Hakuishia kwa mameneja tu amekuwa akihamisha hata watumishi wa chini kiasi cha watu kujiuliza kaiweka mfukoni utumishi?

5. Utamaduni mbovu. Hali ya hapo juu imepelekea wafanyakazi wengi kuvunjika moyo, kujenga nidhamu ya uoga na kupoteza morali ya kufanya kazi.

Nashangaa sana watu hawa wamekuja na slogan ya “Cultural change” eti wafanyakazi waliokuwepo wabadilike lakini wao wameshindwa kabisa kuona mapungufu yao!

MATOKEO

Kutokana na hiyo hali kumekuwa na matokeo mabaya kwenye utendaji kazi wa Shirika kama ifuatavyo;

Mawasiliano mabovu SANA kati ya mikoa na makao makuu, na hata wafanyakazi na maboss wao hasa wa makao makuu.

Maboss wa makao makuu ni wachache sana wanaopokea simu za kikazi toka mikoani, hata kama zinapigwa na mameneja wetu wa mikoani, kinyume na sera na nia ya shirika iliyowezeshwa kununuliwa simu na kulipiwa ‘airtime’.

Barua za kiofisi zimekuwa zikiandikwa hazijibiwi na hata ukiandika reminder ni kazi bure, na ukilazimika kupiga simu hazipokelewi kama nilivyoeleza hapo juu.

Siku za nyuma ilikuwa ni kawaida kuomba miongozo au ufafanuzi wa masuala mbalimbali toka kwa technical staff wa idara mbalimali za makao makuu, lakini sasa hivi hata wao hawapokei simu kabisa.

Ukibahatika kukutana naye anakwambia mpigie meneja(ambaye naye hapokei simu). Unajiuliza staff wa makao makuu wana umuhimu gani kama wanashindwa kussuport field offices kwa masuala ya kikazi na mengine ni urgent?

Huduma mbovu kwa wateja wa nje. Kutokana na makao makuu kushindwa kushughulikia masuala mbalimbali ikiwemo wateja kwa kujiweka mbali, mikoa inajikuta nayo inashindwa kuhudumia wateja kwa kusubiri majibu ya makao makuu.

Mikoa inalazimika kuwapa tarehe wateja huku ikiendelea kubembeleza kujibiwa na makao makuu. Hali imekuwa ni mbaya sana hasa idara ya mafao.

Nitatoa mfano. Kwa miaka ya nyuma kati ya huduma ambazo Shirika limekuwa likitoa kwa ufanisi na wakati ni malipo ya pensheni ya uzee ambayo yalikuwa yakilipwa bila kukosa tarehe 24 ya kila mwezi.

Baada ya uongozi mpya kuja ukaja na zoezi la uhakiki walipwa pensheni na kulipa kupita benki. Zoezi ambalo kimantiki ni zuri lakini wameonyesha MAPUNGUFU MAKUBWA SANA ya kiutendaji katika zoezi hili.

Makao makuu wameshindwa kukamilisha zoezi pamoja na kutumiwa nyaraka husika kikamilifu tena zaidi ya mara moja.

Inasikitisha kuna wazee sana na wengine wagonjwa ambao sasa ni mwaka au zaidi ya mwaka hawajapata pensheni sababu tu ya uzembe wa kitengo cha mafao makao makuu.

Mfano ni mikoa ya kanda ya ziwa. Ambao tuko kwenye shirika kwa muda mrefu tunajua isingewezekana hata chembe mzee wa pensheni kusimamishiwa pensheni kwa hata miezi 2 kwa uzembe wa staff, moto ungewaka kwa aina ya viongozi tuliokuwa nao na mitazamo yao juu ya ulipwaji wa pensheni ya kila mwezi.

Kukosekana kwa weledi kwa viongozi wa makao makuu(Incompetence). Mikoa imekuwa ikilazimika kuandika barua za kuomba miongozo juu ya masuala mbalimbali ambayo yanaonekana kushindwa kutatuliwa/kushughulikiwa vizuri na sheria, miongozo na taratibu zilizopo.

Hili ni jambo la kawaida kwa shirika kubwa na lenye aina ya shughuli(operations) kama zinazofanywa na NSSF.

