genau
Member
- Jan 11, 2018
- 36
- 54
Habari jf
Moja kwa Moja nije kwenye mada yangu. Nina ishi na huyu mwanamke tangu 2020 na tumejaaliwa kupata mtoto Mmoja japo hatujafunga ndoa lakini nililipia mahari
Amekuwa na wivu sana kuhusu Mimi lakini kwangu sio shida maana ilikuwa hainipi shida lakini baadae alianza hadi kutuma boda boda inifatilie kwenye mishe zangu kama ningukuwa nafanya mambo ya kihuni.
Mara kadhaa amekuwa akinishutumu na mahusiano na wafanyakazi wenzangu kazini ( yeye alimaliza chuo hajapata ajira) nikahisi labda Yuko loose nikaamua kumfungulia biashara
Imefika pahala alinitamkia Toka mdomoni make ya kwamba anamchukia mama yangu na ndugu zangu sababu sisi ni wa binafsi na hatumpendi sababu Huwa hawampigii simu mara kwa mara
Mwaka huu February niligundua kama simu yangu imedukuliwa ndo nikaenda kwa fundi nikagundua kama yeye ndo alifanya hivyo nikamwomba atoe lakini alibisha kuwa hajafanya.
Ukiachana na hayo yote Kila ugomvi ikitokea anadai anataka kuondoka lakini nikikubaliana na maamuzi yake anawapigia simu ndugu zangu na ndugu zake kwamba nataka kumfukuza so Huwa nashindwa kuelewa anataka nini. Yeye always ni vita juu ya wanawake wenzake japo kuwa hajawahi nifumania Wala kunikuta na mwanamke kwenye simu yangu.huwa anakisia anaponiona nawasiliana na mwanamke yeyote
Wiki iliyopita niliazika simu yake niwekee wi-fi kwenye tv ndipo ikaingia SMS ambayo ilinistua ikabdii nifuatilie nikaona ana mawasiliano ya kimapenzi nawanamme mwingine kwa muda mrefu ndipo nikaanza kuunganisha dots. Nimekuwa nikipata ugonjwa unaitwa herpes simplex kwa muda mrefu sana ikafika pahala Kila tukifanya mapenzi lazma nipake dawa huku yeye akinirushia maneno ya kwamba huu ugonjwa ninautoa nje namletea. Lakini nisipofanya mapenzi nilikuwa siupati nakuwa sawaaa kabisaaa. Ikafika pahala nikawa sipati hata hamu nae sababu ya kufu ya huu ugonjwa
Tangu nigundue sijamwuliza lolote lakini amejishtukia anahisi Kuna kitu nimegundua japo sipendi ajue kwa Sasa.
Mwenye uzoefu na changamoto kama hii anipe ushauri tafadhari
Moja kwa Moja nije kwenye mada yangu. Nina ishi na huyu mwanamke tangu 2020 na tumejaaliwa kupata mtoto Mmoja japo hatujafunga ndoa lakini nililipia mahari
Amekuwa na wivu sana kuhusu Mimi lakini kwangu sio shida maana ilikuwa hainipi shida lakini baadae alianza hadi kutuma boda boda inifatilie kwenye mishe zangu kama ningukuwa nafanya mambo ya kihuni.
Mara kadhaa amekuwa akinishutumu na mahusiano na wafanyakazi wenzangu kazini ( yeye alimaliza chuo hajapata ajira) nikahisi labda Yuko loose nikaamua kumfungulia biashara
Imefika pahala alinitamkia Toka mdomoni make ya kwamba anamchukia mama yangu na ndugu zangu sababu sisi ni wa binafsi na hatumpendi sababu Huwa hawampigii simu mara kwa mara
Mwaka huu February niligundua kama simu yangu imedukuliwa ndo nikaenda kwa fundi nikagundua kama yeye ndo alifanya hivyo nikamwomba atoe lakini alibisha kuwa hajafanya.
Ukiachana na hayo yote Kila ugomvi ikitokea anadai anataka kuondoka lakini nikikubaliana na maamuzi yake anawapigia simu ndugu zangu na ndugu zake kwamba nataka kumfukuza so Huwa nashindwa kuelewa anataka nini. Yeye always ni vita juu ya wanawake wenzake japo kuwa hajawahi nifumania Wala kunikuta na mwanamke kwenye simu yangu.huwa anakisia anaponiona nawasiliana na mwanamke yeyote
Wiki iliyopita niliazika simu yake niwekee wi-fi kwenye tv ndipo ikaingia SMS ambayo ilinistua ikabdii nifuatilie nikaona ana mawasiliano ya kimapenzi nawanamme mwingine kwa muda mrefu ndipo nikaanza kuunganisha dots. Nimekuwa nikipata ugonjwa unaitwa herpes simplex kwa muda mrefu sana ikafika pahala Kila tukifanya mapenzi lazma nipake dawa huku yeye akinirushia maneno ya kwamba huu ugonjwa ninautoa nje namletea. Lakini nisipofanya mapenzi nilikuwa siupati nakuwa sawaaa kabisaaa. Ikafika pahala nikawa sipati hata hamu nae sababu ya kufu ya huu ugonjwa
Tangu nigundue sijamwuliza lolote lakini amejishtukia anahisi Kuna kitu nimegundua japo sipendi ajue kwa Sasa.
Mwenye uzoefu na changamoto kama hii anipe ushauri tafadhari