Yanatumika vizuri sana, zamani TAZAMA PIPELINES walikuwa wanasafirisha " Crude oil " ila wakafanya ukarabati wa kufunga mitambo mipya na kusafisha bomba, hivyo wakaanza kusafirisha mafuta ya PETROL baada ya Zambia kutaka mafuta yanayoenda yawe yaliyosafishwa tayari kwa matumizi.
Pole sana kaka, utakuwa unaishi na mtu wa kazi hadi anakudukua na kukufuatilia na boda boda. Kaza usimwachie nafasi ya kukupelekesha namna hiyo, hakikisha unamwambia ukweli wa yote uliyobaini kuhusu yeye ili ajue ukweli na uyo ni mchepukaji ndo mana anakufuatilia. "Mkuki kwa Nguruwe kwa...
nadhani ni kutokuwa na uelewa ndo mana, Hapo ni jukumu la Wizara husika mana vyombo vya habari nao wapo kazini kwa hiyo hawafanyi kazi bure na hawarushi kitu live kama hakuna makubaliano yoyote na wao. Inawezekana TBC wasirushe live ila kuna vyombo vingine ambavyo vinarusha live.
Bado kuna udhaifu kwenye usimamizi wa Sheria za Barabarani au inawezekana Sheria zetu hazijitoshelezi, hivyo kuna haja ya kuziboresha na kuzisimamia.
Haya matukio yatapungua kwa kiasi kikubwa na hatutapoteza nguvu kazi ya Taifa letu. Kwa kuwa Kama Sheria zetu zitajitosheleza dereva hatafanya...
mumeo ana chuki binafsi kwa mdogo wako hawezi kufikia hatua ya kufuatilia hadi mashuka ya kulalia. Siku ukipata muda wa kukaa nae akiwa na furaha mwambie kama kiutani kuwa nimeota unatembea na mdogo wangu ili ajue kuna kitu unahisi kwake. Pia, wala usimrudishe dogo kaa na mumeo mweleze ukweli...
Aliekuambia VETA wanakupa uzoefu ni nani? wale wanakupa ujuzi ili ukienda mtaani ukautumia vizuri upate mafanikio. Hivyo uzoefu unapatikana mtaani, na hiyo elimu uliyoipata kuna siku utawashukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.