Aidha kutofautina sana kwa mazingira toka sehemu moja kwenda nyingine, utamaduni na msimamo na msukumo wa jamii ya sehemu moja kwenda nyingine, barua zimekuwa zikiandikwa makao makuu kuomba miongozo au kibali cha kushughulikia jambo mahsusi.

Lakini viongozi wa makao makuu wameonyesha; aidha, kukwepa kwa makusudi kubeba responsibilities ya kutoa maamuzi, au kushindwa kuelewa uhitaji wa jambo husika na hivyo wanatoa majibu yenye tofauti au kukwepa maudhui ya walichoandikiwa.

Huduma mbovu si kwa wateja wa nje tu bali hata kwa wafanyakazi. Imekuwa ni jambo la kawaida mfanyakazi kusafiri kikazi bila kulipwa masurufu ya safari kwa wakati, mfanyakazi anaweza akalipwa hata baada ya siku kumi au zaidi toka kumaliza safari ya kikazi.

Fikiria mwajiri anakutaka usafiri hajakulipa, unalazimika kuhangaika kukopa ili utimize matakwa ya mwajiri.

Idara za makao makuu kushindwa kuhudumia field offices. Hili ni tatizo kubwa kwa idara nyingi.

Tumeshindwa kuelewa, je ni makusudi ili field offices zikwame kufanya kazi au mkurugenzi mkuu hajui? Nitatoa mifano kuna ofisi moja ya Dar es salaam iliishiwa majalada ya kufungulia madai.

Kwa zaidi ya mwezi moja makao makuu walishindwa kuwezeshaa kupatikana kwa majalada husika! Ukizingatia ukubwa wa ofisi hiyo na uwingi wa wanachama wanaofungua madai, maana yake zilikuwa zinapokelewa nyaraka halafu hamna namna ya kuzihifadhi!

Sasa kitu kidogo kama hiki lakini chenye unyeti wa hali ya juu makao makuu wanashindwa kuhudumia, wapo kwa ajili ya nini? Idara ya utawala na utumishi nayo imeshindwa kabisa kuwajibika.

Eti mkurugenzi anatoa waraka mikoani barua zote zielekezwe kwa mameneja wa kurugenzi yake, nao wanatoa waraka barua zote za mikoani zielekezwe kwa staff Fulani Fulani wa makao makuu.

Hizo barua(kumbuka ni nyeti na za shirika zima) zikitumwa kwa hao staff hupati mrejesho. Hapa hali ni mbaya saana. Unaweza ukaandika barua hata mara tatu, baadaye ukiwasiliana na meneja naye anakujibu ni staff Fulani ndiyo anahusika, mnabaki mnaangaika na simu hazipokelewi.

Tunatamani mkurugenzi huyu angejifunza kwa wakurugenzi waliopita kama Mniwako ambaye lolote lililokuwa linaendelea ndani ya shirika alikuwa analijua na mbinu mojawapo ni kutozikimbia barua za kikazi.

Sasa hivi ni kitu cha kawaida kwa gari la shirika kupaki kwa mwezi mzima eti matairi yameisha, fedha zipo ila ‘wafalme” wa makao makuu wako busy na mambo mengine. Ni aibu na kurudisha nyuma taifa.

Sasa hivi ni jambo la kawaida japo ni aibu ofisi za NSSF, kukatiwa maji, kukosa/kukatiwa umeme.

Tembelea ofisi za NSSF hali ni mbaya wanashindwa hata kufanya matengenezo ya vitu vidogo kama vitasa, fedha zipo ila “wafalme” wamejifungia makao makuu na kutengeneza gap kwa kutotoa, miongozo inayoeleweka(mara nyingi wanatoa miongozo inayokinzana) au kutofikika na kutojibu maombi mbalimbali kupitia barua.

MAPENDEKEZO

- Tunapendekeza Mh Rais au hata Waziri akiamua kwa dhati kushughulikia hili kuunda timu ya watu wa nje kuja kuchunguza hili kuthibitisha tuhuma hizi.

- Pamoja na mbinu watakazotumia wanaweza pia;

1) Kupita mikoani kuthibitisha kama kuna utitiri wa barua zilizoandikwa makao makuu na hazijibiwi. Mtashangaa ushahidi mtakao pata.

2) Kucheki kama kweli kuna ofisi zilizokosa/kukatiwa umeme, maji, magari kupaki sababu eti ya matatizo madogo yanayo hitaji attendance ya makao makuu

3) Angalia hali ya ofisi za NSSF (physical appearance) na kujiridhisha zinatunzwa ipasavyo?

4) Angalia muundo wa uongozi na wafanyakazi kwa ujumla na kina nani wanaopewa vyeo au majukumu ya kikazi na wametokea wapi?
Team Elio ndio nini?Haya sio majungu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
poleni sana wazee wa vitengo huko NSSF sema bandiko lako nimelisoma nikagundua matatizo kadhaa ya msingi ambayo umekwepa kwepa kuyaweka bayana ngoja nidadafue uhalisi huo mana hata kichwa cha uzi kilipaswa kuwa NSSF SASA WATUMISHI NJAA KALI :D
-sababu za msingi naliona kwenye kulia lia kwako ukijifichia kwenye kimvuli cha ufanisi wa kazi na kuukwepa ukweli wa ulaji umekuwa unasuasua kwa sasa kama mlivyozoea hapo kabla KUPIGA MIPIGO (labda sasa keki inatafunwa na wateule wacheche).
-kilicho nisikitisha zaidi ni kwa watumishi wa umaa wa ofisi moja kulalama kutotaka kupelekwa ofisi nyingine yani unapingana na mwajiri wako ambaye ni serikali ana maamuzi ya kimkakati kwa sababu zake atazo ziona kukupeleka popte hata huko halmashauri (mnapo paogopa sana nyie wazee wa kupiga mamilioni kwenye hayo mataasisi 😂)
hili nimeliona bayana kwa kauli zako mwenyewe kama navyo zianisha hapo chini:
1.)Kutishia kuhamisha wafanyakazi kwenda halmashauri. Hili amekuwa akitamba waziwazi kwamba anaweza akahamisha staff yeyote kwenda halmashauri (mkuu hata hao waliopo huko halmashauri elimu hizo hizo ufanisi huo huo na wanahamu ya viyoyozi juu ya mijengo ya ghorofa ofisi za umma nikupeana nafasi tu pale majukumu yakilazimisha iwe hivyo)

2.)Huduma mbovu si kwa wateja wa nje tu bali hata kwa wafanyakazi. Imekuwa ni jambo la kawaida mfanyakazi kusafiri kikazi bila kulipwa masurufu ya safari kwa wakati, mfanyakazi anaweza akalipwa hata baada ya siku kumi au zaidi toka kumaliza safari ya kikazi.( Poleni sana sema siamini hii ni huruma kwa wateja wa nje mana uzi ungeshakujaga hata miaka 5 iliyopita, hapa mzee baba nihayo malipo yenu tu ya safari ya kikazi kukawia ndo msisimko wa huu uzi wako)

3.) Sasa hivi ni kitu cha kawaida kwa gari la shirika kupaki kwa mwezi mzima eti matairi yameisha, fedha zipo ila ‘wafalme” wa makao makuu wako busy na mambo mengine. Ni aibu na kurudisha nyuma taifa.(unaona hahahaha PESA)

4.) Sasa hivi ni jambo la kawaida japo ni aibu ofisi za NSSF, kukatiwa maji, kukosa/kukatiwa umeme.( kichaka cha kufichia hoja ila dhumuni ni lile lile ukata pesa za posho tu.)

5.) Tembelea ofisi za NSSF hali ni mbaya wanashindwa hata kufanya matengenezo ya vitu vidogo kama vitasa, fedha zipo ila “wafalme” wamejifungia makao makuu na kutengeneza gap kwa kutotoa, miongozo inayoeleweka( hahaha as usual ni tatizo PESAAAAAA , Dah sema vijana lazima mkubali dhama zinabadilika na mbadili pia mazoea ya maisha mliyoishi ndani ya hizo taasisi mzoee tu hali)

....HITIMISHO: Umeongea vitu vingi na lawama kubwa kwa wakuu wenu wa kazi hizo changamoto zipo tu mashirika yoyote yale hata binafsi haswa mabadiliko ya kiungozi yakitokea na yakashindwa wiana na mahitaji ya aina ya maisha mliyowahi yazoea sijaona cha ajabu sana ila ajabu niliyoiona ni kupiga uchochezi wenu hadi kwa mh. Rais kisa mtimize ndoto za maisha yenu ya kale mliyo yazoea 😂😂😂😂 ( haya bhana alamsiki.)
 
Hahahahaha,mianya imebanwa siyo?Bata zimepungua na heshima mtaani imeshuka.Hela za pango nazo issue,inabidi ahamie Tandale kwa Mfuga Umbwa.

Michepuko nayo inadai pango na matumizi inakuta holaaa.Wavumilie tu vijana,kila zama na wakati wake,sio lazima waishi kifahari kama enzi zile,wabadili mifumo wa maisha kuendana na tone za muziki kwani hakuna za bure na michongo ya kiboni town kama zamani.

Kwani halimashauri wanaofanya kazi huko sio watumishi wa Serikali?Wanapadharau huko?

Yaani Bw.Erio changamka upesi uwahamishie huko maana wanaleta dharau utadhani waliandikiwa katika utumishi wao wa umma watafanya NSSF na makao Makuu tu.Hawajui sasa hivi mwajiri ana uamuzi wa kukupeleka kokote anapoona kuna uhitaji?.

poleni sana wazee wa vitengo huko NSSF sema bandiko lako nimelisoma nikagundua matatizo kadhaa ya msingi ambayo umekwepa kwepa kuyaweka bayana ngoja nidadafue uhalisi huo mana hata kichwa cha uzi kilipaswa kuwa NSSF SASA WATUMISHI NJAA KALI :D
-sababu za msingi naliona kwenye kulia lia kwako ukijifichia kwenye kimvuli cha ufanisi wa kazi na kuukwepa ukweli wa ulaji umekuwa unasuasua kwa sasa kama mlivyozoea hapo kabla KUPIGA MIPIGO (labda sasa keki inatafunwa na wateule wacheche).
-kilicho nisikitisha zaidi ni kwa watumishi wa umaa wa ofisi moja kulalama kutotaka kupelekwa ofisi nyingine yani unapingana na mwajiri wako ambaye ni serikali ana maamuzi ya kimkakati kwa sababu zake atazo ziona kukupeleka popte hata huko halmashauri (mnapo paogopa sana nyie wazee wa kupiga mamilioni kwenye hayo mataasisi )
hili nimeliona bayana kwa kauli zako mwenyewe kama navyo zianisha hapo chini:
1.)Kutishia kuhamisha wafanyakazi kwenda halmashauri. Hili amekuwa akitamba waziwazi kwamba anaweza akahamisha staff yeyote kwenda halmashauri (mkuu hata hao waliopo huko halmashauri elimu hizo hizo ufanisi huo huo na wanahamu ya viyoyozi juu ya mijengo ya ghorofa ofisi za umma nikupeana nafasi tu pale majukumu yakilazimisha iwe hivyo)

2.)Huduma mbovu si kwa wateja wa nje tu bali hata kwa wafanyakazi. Imekuwa ni jambo la kawaida mfanyakazi kusafiri kikazi bila kulipwa masurufu ya safari kwa wakati, mfanyakazi anaweza akalipwa hata baada ya siku kumi au zaidi toka kumaliza safari ya kikazi.( Poleni sana sema siamini hii ni huruma kwa wateja wa nje mana uzi ungeshakujaga hata miaka 5 iliyopita, hapa mzee baba nihayo malipo yenu tu ya safari ya kikazi kukawia ndo msisimko wa huu uzi wako)

3.) Sasa hivi ni kitu cha kawaida kwa gari la shirika kupaki kwa mwezi mzima eti matairi yameisha, fedha zipo ila ‘wafalme” wa makao makuu wako busy na mambo mengine. Ni aibu na kurudisha nyuma taifa.(unaona hahahaha PESA)

4.) Sasa hivi ni jambo la kawaida japo ni aibu ofisi za NSSF, kukatiwa maji, kukosa/kukatiwa umeme.( kichaka cha kufichia hoja ila dhumuni ni lile lile ukata pesa za posho tu.)

5.) Tembelea ofisi za NSSF hali ni mbaya wanashindwa hata kufanya matengenezo ya vitu vidogo kama vitasa, fedha zipo ila “wafalme” wamejifungia makao makuu na kutengeneza gap kwa kutotoa, miongozo inayoeleweka( hahaha as usual ni tatizo PESAAAAAA , Dah sema vijana lazima mkubali dhama zinabadilika na mbadili pia mazoea ya maisha mliyoishi ndani ya hizo taasisi mzoee tu hali)

....HITIMISHO: Umeongea vitu vingi na lawama kubwa kwa wakuu wenu wa kazi hizo changamoto zipo tu mashirika yoyote yale hata binafsi haswa mabadiliko ya kiungozi yakitokea na yakashindwa wiana na mahitaji ya aina ya maisha mliyowahi yazoea sijaona cha ajabu sana ila ajabu niliyoiona ni kupiga uchochezi wenu hadi kwa mh. Rais kisa mtimize ndoto za maisha yenu ya kale mliyo yazoea ( haya bhana alamsiki.)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
poleni sana wazee wa vitengo huko NSSF sema bandiko lako nimelisoma nikagundua matatizo kadhaa ya msingi ambayo umekwepa kwepa kuyaweka bayana ngoja nidadafue uhalisi huo mana hata kichwa cha uzi kilipaswa kuwa NSSF SASA WATUMISHI NJAA KALI :D
-sababu za msingi naliona kwenye kulia lia kwako ukijifichia kwenye kimvuli cha ufanisi wa kazi na kuukwepa ukweli wa ulaji umekuwa unasuasua kwa sasa kama mlivyozoea hapo kabla KUPIGA MIPIGO (labda sasa keki inatafunwa na wateule wacheche).
-kilicho nisikitisha zaidi ni kwa watumishi wa umaa wa ofisi moja kulalama kutotaka kupelekwa ofisi nyingine yani unapingana na mwajiri wako ambaye ni serikali ana maamuzi ya kimkakati kwa sababu zake atazo ziona kukupeleka popte hata huko halmashauri (mnapo paogopa sana nyie wazee wa kupiga mamilioni kwenye hayo mataasisi 😂)
hili nimeliona bayana kwa kauli zako mwenyewe kama navyo zianisha hapo chini:
1.)Kutishia kuhamisha wafanyakazi kwenda halmashauri. Hili amekuwa akitamba waziwazi kwamba anaweza akahamisha staff yeyote kwenda halmashauri (mkuu hata hao waliopo huko halmashauri elimu hizo hizo ufanisi huo huo na wanahamu ya viyoyozi juu ya mijengo ya ghorofa ofisi za umma nikupeana nafasi tu pale majukumu yakilazimisha iwe hivyo)

2.)Huduma mbovu si kwa wateja wa nje tu bali hata kwa wafanyakazi. Imekuwa ni jambo la kawaida mfanyakazi kusafiri kikazi bila kulipwa masurufu ya safari kwa wakati, mfanyakazi anaweza akalipwa hata baada ya siku kumi au zaidi toka kumaliza safari ya kikazi.( Poleni sana sema siamini hii ni huruma kwa wateja wa nje mana uzi ungeshakujaga hata miaka 5 iliyopita, hapa mzee baba nihayo malipo yenu tu ya safari ya kikazi kukawia ndo msisimko wa huu uzi wako)

3.) Sasa hivi ni kitu cha kawaida kwa gari la shirika kupaki kwa mwezi mzima eti matairi yameisha, fedha zipo ila ‘wafalme” wa makao makuu wako busy na mambo mengine. Ni aibu na kurudisha nyuma taifa.(unaona hahahaha PESA)

4.) Sasa hivi ni jambo la kawaida japo ni aibu ofisi za NSSF, kukatiwa maji, kukosa/kukatiwa umeme.( kichaka cha kufichia hoja ila dhumuni ni lile lile ukata pesa za posho tu.)

5.) Tembelea ofisi za NSSF hali ni mbaya wanashindwa hata kufanya matengenezo ya vitu vidogo kama vitasa, fedha zipo ila “wafalme” wamejifungia makao makuu na kutengeneza gap kwa kutotoa, miongozo inayoeleweka( hahaha as usual ni tatizo PESAAAAAA , Dah sema vijana lazima mkubali dhama zinabadilika na mbadili pia mazoea ya maisha mliyoishi ndani ya hizo taasisi mzoee tu hali)

....HITIMISHO: Umeongea vitu vingi na lawama kubwa kwa wakuu wenu wa kazi hizo changamoto zipo tu mashirika yoyote yale hata binafsi haswa mabadiliko ya kiungozi yakitokea na yakashindwa wiana na mahitaji ya aina ya maisha mliyowahi yazoea sijaona cha ajabu sana ila ajabu niliyoiona ni kupiga uchochezi wenu hadi kwa mh. Rais kisa mtimize ndoto za maisha yenu ya kale mliyo yazoea 😂😂😂😂 ( haya bhana alamsiki.)
Inaonyesha unaandika tu kishabiki kwa kuwa ulishajikatia tamaa tokana na kumezwa na mazingira uliyopo. Hovyo kabisaa! Mie pamoja na kujiajiria mwenyewe lkn naona yanayofanyika sio kabisa. Ndugu yangu amestaafu tangu Julai Mwaka jana hivi ninavyoandika hajapata hata pensheni yake Mfuko huo mpya. Erio sio kuwa ananyanyasa wale wafanyakazi wa NSSF tu, Erio ndiye mwaribifu wa kwanza wa sekta ya pensheni. Erio aliuharibu sana Mfuko wa PPF, Erio huyu kamshauri Rais kuhamisha wafanyakazi kutoka Mifuko mingine ili wapelekwe NSSF ili aue kabisa Mfuko Mpya. Erio huyo huyo amemshauri vibaya Rais na kumpigia debe Mashimba (pot wa Magu) awe CEO wa Mfuko mpya ili waweze kuficha taarifa kuwa Mfuko huo upo na hali nzuri wkt ukweli unaonesha Mfuko upo hoi bin taabani. Ingekuwa Erio hanufaiki na nafasi yake ingekuwa sawa - ndugu ongea na wafanyakazi wa Mifuko yote miwili kilio ni Erio tu. Endekeza ushabiki wa kisiasa ila subiri wastaafu watakapoanza kuandamana ndipo itajulikana nani ameharibu sekta ya pensheni!
 
Yani we jamaa kilaza kweli maana unaonekana ni mmoja wa waliokaziwa ulaji maana mawazo yako yamekaa ka una ishu personal sana acha uzuzu arifeee. Sasa jamaa amenyanyasa au amewakazia walaji, Tanzania ya sasa hivi haitaki watu aina yenu wanaotaka slope. Mwacheni Jamaa anyooshe Shirika maana hata sisi wanachama tunayaona live. Mimi nilifungua madai yangu ya fao la kukosa ajira mwaka jana na nimelipwa pesa zangu fresh na fasta tu. Ujue tuache mambo ya uongo uongo wakat sikuhizi mambo yapo wazi sana. Mpeni jamaa ushirikiano aendeleze mazuri yake, achen roho za kwanini. Pia Ukiandika tena mawazo yako usiyafananishe kama jina lako.
Inaonyesha unaandika tu kishabiki kwa kuwa ulishajikatia tamaa tokana na kumezwa na mazingira uliyopo. Hovyo kabisaa! Mie pamoja na kujiajiria mwenyewe lkn naona yanayofanyika sio kabisa. Ndugu yangu amestaafu tangu Julai Mwaka jana hivi ninavyoandika hajapata hata pensheni yake Mfuko huo mpya. Erio sio kuwa ananyanyasa wale wafanyakazi wa NSSF tu, Erio ndiye mwaribifu wa kwanza wa sekta ya pensheni. Erio aliuharibu sana Mfuko wa PPF, Erio huyu kamshauri Rais kuhamisha wafanyakazi kutoka Mifuko mingine ili wapelekwe NSSF ili aue kabisa Mfuko Mpya. Erio huyo huyo amemshauri vibaya Rais na kumpigia debe Mashimba (pot wa Magu) awe CEO wa Mfuko mpya ili waweze kuficha taarifa kuwa Mfuko huo upo na hali nzuri wkt ukweli unaonesha Mfuko upo hoi bin taabani. Ingekuwa Erio hanufaiki na nafasi yake ingekuwa sawa - ndugu ongea na wafanyakazi wa Mifuko yote miwili kilio ni Erio tu. Endekeza ushabiki wa kisiasa ila subiri wastaafu watakapoanza kuandamana ndipo itajulikana nani ameharibu sekta ya pensheni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urio ana kismeti cha kupata vyeo. Ila kusema kweli kiutendaji ni Zoba kabisa. Sijui Kwa nini Rais alimpeleka huko. Pale PPF nilikuwa namkubali Kashimba.
 
Issue sio kumpenda ww, issue ni utendaji wake, ingekua issue ni kubebwa asingedumu miaka yote kwenye haya mashirika. Kwenye ukweli tuseme ukweli tu. Tujifunze ku appreciate na kubadilika.
Urio ana kismeti cha kupata vyeo. Ila kusema kweli kiutendaji ni Zoba kabisa. Sijui Kwa nini Rais alimpeleka huko. Pale PPF nilikuwa namkubali Kashimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urio ana kismeti cha kupata vyeo. Ila kusema kweli kiutendaji ni Zoba kabisa. Sijui Kwa nini Rais alimpeleka huko. Pale PPF nilikuwa namkubali Kashimba.
Aliingizwa na Ben Mkapa - mjombake! Ngoja aendelee tu kuendekezwa na Magu ila mambo yatakuwa hadharani sio muda mrefu kachukua wale wafanyakazi waliokuwa Mifuko ya zamani kawapeleka NSSF na kusababisha ule Mfuko kuwa hoi kwa kukosa michango.
 
Yani we jamaa kilaza kweli maana unaonekana ni mmoja wa waliokaziwa ulaji maana mawazo yako yamekaa ka una ishu personal sana acha uzuzu arifeee. Sasa jamaa amenyanyasa au amewakazia walaji, Tanzania ya sasa hivi haitaki watu aina yenu wanaotaka slope. Mwacheni Jamaa anyooshe Shirika maana hata sisi wanachama tunayaona live. Mimi nilifungua madai yangu ya fao la kukosa ajira mwaka jana na nimelipwa pesa zangu fresh na fasta tu. Ujue tuache mambo ya uongo uongo wakat sikuhizi mambo yapo wazi sana. Mpeni jamaa ushirikiano aendeleze mazuri yake, achen roho za kwanini. Pia Ukiandika tena mawazo yako usiyafananishe kama jina lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
wanatapa tapa tu 😂 😂 wakaziwe hivyo hivyo dadeki
 
Inaonyesha unaandika tu kishabiki kwa kuwa ulishajikatia tamaa tokana na kumezwa na mazingira uliyopo. Hovyo kabisaa! Mie pamoja na kujiajiria mwenyewe lkn naona yanayofanyika sio kabisa. Ndugu yangu amestaafu tangu Julai Mwaka jana hivi ninavyoandika hajapata hata pensheni yake Mfuko huo mpya. Erio sio kuwa ananyanyasa wale wafanyakazi wa NSSF tu, Erio ndiye mwaribifu wa kwanza wa sekta ya pensheni. Erio aliuharibu sana Mfuko wa PPF, Erio huyu kamshauri Rais kuhamisha wafanyakazi kutoka Mifuko mingine ili wapelekwe NSSF ili aue kabisa Mfuko Mpya. Erio huyo huyo amemshauri vibaya Rais na kumpigia debe Mashimba (pot wa Magu) awe CEO wa Mfuko mpya ili waweze kuficha taarifa kuwa Mfuko huo upo na hali nzuri wkt ukweli unaonesha Mfuko upo hoi bin taabani. Ingekuwa Erio hanufaiki na nafasi yake ingekuwa sawa - ndugu ongea na wafanyakazi wa Mifuko yote miwili kilio ni Erio tu. Endekeza ushabiki wa kisiasa ila subiri wastaafu watakapoanza kuandamana ndipo itajulikana nani ameharibu sekta ya pensheni!
hakuna ushabiki hapo soma tena uafanye ufikirishi ujionee mwenyewe tatizo mleta mada kalamikia sana maswala ya mpigo na vitengo kuliko uhalisia wa wateja (ambao kawagusia kidogoooooo kama kichaka cha kuficha tu ajenda yake)
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom